Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

🤐🤐🤐
 

Attachments

  • IMG_2065.jpeg
    IMG_2065.jpeg
    202.4 KB · Views: 15
Poleni kwa mlioamini mtabeba hili kombe, chini ya Poch hatutakaa tukabeba kombe lolote. Achilia mbali kucheza UEFA. sahauni

Na wapigwe tu, mpaka yule Tajiri kilaza akili imkae sawa.
 
Kwe
Poleni sana The Blues
Hata hivyo tuwapongeze wachezaji na kocha wamejitahidi
Mimi sina lawama kwa wachezaji au kocha
Ila safari bado ni ndefu sana ili kuja kupata timu iliyotulia na inayoweza kushindania makombe
Pamoja na kwamba Pochettino

Poleni sana The Blues
Hata hivyo tuwapongeze wachezaji na kocha wamejitahidi
Mimi sina lawama kwa wachezaji au kocha
Ila safari bado ni ndefu sana ili kuja kupata timu iliyotulia na inayoweza kushindania makombe
Pamoja na kwamba Pochettino anajitahidi ila bado nasema sio kocha wa kutupeleka kwenye nchi ya AHADI
Lawama zipo mkuu hasa hasa kwenye Extra Time hakuna chochote tulichocheza yani nikama tulikiwa tunajilinda na kusubir counter au twende penalt

Structure ya team ni muhim sana ni vile tu watu huwa hawataki elewa

Liverpool na hawa watoto wao unaona uchezaj ni ule ule Haujabadilika ila sisi sasa🤐
 
“Kuna kocha unaona anacheza na vitoto vya shule lakini unaona nini wanajaribu kufanya uwanjani , the core principles of their game ipo vile vile , Kocha hajasiliti anachoamini in the name of " Positive results " alikuwa tayari kufungwa in his own way . Then kuna wengine sasa 😀😀”

By George Ambangile
 
Wale wazee wa kujificha kwenye kivuli cha Experience sijui mtaendelea kujificha kwenye hicho hicho kivuli cha Experience

Under 21 ya liver imetutoa jasho🤣🤣🤣 na tukapigwa juu
Kwangu mpe poche nampa created kabisa ila wachezaji hauna ntka taka hata hivyo poche anajitahid ssa mwalimu akufundishe ukifika goline funga hivy
 
“Kuna kocha unaona anacheza na vitoto vya shule lakini unaona nini wanajaribu kufanya uwanjani , the core principles of their game ipo vile vile , Kocha hajasiliti anachoamini in the name of " Positive results " alikuwa tayari kufungwa in his own way . Then kuna wengine sasa 😀😀”

By George Ambangile
Mfano hao watoto wa Klop wa miaka 18 na 19 waliingia na bado wakatimiza wajibu waliopewa
 
Poch bora hata angeamua kukaa kimya kuliko kwenda kutoa Post Match interview ya vile.

Hatuwez shinda kitu chochote kwa mentality ile akiendelea kuwa kocha
 
Mkuuu hakuna kujificha kwenye kichaka eti majeruhi hapana Chelsea ina wachezaji wa bovu sana kuna wakati naona hata poche ni mwalimu mzuri tu ila wachezaji ndio wa hovyo sana tena sana
Poche hawezi hata mkimpa hii timu katika ubora wao

-------------------Drogba-------------------

Ronaldo ------------Fabregas ------------Messi

--------Toni Kroos ----------- Ngolo Kante-----------

A Cole ------ J Terry --------S Ramos ---- Dani Alves

----------------------Bufon----------------------

Benchi
  1. Manuel Neuer;
  2. Marcelo,
  3. Andres Iniesta,
  4. Luka Modric
  5. Lampard
  6. Neymar
  7. Makelele
  8. Luis Suarez
  9. Eden Hazard;
 
Mmecheza vizuri bahati haikua kwenu

Bahati ilikua kwetu

Kuna muda mpira ni bahati na leo bahati ilikua kwetu

Mna team nzuri mpeni muda kocha

Poleni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom