lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Tulikuwa tunayazungumza haya wengine huku wakaamua kuficha kichwa kwenye mchanga kama Kenge afanyavyoChelsea is in talks with Riyadh Air, Bank of America, Malaysia Airlines, and an Asian company about becoming the shirt sponsor next year.
However, the likely lack of qualification for European cups, especially the UCL, makes negotiations difficult.
(@Lu_Class_)
Huwa tunawaambia ila hamskii
Timu itaporomoka kimapato na hii inaweza adhiri hadi dhamani ya wachezaji na kufanya iwe ngumu pia kuwauza
Panga la FFP halitakawia kuja
Chelsea itakufa kifo cha Mende mbele ya hawa wamarekani wajinga na wasiokubali kwamba falsafa yao ya long term project with kids hautaenda popote