Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Liverpool wamezidiwa dakika za mwishoni
Wachezaji wao muhimu walichoka wakatolewa
Hawa makinda walioingia tushindwe tu wenyewe
Ningetamani hili gemu lisiingie kwenye matuta
Congratulations haijaingia kwenye penalties kwa kweli Chelsea imekufa tayari imebaki jina hadi today game easy kama hii mmefungwa?
 
Nakuja kubeba ndoo mbele yako na hauta amini. Mnataka kuleta mazoea sasa.

Ila ndugu umepotea sana

Liverpool ya leo 👇

1) No Alison (injury)
2) No Matip (injury)
3) No TAA (injury)
4) No Szobo (injury)
5) No Jones (injury)
6) No Salah (injury)
7) No Nunez (injury)
8) No Jota (injury)

Yani Timu Wachezaji 8 wa kikosi cha kwanza hawakucheza na bado umeshindwa kubeba haka Kamickey Mouse Cup?

Huwa unapata wapi ujasiri wa kujiona una Timu?

👇
BANGE.jpg
 
Hata mimi ni
Liverpool ya leo 👇

1) No Alison (injury)
2) No Matip (injury)
3) No TAA (injury)
4) No Szobo (injury)
5) No Jones (injury)
6) No Salah (injury)
7) No Nunez (injury)
8) No Jota (injury)

Yani Timu Wachezaji 8 wa kikosi cha kwanza hawakucheza na bado umeshindwa kubeba haka Kamickey Mouse Cup?

Huwa unapata wapi ujasiri wa kujiona una Timu?

👇View attachment 2916223
Hata mimi ningeshangaa kama ungeshindwa kubeba kwa Chelsea hii
 
Liverpool ya leo 👇

1) No Alison (injury)
2) No Matip (injury)
3) No TAA (injury)
4) No Szobo (injury)
5) No Jones (injury)
6) No Salah (injury)
7) No Nunez (injury)
8) No Jota (injury)

Yani Timu Wachezaji 8 wa kikosi cha kwanza hawakucheza na bado umeshindwa kubeba haka Kamickey Mouse Cup?

Huwa unapata wapi ujasiri wa kujiona una Timu?

👇View attachment 2916223
Weka na majeruhi wa Chelsea
 
Poleni sana The Blues
Hata hivyo tuwapongeze wachezaji na kocha wamejitahidi
Mimi sina lawama kwa wachezaji au kocha
Ila safari bado ni ndefu sana ili kuja kupata timu iliyotulia na inayoweza kushindania makombe
Pamoja na kwamba Pochettino anajitahidi ila bado nasema sio kocha wa kutupeleka kwenye nchi ya AHADI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom