juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Doku ni Kama Adama Traore tu mbwbwe nyingi ila tokeo sifuriWakati tunamsajili Madueke & Mudyk hatukumuona Doku
Doku ni Kama Adama Traore tu mbwbwe nyingi ila tokeo sifuriWakati tunamsajili Madueke & Mudyk hatukumuona Doku
Doku ana madhara kwenye team zaidi ya faidaWakati tunamsajili Madueke & Mudyk hatukumuona Doku
Havertz alitupa bao la ushindi kwenye Fainali ya UEFA dhidi ya timu kubwa na ngumu ya Manchester City. Bao la kifahari kuliko lile aliloipa Arsenal kwenye ligi dhidi ya timu dhaifu ya Brentford. Mashabiki wa Arsenal lazima muelewe kwamba Havertz hatawapeleka popote. Put that into your empty headCash Money Forever
Tukinyanyua kwapa mwisho wa msimu tutaeaongezea ata £15 Million View attachment 2930694
Usilie basi!Havertz alitupa bao la ushindi kwenye Fainali ya UEFA dhidi ya timu kubwa na ngumu ya Manchester City. Bao la kifahari kuliko lile aliloipa Arsenal kwenye ligi dhidi ya timu dhaifu ya Brentford. Mashabiki wa Arsenal lazima muelewe kwamba Havertz hatawapeleka popote. Put that into your empty head
Mara ya mwisho timu yako inachukua ubingwa waziri mkuu wa Tanzania alikuwa Sumaye. Sasa sisi na wewe nani amuonee mwenzie huruma...Hawa watu ni WA kuonea huruma tu kwakwli
Hiyo inaitwa history🤠🤠...ukiambiwa Hawa ndo walichukua ubingwa miaka 5 ilopita unabaki kujiuliza nn kimewakuta...hakieleweki kinachofanyika...half of the team ni wafuga dread....na wakiingia uwanjani wao wanachojua ni kufukuza upepo tu bila mipangoMara ya mwisho timu yako inachukua ubingwa waziri mkuu wa Tanzania alikuwa Sumaye. Sasa sisi na wewe nani amuonee mwenzie huruma
Kai tumewapiga pesa nzuri sana ni mchezaji ambaye yupo inconsistent Leo atakupa game baada ya mechi mbili mbele unakataa najua unazijua hilo sema tu unajitoa ufahamuKai Havertz's last four appearances in the Premier League 👏
⚽️ v Burnley
⚽️ 🅰️ v Newcastle
⚽️ 🅰️ v Sheffield Utd
⚽️ v Brentford
Asanteni Kenge kwa kufanya biashara safi 🤝🏾 Cash Money Forever View attachment 2929884
Best player alikuwa Thiago Silva huyo kai alikuwa top scorer wetu ni kwasababu yeye ndio alikuwa forward wetu alifunga goal 7 tu ya epl kwenye mechi 38 anakuaje ni bora?ebu Cash Money Forever tunamsaidie huyu jamaa mbona anavitukoBest player wenu wa msimu jana was kai, top scorer was kai,,Panga pangua Kai alikua starter apo darajani..
Kai kai remember the name.
Best player alikuwa Thiago Silva huyo kai alikuwa top scorer wetu ni kwasababu yeye ndio alikuwa forward wetu alifunga goal 7 tu ya epl kwenye mechi 38 anakuaje ni bora?ebu Cash Money Forever tunamsaidie huyu jamaa mbona anavituko
🚨Kai Havertz has scored in each of his last four Premier League appearances (4 goals), making him the first German to score in four consecutive matches in the competition’s history.Kai tumewapiga pesa nzuri sana ni mchezaji ambaye yupo inconsistent Leo atakupa game baada ya mechi mbili mbele unakataa najua unazijua hilo sema tu unajitoa ufahamu
🚨 Kai Havertz equalled his best ever goal scoring season (8) at Chelsea after only 7 months at Arsenal. He has also adapted to versatile roles under Mikel.Best player alikuwa Thiago Silva huyo kai alikuwa top scorer wetu ni kwasababu yeye ndio alikuwa forward wetu alifunga goal 7 tu ya epl kwenye mechi 38 anakuaje ni bora?ebu Cash Money Forever tunamsaidie huyu jamaa mbona anavituko