Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Lakini bado watu hawaoni watamtupia lawama tuKweli ndio maana nasema kuna wakati mwalimu hana lawama zaidi ya wachezaji wake
Lakini bado watu hawaoni watamtupia lawama tuKweli ndio maana nasema kuna wakati mwalimu hana lawama zaidi ya wachezaji wake
Tunaweza kuwa tumecheza vizuri ila why awaambie wachezaj wajiandae kwa penalt against hawa watoto wa liverpoolMnyinge mnyonge haki yake mumpe. Kiukweli ambacho huwa sielewi watu wa hii forum. Sasa hivi lawama kwa Poch lakini hakuna anayesema kuhusu zile nafasi za wazi tulizopoteza.
Poch anatoa comment kuonyesha yuko nyuma ya wachezaji so ameamua kubeba lawama zote. Watu wako hapa kum mock. Zaidi ya nafasi 6 tungeweza kupata uongozi mzuri.
Tusisubiri siku tushinde ndio tuanze maneno ya kinafiki. Leo tumecheza vizuri wachezaji ndio wametuangusha japo pia wamepambana sana.

Hakuna sehemu kawaambia wajiandae kwa penaltyTunaweza kuwa tumecheza vizuri ila why awaambie wachezaj wajiandae kwa penalt against hawa watoto wa liverpool
Badala awashawishi wahakikishe wanapata goal ndani ya dakika hizo unawaambia warudi nyuma ni ujinga wa hali ya juu
Unataka kusema wachezaj ndio walioamua kucheza vile kwenye extratime??????Hakuna sehemu kawaambia wajiandae kwa penalty
Siwezi kusema ila kocha aliongelea mentality ya wachezaji kulingana na mchezo ulivyoendelea hasa kwenye dakika 15 za mwisho. Tusipindishe hapoUnataka kusema wachezaj ndio walioamua kucheza vile kwenye extratime??????
Wachezaj wanaweza kuwa na makosa yao kwq chance tulizopata ila mentality ya kocha kwenye Extratime ilikuwa awful.
Kama unahisi Poch ni right coach, Good for You.Hakuna siku tutaenda mbele kwa mentality kama hizi. Hatuko kwenye kipindi cha Roman Abramovich tulishatoka huko ila kuna watu bado wapo huko. Unaona kabisa kocha anajitahidi kufanya kila kitu lakini kwakua binadamu tumeambwa hatukamilika hawakosekani wanaojua kuona mistakes tu.
Yan kila msimu tutakua tunaanza upya na tutabaki kujiuliza mchawi ni nani.
Game ngapi tumecheza na liver na hao wote walikuwepo Matokeo yalikuaje? Chelsea hata acheze dhidi ya nani ana shida kuu ya kuscoreLiverpool ya leo 👇
1) No Alison (injury)
2) No Matip (injury)
3) No TAA (injury)
4) No Szobo (injury)
5) No Jones (injury)
6) No Salah (injury)
7) No Nunez (injury)
8) No Jota (injury)
Yani Timu Wachezaji 8 wa kikosi cha kwanza hawakucheza na bado umeshindwa kubeba haka Kamickey Mouse Cup?
Huwa unapata wapi ujasiri wa kujiona una Timu?
👇View attachment 2916223
Huyo jamaa ni mlevi, unapoteza muda.Kama unahisi Poch ni right coach, Good for You.
Poch hata akae misim 5 hapa hatoshinda kombe lolote lile kwa mbinu zake.
Squad tulio nayo na Poch ni vitu viwili tofauti hawaendani hata akae misim 5 ni yale yale
Hakuna hata mchezaji hata mmoja atakaedevelop mbele ya Poch
Chelsea Project ni ya UTAPELI na UCHWARANo offense, but you have an average thinking mind.Huyo jamaa ni mlevi, unapoteza muda.
Daah. Yaani unawajia huku kwa kupaka chumvi vidonda?Nyie kenge kweli😂😂😂😂😂😂
hizi ni akili za kipuuzi jamaa yangu, huyu poch alishawahi kushinda kombe lolote la maana huko alikokuwa??? jana angekuwepo kocha yeyote mwenye kombe lolote tungeshinda jana, hamna kocha hapa.Hakuna siku tutaenda mbele kwa mentality kama hizi. Hatuko kwenye kipindi cha Roman Abramovich tulishatoka huko ila kuna watu bado wapo huko. Unaona kabisa kocha anajitahidi kufanya kila kitu lakini kwakua binadamu tumeambwa hatukamilika hawakosekani wanaojua kuona mistakes tu.
Yan kila msimu tutakua tunaanza upya na tutabaki kujiuliza mchawi ni nani.