Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Poch hana akili kabisa hii tabia ya kujicompare na Klopp wakat anakuja liverpool aachane nayo yani anaonekana kama mjinga flani hivi.

Klop tayar alikuwa ni proven winner wakat anakuja liverpool na kwa kikosi chake alichokikuta kwa kuunga unga hakuwah kumaliza nafasu ya 10 o 11
 
Nkunku mwezi mzima nje tena
 

Attachments

  • Screenshot_20240227_161114_Instagram.jpg
    Screenshot_20240227_161114_Instagram.jpg
    414.9 KB · Views: 6
Nkunku ni chaguo mbovu.
Mchezaji fitness yake ndogo amekuwa hivyo toka yupo RB pia alikosa kucheza world cup sababu ya injury alipata training session japo ni mchezaj mzuri. Apa Chelsea walifeli, hususani premier league inahitaji physical battle zaidi tofauti na Bundesliga.

Christopher amekuwa Chelsea takribani kwa siku 241 na kupata majeruhi kwa siku 175. What a bad luck
 
Sawq mkuu watu sio kwamba tunaharaka bali ni ile improvement difference ya msim uliopita na huu ni ipi???

Area ipi tumeimprove na Area ipi tumekuwa solid??

Je pale plan A inapokwama Plan B/C ni ipi?

Saww Wamiliki na Sporting Director wanamakosa

Je Poch ni mtu sahihi? Kukabiliana n Arsenal,City,Liverpool, United ya msim ujao????

Jiulize why against low block team tunatesekan sana msim huu.

Inshort utampa Kocha mda pale mwelekeo unapokuwepo ila kama hakuna mwelekeo ni kazi bure.
Mkuu mm nnavyoiangalia Chelsea naona kabisa kuna muelekeo mzuri sana...hvi wanavyocheza hii style wanahutaji Clinical finishers tu na mabeki wenye roho mbaya basi...fukuza Sterling...fukuza Mudryk yule mmepigwa...fukuza Jackson...halafu tafuta mbadala wa hao watatu....hakyanani hamtajuta...Gallagher naye muonesheni mlango wa kutoka...anawachelewesha....ila style ya uchezaji mko perfect kabisa....mpk Sasa sijaona timu kubwa mlokutana nayo ikawa outplay kabisa...labda ile game ya Liver Anfield...kwhyo mwanga upo kabisa...Arsenal, Chelsea Man City msimu ujao ndo zitafukuzana pale juu...Manunu na Liverkuku sioni wakifanya lolote msimu ujao
 
Huwa network inakata kichwani kwako halafu inarudi...Mudryk mtu sana yule🤠🤠🤠...jipangeni msimu ujao wachezaji watakuwa wameshazoeana na mtaanza ku click....shida yenu mmezoea vya harakaharaka ambavyo kwa Sasa ni vigumu kuvipata....hyo Era imeshapita
Kijana muddy tumemnunua kwa ajili ya kazi moja tu basii, kuwafunga kondoo.
 
Mkuu mm nnavyoiangalia Chelsea naona kabisa kuna muelekeo mzuri sana...hvi wanavyocheza hii style wanahutaji Clinical finishers tu na mabeki wenye roho mbaya basi...fukuza Sterling...fukuza Mudryk yule mmepigwa...fukuza Jackson...halafu tafuta mbadala wa hao watatu....hakyanani hamtajuta...Gallagher naye muonesheni mlango wa kutoka...anawachelewesha....ila style ya uchezaji mko perfect kabisa....mpk Sasa sijaona timu kubwa mlokutana nayo ikawa outplay kabisa...labda ile game ya Liver Anfield...kwhyo mwanga upo kabisa...Arsenal, Chelsea Man City msimu ujao ndo zitafukuzana pale juu...Manunu na Liverkuku sioni wakifanya lolote msimu ujao
mZimu wa mudryk hautokaa ukawaacha salama.
 
Nadhani hujatafakari kabla ya kuandika hii comment yako. Sarri wakati anakuja Chelsea alikua hajashinda kombe lolote akiwa kocha. Lakini silaha yake kumbwa ilikua kina Hazard, Kante, Jorginho n.k

Kweli sikuhizi watoto wamekosa nidhamu yani wanakutukana mpaka wewe Mkongwe hapa kisa tu wameanza kuipenda Chelsea ya Thomas Tuchel iliyobeba UCL?
 
Chelsea fc chini ya TODDY ni Project UCHWARA na KITAPELI.

1. Wakurugenzi wa ovyo
2. Kocha kilaza
3. Wachezaji mazagazaga

"BLUE BILLION POUND BOTTLE JOB"
 
Michezo ya Chelsea yasogezwa

RASMI: Michezo mitatu ya Chelsea ya Ligi Kuu imehamishwa kwa ajili ya matangazo ya TV mwezi Aprili.

  • Man United [h] - Thu 4 Apr - 8.15pm / TNT Sports
  • Sheffield United [a] - Jumapili 7 Aprili - 1.30pm
  • Everton [h] - Jumatatu 15 Aprili - 8pm / Sky Sports
 
Tunaweza kuwa tunawakat mgumu kumpata kocha ajaye maana vilabu vingi vikubwa nao wanataka kocha.
Liverpool
Bayern
Barcelona

Tunakaz kubwa sana kumshawishi kocha ajae kama tukimtimua yule Tapeli wa Argentina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom