Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

.
1706772373014.jpg
 
Chelsea ya Poch ni sawa na wale wadada wa baikoko wanaovaa dera na kulichomekea kwenye kyupi.
Ndugu yangu Cash Money Forever chelthii ikicheza mashabiki wake hua mnafanyaje? View attachment 2890582
Nimerudi baada ya likizo ya mda kutokana wale vijana wa tetaball kunichani mikeka yangu🤠🤠...una ujinga mwingi sana kaka....Sasa hzi bikini zenye nembo ya watoto wa London unazipost hmu kutokana na matokeo yqo..hii ni sign ya disrespect
 
Mzunguko wa kwanza mmecheza game nyingi za big 6 mkiwa home (vs Liverpool, Arsenal na City) na hizo mechi zote mlisuluhu (1-1, 2-2 na 4-4), mkawa mnamsifu sana Pochetino kwa mpira mliocheza..

Sisi kama wapenzi wa soka tukawaambia mpira siku hizi kuna home advantage, kwa maana mlipaswa kutumia home ground vizuri mpate ushindi. Nyie mkaona tunawaingilia na baadhi yenu mkathubutu kusema kuwa "Hao Liverpool, Arsenal na City tutawafunga huko huko kwao!"

Yalotokea ndio kama hivyo jana. Sasa niwaambie tu, mkija Emirates mnakula 3-0, mkienda Etihad mtachagua mle chuma 4 au 5.
Komea hapo hapo, hakuna aliyemsifu huyu kichwa maji
 
Caisedo ni takataka
Huwezi kublame mchezaji mwenye trend ya kucheza vizuri ambaye naye ni muadhirika wa kuwepo kwenye mikono ya kocha asiye na mbinu za mpira. Tumlete kwanza kocha mzuri then tutajua matakata na maflops ni akina nani
 
Kuna yule kichwa box hajui kitu huwa anamtetea Poch, Haya aje atuambie kwnye mechi ya jana ni mpira wa aina gani umechezwa?
 
Tarehe kama ya leo mwaka 2023 tulitangaza kumsajili Enzo Fernandez. Unluckly he play with shits like Madueke
Na akawekwa chini ya kocha aliyemfanya Messi aonekana kama Bakayoko na Neymar kama Drinkwater. Ndio maana mimi naamini msimu ujao au unaofuata Enzo ataomba kuondoka Chelsea
 
MAdueke ni Takataka
Badiashile ni TakatAka
REFA ni takataka
VAR nayo nitakataka.

Poch kubwa jinga.

#Mudryk anahitaji maombi jamani hayupo sawa.
 
Na akawekwa chini ya kocha aliyemfanya Messi aonekana kama Bakayoko na Neymar kama Drinkwater. Ndio maana mimi naamini msimu ujao au unaofuata Enzo ataomba kuondoka Chelsea
Lionel Messi akiwa na PSG ndani ya misimu miwili kacheza mechi 75 kafunga magoli 32, katoa assist 34 yan ndani ya mechi 75 kahusika kwenye magoli 66. Katika hiyo misimu miwili kabeba ubingwa na ligi ya Ufaransa.

Mnamuongelea Messi gani nyie? Au huu mpira huwa mnativii yenu yakuangalizia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom