ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 16,787
- 61,261
Asante! Tumepandisha mnara wa 5G Tuheshimiwe!!!🤸🤍💙Nimetumwa na wana Arsenal nije kuwapa hongera. Asanteni.
Asante! Tumepandisha mnara wa 5G Tuheshimiwe!!!🤸🤍💙Nimetumwa na wana Arsenal nije kuwapa hongera. Asanteni.
Shida ulikuwa upangaji wake, mfumo plus injuryHii Chelkenge ilikuwa wapi siku ile tunaipiga 5? Ilituboa sana mpaka tukaamua kuacha kuwafunga ili tusiwapige 10.
Nitakachokwambia yawezekana sio jibu sahihi ila ni hisia zangu. Kwanza yapo mambo kama kutoridhika na kile anachokiona, yawezekana sisi mashabiki tulifurahi kuona vile tunavyocheza lakini ukija kwenye marathon(Premier League) hai apply hivyo. Lakini pia ingia toka ya wachezaji mostly kutokana na injury inapelekea kubadilisha mfumo.Kulikuwa na haja ya kubadilisha mbinu wakat wa league??
Ndio maana nikasema tatizo la Chelsea haliko kwa kocha peke yake kama ambavyo linakua adresses humu.Kwamba timu gani duniani kwasasa haina average players kwenye first 11 kama wewe kweli mpenzi wa mpira, average players inafichwa na mbinu ya mwalimu.
Injury sio shida. Poche akiwa na wachezaji wote fit hajui kupanga timu. Ni clueless. Tukiwa na injuries 14 ndipo Chelsea ilichezà vizuŕiShida ulikuwa upangaji wake, mfumo plus injury
Kuna yule jackson anakosaga magoli unaweza chapa makofiLeo ndiyo nimeona Chelsea ikicheza mpira wake ule wa 2017 toka ligi ianze
Sijawahi kuwa na doubt na huyu mwamba kabla na tangu tumemsajili sifa yake ni mkabaji Mzuri ndio maana ameweza hii nafasi anayopangwa recentlyUNampa asilimia ngapi ya uchezaji tangu mechi na Villa baafa ya HT?
View attachment 2981775
Unaifunga chelsea isiyo na ice cold palmer ,akiwepo huyu mechi lazima iwe ngumuHii Chelkenge ilikuwa wapi siku ile tunaipiga 5? Ilituboa sana mpaka tukaamua kuacha kuwafunga ili tusiwapige 10.
Amenyoa nywele leo kawa vizuri 🤣Kuna yule jackson anakosaga magoli unaweza chapa makofi
Fala sana yule jamaa, kuna magoli kadhaa pia alitakiwa atoe assist kw Palmar akaishia kuzingua, kama sio huyo kilaza mpk sasa Palmar alitakiwa awe anaongoza kw magoli EPL.Kuna yule jackson anakosaga magoli unaweza chapa makofi
Jackson kamuacha Havertz kwa magoli ambaye kule Arsenàl anasifiwa sana kwamba Arteta amembadilishaFala sana yule jamaa, kuna mogoli kadhaa pia alitakiwa atoe assist kw Palmar akaishia kuzingua, kama sio huyo kilaza mpk sasa Palmar alitakiwa awe anaongoza kw magoli EPL.
kwahiyo kwamfano ikatokea tuna mechi na nyie keshokutwaShida ulikuwa upangaji wake, mfumo plus injury
kumbuka huyo harvetz alikuja akiwejeJackson kamuacha Havertz kwa magoli ambaye kule Arsenàl anasifiwa sana kwamba Arteta amembadilisha
Na kuwaonesha kwmba amebadilika sana siku hzi kwny lile kono la nyani alitupia 2 kutoka kwny mguu wake🤠🤠...mwsho wa msimu tutawaongezea aftatu Hawa majirani zetukumbuka huyo harvetz alikuja akiweje
Jamaa mpira anaujua, tatizo lake ubinafsi na stamina hanaFala sana yule jamaa, kuna magoli kadhaa pia alitakiwa atoe assist kw Palmar akaishia kuzingua, kama sio huyo kilaza mpk sasa Palmar alitakiwa awe anaongoza kw magoli EPL.