Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha apewe muda, msimu huu usihesabike bure, huwezi kubadilisha timu nzima.afu ukategemea matokeo.
Matokeo gani??
Hakuna shabiki wa Chelsea anataka hayo matokeo
Mashbaiki wengi wanataka kuona progress ambayo hakuna kwa sasa, timu inarudi nyuma
 
Poche na wachezaji waliopo ni pipa na mfuniko.

Sitashangaa kocha mpya akasajili wachezaji wapya sio chini ya 5 kuboresha kikosi.
Tunahitaji wachezaji wazoefu kwenye LB na Striker tu
  • Viungo
  • 'Mawinga
  • Na 10 au CAM
  • RB
  • CB wametoshea
  • Makipa wametoshea
na pengine wamezidi
 
Hatutaki project uchwara na kitapeli ya wachezaji wadogo, hatutaki kocha mdogo De Zerbi, hatutaki kukuza vipaji na kuuza kwa faida.

Tunataka wachezaji mutured word class, tunataka kocha mkubwa, tunataka makombe.

Over £1B transfer expenditure tunasajili ujinga ujinga tuu, tuachane na huo upuuzi wa project ya kindergarten, turudi kwenye misingi ya kibingwa.
Tayari mkuu tumeingizwa kwenye mtego na tumenasa kabisa, ushauri mzuri kwa sasa ni jinsi gani ya kuwa na kocha atakayeweka kasi ya kurudi tulipopotelea ili tuanze kubeba makombe na speed kubwa ni miaka miwili au mitatu
Tupate kocha ambaye Mungu akijalia msimu wa 2025/26 au 2026/27 tuanze kugombea EPL na UCL
 
Kocha apewe muda, msimu huu usihesabike bure, huwezi kubadilisha timu nzima.afu ukategemea matokeo.
Huyu kocha sio wa kupewa muda, angekuwa ni Abramovich angeshamfukuza kitambo na saa hii Chelsea ingekuwa inaranda mitaa ya Westham au Man United
 
Tulia kijana wangu TODDY atakuua kwa presha, probability ya Poche kubaki msimu mwingine ni kubwa kuliko kuletwa kocha mpya.
No, taarifa za ndani kwamba Poche asipoweza kuingiza timu kwenye mashiundano yeyote ya Ulaya kupitia EPL au FA kibarua chake kitakuwa hati hati July 2024
Ashike nafasi ya 7 au ashinde FA ndio itakayomponya
 
No, taarifa za ndani kwamba Poche asipoweza kuingiza timu kwenye mashiundano yeyote ya Ulaya kupitia EPL au FA kibarua chake kitakuwa hati hati July 2024
Ashike nafasi ya 7 au ashinde FA ndio itakayomponya
Ni kweli mkuu unavyosema ila hilo lengo alilopewa Poche ni la kinafiki kwa sababu mistakes zimefanyika nyingi sana kwenye kuunda/kutengeneza timu mpya. Mistakes za kisera, kifalsafa, kiuongozi, kisajili.

Ndio maana wameshindwa kumfukuza Poche pamoja nakuingiza timu gerezani kifungo cha nafasi ya 11. Kumfukuza Poche kwa sasa ni another mistake kwao.

Katika kitu matajiri wanaomba Mungu ni Poche aitoe timu gerezani kifungo cha nafasi ya 11 kupanda nafasi za juu ili kujustify maamuzi yao kiutendaji, kifalsafa, kimaono yalikuwa sahihi katika kujenga timu.

Na kweli Poche akimaliza nafasi za juu juu hatafukuzwa bali matajiri watajikita zaidi kwenye kufanya maamuzi sahihi kwa sajili za wachezaji (kuuza, mkopo na kununua).
 
Mjadala ni kwmba hyo dogo alitufunga tunaambiwa goli la kideo...na mm ndo nimeuliza iliwapa mlichokitaka??
Kwa umri wake na kwa uchezaji wake amezidi malengo ya mchezaji binafsi, hata tukiingia sokoni tuna uhakika Winga wa kulia haitajiki. Hayo unayoleta wewe ni malengo ya team nzima ambay bado inajengwa kwa udongo badala ya zege
 
Kwa umri wake na kwa uchezaji wake amezidi malengo ya mchezaji binafsi, hata tukiingia sokoni tuna uhakika Winga wa kulia haitajiki. Hayo unayoleta wewe ni malengo ya team nzima ambay bado inajengwa kwa udongo badala ya zege
Una uhakika na unachokisema mkuu...anachoki deliver sicho hiki alichotakiwa kukitoa....kwa maoni yangu kwny 100 labda katoa 20...na ukiangalia price tag imemuelemea...angalieni msiwe mkawa mnafuga Kai Havertz mengine wa Chelsea kwny timu yenu....maana hyu wa Arsenal ni tofauti kabisa na yule alokuwa kwenu.... Chelsea sio timu ya kulea na kukuza vipaji...ni timu ambayo unataka mtu a delive hapohapo kitu ambacho sioni akikitoa hyo mfukuza upepo kwa mazingira ya klabu yenu...angalieni msije mkamuuza kwa hasara ndugu zetu
 
Una uhakika na unachokisema mkuu...anachoki deliver sicho hiki alichotakiwa kukitoa....kwa maoni yangu kwny 100 labda katoa 20...na ukiangalia price tag imemuelemea...angalieni msiwe mkawa mnafuga Kai Havertz mengine wa Chelsea kwny timu yenu....maana hyu wa Arsenal ni tofauti kabisa na yule alokuwa kwenu.... Chelsea sio timu ya kulea na kukuza vipaji...ni timu ambayo unataka mtu a delive hapohapo kitu ambacho sioni akikitoa hyo mfukuza upepo kwa mazingira ya klabu yenu...angalieni msije mkamuuza kwa hasara ndugu zetu
Unakoroga sana mada, a ndio maana niliuliza kirafiki una mrate kwa vigezo vipi
Chelsea tayari hatuna makocha wazuri tangu Conte
Hatuwezi kujua vipaji halisi ya wachezaji kwa sababu ya makocha wabovu
Ila hata na hivyo huyo Havertz siyo world class kwa sababu huku Chelsea angeonyesha hata akiwa chini ya makocha wabovu. HUyo anasukumwa na kutukanwa na Arteta. Akija kocha mwingine mtamchukia. Mimi napenda mchezaji kama Palmer anayecheza vizuri wakati timu imeoza na haina kocha mzuri. Mengine kwenye maoni yako ni pura jelousy ambayo itakuharibu wewe mwenyewe
 
Ni kweli mkuu unavyosema ila hilo lengo alilopewa Poche ni la kinafiki kwa sababu mistakes zimefanyika nyingi sana kwenye kuunda/kutengeneza timu mpya. Mistakes za kisera, kifalsafa, kiuongozi, kisajili.

Ndio maana wameshindwa kumfukuza Poche pamoja nakuingiza timu gerezani kifungo cha nafasi ya 11. Kumfukuza Poche kwa sasa ni another mistake kwao.

Katika kitu matajiri wanaomba Mungu ni Poche aitoe timu gerezani kifungo cha nafasi ya 11 kupanda nafasi za juu ili kujustify maamuzi yao kiutendaji, kifalsafa, kimaono yalikuwa sahihi katika kujenga timu.

Na kweli Poche akimaliza nafasi za juu juu hatafukuzwa bali matajiri watajikita zaidi kwenye kufanya maamuzi sahihi kwa sajili za wachezaji (kuuza, mkopo na kununua).
Sidahni kama Poche ataendelea kuwepo msimu ujao kama matokeo na mwendo ni wa gari moshi la zamani kama hivi, SIDHANI. Chelsea inatakiwa msimu ujao ipige hatua kubwa ili kuokoa mambo mengi ikiwepo panga la FFP. Matajiri wanalijua hilo na watafanya juu chini ili makosa hayo yarekebishwe
 
Unakoroga sana mada, a ndio maana niliuliza kirafiki una mrate kwa vigezo vipi
Chelsea tayari hatuna makocha wazuri tangu Conte
Hatuwezi kujua vipaji halisi ya wachezaji kwa sababu ya makocha wabovu
Ila hata na hivyo huyo Havertz siyo world class kwa sababu huku Chelsea angeonyesha hata akiwa chini ya makocha wabovu. HUyo anasukumwa na kutukanwa na Arteta. Akija kocha mwingine mtamchukia. Mimi napenda mchezaji kama Palmer anayecheza vizuri wakati timu imeoza na haina kocha mzuri. Mengine kwenye maoni yako ni pura jelousy ambayo itakuharibu wewe mwenyewe
Best player wenu wa msimu jana was kai, top scorer was kai,,Panga pangua Kai alikua starter apo darajani..

Kai kai remember the name.
 
Sidahni kama Poche ataendelea kuwepo msimu ujao kama matokeo na mwendo ni wa gari moshi la zamani kama hivi, SIDHANI. Chelsea inatakiwa msimu ujao ipige hatua kubwa ili kuokoa mambo mengi ikiwepo panga la FFP. Matajiri wanalijua hilo na watafanya juu chini ili makosa hayo yarekebishwe
Sawa Mkuu wacha tusubiri miujiza
 
Unakoroga sana mada, a ndio maana niliuliza kirafiki una mrate kwa vigezo vipi
Chelsea tayari hatuna makocha wazuri tangu Conte
Hatuwezi kujua vipaji halisi ya wachezaji kwa sababu ya makocha wabovu
Ila hata na hivyo huyo Havertz siyo world class kwa sababu huku Chelsea angeonyesha hata akiwa chini ya makocha wabovu. HUyo anasukumwa na kutukanwa na Arteta. Akija kocha mwingine mtamchukia. Mimi napenda mchezaji kama Palmer anayecheza vizuri wakati timu imeoza na haina kocha mzuri. Mengine kwenye maoni yako ni pura jelousy ambayo itakuharibu wewe mwenyewe
Tunashindwa kuelewana padogo tu...angalia trend ya asilimia kubwa ya makocha wenu wte walowahi kupita hapo...ilikuwa ni nadra sana kuamini raw talents like Mudryk...anzia kwa Salah..De Bruyne na wengine ambao walikuja kuwa wachezaji wazuri baadae....na hili sio kosa la makocha Bali ninaweza sema ni mfumo wa klabu kwmba ukichukuliwa ni hapohapo inabidi u delive...Sasa kwa hyu kijana asipokuwa na mentor mzuri mtakuja kabisa kipaji chake kama mlivyotaka kuua cha Kai...leo Kai anacheza kwa confidence kubwa unataka kunambia kuna nn kimezidi kwake zaidi ya kuwa na Mwalimu anayemjenga kisaikolojia....narudia tena msipokuwa makini Mudryk mtakuwa mmetupa hela
 
😁😁😁😁 2016 hii
 

Attachments

  • IMG_2157.jpeg
    IMG_2157.jpeg
    206.7 KB · Views: 15
Tunashindwa kuelewana padogo tu...angalia trend ya asilimia kubwa ya makocha wenu wte walowahi kupita hapo...ilikuwa ni nadra sana kuamini raw talents like Mudryk...anzia kwa Salah..De Bruyne na wengine ambao walikuja kuwa wachezaji wazuri baadae....na hili sio kosa la makocha Bali ninaweza sema ni mfumo wa klabu kwmba ukichukuliwa ni hapohapo inabidi u delive...Sasa kwa hyu kijana asipokuwa na mentor mzuri mtakuja kabisa kipaji chake kama mlivyotaka kuua cha Kai...leo Kai anacheza kwa confidence kubwa unataka kunambia kuna nn kimezidi kwake zaidi ya kuwa na Mwalimu anayemjenga kisaikolojia....narudia tena msipokuwa makini Mudryk mtakuwa mmetupa hela
Roman naye hakutaka kuchelewesha na vipaji vya akina Salah na Kelvin. Alitaka matokeo makubwa sasa so na makocha hawakuwa na amkosa kwa sababu ndio falsafa ya wakati huo
Hawa matajiri wapya wao wamwekuja na falsafa ya tallents kwanza ambayo nayo sio nzuri, tukichelewa tutajikuta ni anaother version of Arsenal darajani. Inatakiwa kubalance, experience kwa wingi na tallents kidogo kama wanavyofanya City
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom