Tunahitaji atleast mwenye kutumia angalau 40% ya nafasi tunazotengeneza...siyo kama sasa.
Umewahi, ungelengesha tar 1 April
Namuamini Madueke zaidi ya Broja, Huyo anajaza nafasi tuLeo tunatakiwa kukaza tupate point 3 palepale Anfield ili tukikutana nao fainali waje na hasira tuwakande vizuri tena.
Daah ila kwa Broja na kina Madueke tuombe waamke vizuri leo
Shida Madueke hawezi cheza kama strikerNamuamini Madueke zaidi ya Broja, Huyo anajaza nafasi tu
Broja apate walau dakika 10 tu.Mzee vipi BROJA kidevu mashine ya kazi?
Hakuna kmitu yule, atatupunguzia nafasi, bora nafasi yake Deivid au CasadeiBroja apate walau dakika 10 tu.
Me ningependa sterling ndio acheze no 9 ya uongo sio palmerLine up 4-2-3-1
----------------Palmer------------------
Sterling --------Gallagher---------Madueke
------Enzo --------------- Caicedo -------
Chilwell-----Silva-----Disasi ------Badiashile
---------------- Petrovic------------------