Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bobbyray

Screenshot_20240208-001527-1.jpg
 
Ushindi wa jana, Usitufumbe macho kwa kuhisi Poch ni mzuri,
Sawa Jana tumecheza vizuri ila haitoshi kusema kuwa Poch aendelee kuwa kocha wetu.

Natumai mwisho wa msim watamuondoa tu

Poch hafai kuwa kocha wetu.
Wakuu matatizo ya Chelsea ni makubwa kuliko kocha.
Angalia
=>timu inakosa balance kwa sababu hatuna namba 6,

=>hatuna clinical striker,

=>Thiago is running out of energy na hatuna right substitution akiondoka,

=>Hakuna viongozi pale uwanjani kariba ya Lampard, Drogba, Terry, Peter Chec kwa kutaja wachache.

=> Wachezaji wengi wameanza kucheza pamoja kwa msimu wa kwanza sasa.

=>Watu waliosajiliwa kwa ajili ya kucheza first team wameshindwa kudeliver sababu ya kuumia kwa muda mrefu na wale tegemeo wamekuwa injured.(Nkunku, Lavia, James, Chilwel, Fofana)

=>Kocha amewakuta wachezaji hawa wote siyo yeye aliyewasajiri.

=> Wachezaji ni wadogo kiumri na wana little to no experience.

Sioni kocha wa kuja kuderiver akiwa na wachezaji wachanga kiumri na kiakili namna hii kama tulionao Chelsea. Iangalie Madrid ina watoto ila kuna killer/leaders and experienced players kama Rudiger, Mendy, Modric, Kroos, Courtois.

Sisi Chelse matajiri wameanza project kwa kuwaondoa experienced figures zote na kwa sababu ya matatizo ya Urusi wachezaji kama Chritensen, Rudiger walituacha baada ya mikataba yao kuisha.

Kwa hiyo sasa mimi naamini bila kudeal deeply na matatizo ya timu yetu hatutaimarika. Na kwa kuwa wachezaji wetu ni wadogo kiumri, tunavyowaongezea presha ndipo tunazidi kuwaua kabisa.

We are no longer the same Chelsea of Abramicich, let's stop living in fantasy
 
Ushindi wa jana, Usitufumbe macho kwa kuhisi Poch ni mzuri,
Sawa Jana tumecheza vizuri ila haitoshi kusema kuwa Poch aendelee kuwa kocha wetu.

Natumai mwisho wa msim watamuondoa tu

Poch hafai kuwa kocha wetu.
Yan hafai na jana tulishinda kwa uwezo wa wachezaji. No coaching efforts at all
 
Hizi ni record kabla ya mechi ya jana. Mmoja alikua na Koulibaly, Kovacic, Jorginho na Azpilicueta.

Pressure ni kubwa sana aseeh, mvua zimekata jua limewaka.
 

Attachments

  • Screenshot_20240207_214216_Instagram.jpg
    Screenshot_20240207_214216_Instagram.jpg
    54.8 KB · Views: 6
Ushindi wa jana, Usitufumbe macho kwa kuhisi Poch ni mzuri,
Sawa Jana tumecheza vizuri ila haitoshi kusema kuwa Poch aendelee kuwa kocha wetu.

Natumai mwisho wa msim watamuondoa tu

Poch hafai kuwa kocha wetu.
Ushindi wa jana sio kwamba Pochettino kabadilika, huwa anacheza vizuri mechi hii zitafuata zingine hovyo kwa saba bu sio tactical menmeja, akijaribu kufanya changes daima anaharibu
Bado nitafurahi Pochettino akitimuliwa Chelsea
 
Wakuu matatizo ya Chelsea ni makubwa kuliko kocha.
Angalia
=>timu inakosa balance kwa sababu hatuna namba 6,

=>hatuna clinical striker,

=>Thiago is running out of energy na hatuna right substitution akiondoka,

=>Hakuna viongozi pale uwanjani kariba ya Lampard, Drogba, Terry, Peter Chec kwa kutaja wachache.

=> Wachezaji wengi wameanza kucheza pamoja kwa msimu wa kwanza sasa.

=>Watu waliosajiliwa kwa ajili ya kucheza first team wameshindwa kudeliver sababu ya kuumia kwa muda mrefu na wale tegemeo wamekuwa injured.(Nkunku, Lavia, James, Chilwel, Fofana)

=>Kocha amewakuta wachezaji hawa wote siyo yeye aliyewasajiri.

=> Wachezaji ni wadogo kiumri na wana little to no experience.

Sioni kocha wa kuja kuderiver akiwa na wachezaji wachanga kiumri na kiakili namna hii kama tulionao Chelsea. Iangalie Madrid ina watoto ila kuna killer/leaders and experienced players kama Rudiger, Mendy, Modric, Kroos, Courtois.

Sisi Chelse matajiri wameanza project kwa kuwaondoa experienced figures zote na kwa sababu ya matatizo ya Urusi wachezaji kama Chritensen, Rudiger walituacha baada ya mikataba yao kuisha.

Kwa hiyo sasa mimi naamini bila kudeal deeply na matatizo ya timu yetu hatutaimarika. Na kwa kuwa wachezaji wetu ni wadogo kiumri, tunavyowaongezea presha ndipo tunazidi kuwaua kabisa.

We are no longer the same Chelsea of Abramicich, let's stop living in fantasy
Ndg hauko kwenye uhalisia
Kwanza ulichokiandika ni correct 100%
Malalamiko yetu sio afanye maajabu ya top 4 au kubeba makombe
Hata hii Carabao na FA asipobeba ahakuna shabiki atakayemlaumu
TATIZO KUBWA NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA UELEWE
  • Hana progress nzuri na timu
  • Anavyoikochi timu haionyeshi kuwa hii timu itakuja kuwa nzuri within 2 or 3 years
  • Anapanga timu hovyo
  • Anawaweka wachezaji nje ya nafasi zao hata pale walipoproof kuwa hawafanyi vizuri
  • Anafanya sub za kitoto sana
  • ameshindwa kabisa kuifanya timu icheze agressively
  • Ameshindwa kabisa kuweka balance kwenye mildfield
  • ameshindwa kabisa kutafuta dawa ya chelsea kutoboka kule nyuma, kan'ang'ana na 4-2-3-1 ambayo kwa wachezaji tulionayo inaonyesha haifanyi timu kuwa Solid
  • Kauli zake kwenye media ni hovyo sana, haionyeshi uwajibikaji
Hata ukipeleleza kwenye maoni ya mashabiki wengi dunianbi wanalalamikia the same thing kama nilivyoandika hapo juu

Mechi ya jana ni kwa sababu Villa walikuwa kwenye low form yao hawakucheza ile game yao ya haraka na ung'ang'anizi kwenye kumiliki mipira.

Conclusion
T%unajua timu ni changa
Tunajua kuwa hawana experience
tunajua kuwa wengi wao ni mara ya kwanza kucheza pamoja
tuinajua pia kuwa Pochettino bado hajaleta wachezaji wake
Lakini kama yeye ni elite coach, aonyeshe improvement klwa hao wachezaji
 
Hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa. Haya tuambie na wewe Caicedo ni namba ngapi?
Wewe umeng'ang'ana na Caicedo sio namba 6 natural. DM natural wako wachache sana, viungo wengi wa kileo ni box to box
Hapo Chelsea tunao weng
  • Galagher box2box
  • Enzo box2box
  • Caicedo ni box2box
May be Lavia sijaona kiundani uchezaji wake
Leslye naye anaonekana kuwa ni box2box
 
Wewe umeng'ang'ana na Caicedo sio namba 6 natural. DM natural wako wachache sana, viungo wengi wa kileo ni box to box
Hapo Chelsea tunao weng
  • Galagher box2box
  • Enzo box2box
  • Caicedo ni box2box
May be Lavia sijaona kiundani uchezaji wake
Leslye naye anaonekana kuwa ni box2box
Ninachopinga hapa ni taswira mnayomtetea Caicedo kuwa sio mkabaji, wakati kipindi cha usajili mlikua mkichuana na Liverpool kusajili kiungo mkabaji.

Mwisho wake Liverpool wakamkosa nyie mkampata, Liverpool wakalazimika kumchezesha McAllister out of position kutoka CAM mpaka kuwa CM ili wacheze pivot wapate structure nzuri ya ukabaji, angalia sasa hivi wapo wapi kwenye msimamo.

Hii excuse ya kusema Caicedo sio natural DM ni kwa sababu ya floppiness aliyonayo kwenye ukabaji kwa sasa, kwa sababu tunamjua Caicedo wa Brighton alivyo aggressive na mzuri kiukabaji, wengi tulikua tukimtabiria kuja kuwa DM bora EPL na alikua akichukuliwa km mkabaji.

Sio dhambi kiungo mkabaji kulainika na kuwa box to box, kama ilivyo kwa Rodri na sasa tunaona kwa Rice, ila haibadili fact kwamba Caicedo ni DM.
20240208_142411.png
 
Wewe umeng'ang'ana na Caicedo sio namba 6 natural. DM natural wako wachache sana, viungo wengi wa kileo ni box to box
Hapo Chelsea tunao weng
  • Galagher box2box
  • Enzo box2box
  • Caicedo ni box2box
May be Lavia sijaona kiundani uchezaji wake
Leslye naye anaonekana kuwa ni box2box
Caicedo ni DM
 
Pochetino afukuzwe mwisho wa msimu , huu ushindi ni changa la macho tu
Mwenye akili ya mpira anaona hamna future kati ya huyo zoba , Pochetino na hii timu
 
Huu hapa msumari mwingine wa utosi kwa wale wanaopenda kuona Poch anatimuliwa. Lakini tujiulize swali moja mpaka kufikia Poch kutoa kauli hizi means anajiamini na kujiamini huku kunatokana na aidha kupewa nguvu na management haijulikani wamezungumza nini juu ya mustakabali wake.

Tuemdelee kunywa supu, kama unahisi chumvi nyingi ongeza maji.
 

Attachments

  • Screenshot_20240208_165747_Instagram.jpg
    Screenshot_20240208_165747_Instagram.jpg
    97.8 KB · Views: 6
  • Screenshot_20240208_165754_Instagram.jpg
    Screenshot_20240208_165754_Instagram.jpg
    94 KB · Views: 8
Hapa ndipo ninaposhindwa kuelewa. Haya tuambie na wewe Caicedo ni namba ngapi?
Caisedo anachezeshwa namba 6 ili siyo nafasi anayoimudu. Namba sita halisia ni mchezaji kama Rice au Rodri.
Caisedo yeye ni mzuri kama box to box midfield. Anaweza kuja nyuma kusaidia timu ianze mashambulizi na baada ya hapo atapanda juu kushambilia kama timu ina mpira au kukata umeme huko mbele kwa mbele. Ni mchezaji ambaye hana utulivu wa kukaa mbele ya mabeki muda wote. Hivyo unapomuweka namba sita yaani mbele ya center back ni kuwa Centre back wako watakosa ulinzi dhidi ya mashambulizi. Na hivyo kwa kuwa hakuwa na utulivu ktk eneo la namba sita, mara zote mkishambuliwa beki wanakosa utulivu kwa sababu hakuna namba 6 mbele yao kuwalinda. Na wakati Caisedo inaridi washambuliaji wa timu pinzani wanakuwa wamempiga mgongo kitu ambacho kitamlazimisha kufanya makosa kwenye maeneo ya hatari.
Namba sita halisi kama Rice washambuliaji wanakuja amewatazama uso kwa uso na inakuwa rahisi kuwakabali na inawasaidia mabeki nyuma yake kucheza kwa utulivu. Beki wa kati ili wacheze vizuri wanahitaji namba 6 mzuri mbele yao ili kuwalinda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom