Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha wa Chelsea Mauricio Pochettino anafikiria kuhamia kwenye ulinzi wa mabeki watatu nyuma kuboresha uimara wa safu ay ulinzi.
Maoni yangu
Too late but nothing is too late completely, day 2 alitakiwa kufanya hivyo baada ya kuona 4 bacline imefeli
4-2-3-1 imeshindwa kuendena na wachezaji kabisa, ebu ajaribu hiyo labda itasaidia hata timu kwenda Conference league
1707135771090.png
 
Kocha wa Chelsea Mauricio Pochettino anafikiria kuhamia kwenye ulinzi wa mabeki watatu nyuma kuboresha uimara wa safu ay ulinzi.
Maoni yangu
Too late but nothing is too late completely, day 2 alitakiwa kufanya hivyo baada ya kuona 4 bacline imefeli
4-2-3-1 imeshindwa kuendena na wachezaji kabisa, ebu ajaribu hiyo labda itasaidia hata timu kwenda Conference league
View attachment 2895094
Ningesema subirini kwanza tuwapige ila kwa sababu ni nyie, wekeni hata back 10 kichapo kiko pale pale.
 
Haijulikani hadi sasa Romeo Lavia atarudi kikosini lini
1707148946669.png
 
Ikiwa ningekuwa karibu nao, ningewaponda kwa yai bovu ili kuwakumbusha maamuzi yao ya kijinga ya kuleta kundi la watoto kwenye timu na kuchagua meneja asiye na ujuzi wa kuwafundisha.
 
Hawa walikua wachezaji wa Chelsea. Mentality, Energy, Perfomance
 

Attachments

  • VID_66280516_231034_450.mp4
    10.4 MB
Yule kocha hamna kitu. PSG na Spurs hazikua na U25 wala average players
Nilishwai kumuambia hamis77 kuwa ni rahisi 7hag kupanda kuliko hizi Kenge na pochetino wao

Nyumbu kabla msimu haujaanza walitupa kitaulo ulingoni

Kenge hata hiko kitaulo hawana. Hii timu inaenda KUFA
 
Pochettino points out that Villa played Saturday and we played on Sunday.

Msitegemee hiyo kesho huyu angekuta team inacheza UCL au Ueropa situngekuwa tunashika mkia
 
Katika madirisha yajayo kama moja au mbili kuna wachezaji wataomba kuhama kama uongozi utaendlea na huu mradi wa muda mrefu
Zoezi la kuwaleta wachezaji wazoefu liendane na kumleta kocha mwenye akili, aliyethibitika kuwa na akili ya soka
  1. Enzo Fernandez
  2. Reece James
  3. Cole Palmer
  4. Christopher Nkunku
  5. Maikhailo Mudryk
  6. NK
Hii taarifa imenifanya ninyong'onyee kabisa
Kama akiondoka hapo hapo hakuna mchezaji mwenye akili ya mpira atakubali kuja Chelsea
Wamarekani wamimaliza Chelsea kabisa

1707235641354.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom