Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa sabau kakabidhiwa wachezaji wachanga na asio na uzoefu wa EPL Poche wala hatakuwa na haraka wala huzuni. Atatoka kifua mbele kama yeye ndie kashinda na visingizio nyingi za blaa na blaa hadi mtondogooo
Hii timu imeshakuwa PUMBAF
Kuja kucontend makombe hadi aje kocha mwingine
 
Mudryk for Noni
Nkunku for Conor Gallagher
Gusto for Chilwell
At least naona leo Poche kajitahidi kugundua tatizo akarekebisha
Chilwell ametutosa sana leo. Sijui kavuta ugoro au kanywa denegrua au katoka kulala na mademu wa kulewesha
 
Katika madirisha yajayo kama moja au mbili kuna wachezaji wataomba kuhama kama uongozi utaendlea na huu mradi wa muda mrefu
Zoezi la kuwaleta wachezaji wazoefu liendane na kumleta kocha mwenye akili, aliyethibitika kuwa na akili ya soka
  1. Enzo Fernandez
  2. Reece James
  3. Cole Palmer
  4. Christopher Nkunku
  5. Maikhailo Mudryk
  6. NK
 
LADDER..png
 
Yaani katoto kadogo ka miaka 20 kamewafundisha soka, kanapanda mbele kanavyojisikia.

Jumapili wakapange tena na Martinel tuwamalize mapema.
 
Sababu kuu za kushindwa sasa hiviinayotrend ni "TACTICALLY WE WERE OUTCLASSED"
Pochettino is not a tactical manager
He is a coach of basic football
 
Yaani katoto kadogo ka miaka 20 kamewafundisha soka, kanapanda mbele kanavyojisikia.

Jumapili wakapange tena na Martinel tuwamalize mapema.
Hillo goli aliwapa refa na VAR, Fould alitendewa mchezaji aliyetakiwa kwenda kukaba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom