Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tangu Chilwell acheze LW amekuwa akicheza hovyo tena sana. Anashambulia vizuri akicheza LB
Hakukuwa na haja ya kutumia hiyo kama kigezo wakati kwenye LW na RW tunao wengi. Chilwell ni LB mzuri kila mtu anajua hilo na kucheza LB haimzuii Chilwell kushambulia kama kawaida yake
Poch anajua kuliko sisi wote
 
Kwa macho ya kishabiki naweza kusema sio sawa. Ila wenye macho ya coaching(proffessionals) na hata kwa ku crate simple logics kama navyofanya mimi(average knowledge) unaweza jua intention yake inakua ni nini hasa kulingana na mazingira na mahitaji ya game husika.

So kwangu mimi naweza laumu pengine labda kwa sababu kilichofanyika hakijaleta matokeo chanya.

Mkuu makocha nao wanakosea hata kama ni proffessional raia wa huku nje tunaona kabisa kocha anakosea.

Kocha akikosea huwa inaonekana na nikama akifanya vizuri
 
Kwa macho ya kishabiki naweza kusema sio sawa. Ila wenye macho ya coaching(proffessionals) na hata kwa ku crate simple logics kama navyofanya mimi(average knowledge) unaweza jua intention yake inakua ni nini hasa kulingana na mazingira na mahitaji ya game husika.

So kwangu mimi naweza laumu pengine labda kwa sababu kilichofanyika hakijaleta matokeo chanya.
Mkuu usijiabishe hapo, makocha sio kila jambo wanapatia, Poche hapo kaboronga kwa Chilwell kama alivyoboronga kwa Enzo mwanzoni, kajisahihisha akamrudishia Enzo roles zake sasa anacheza vizuri

Chilwell mara hizo chache alivyocheza LW hakucheza vizuri, huitaji kuwa na knowledge ya mpira wala experience, unachohitaji ni macho tu na kumfuatilia kila mechi anapocheza
 
Vince™
@Blue_Footy
Pep Guardiola changed how City play to suit Haaland after struggling in the beginning.
That's what we must do to get the best out of Victor Osimhen if we sign him. You don't buy a £120m player and don't play to his strength in the name of adapting.
You must play to the strength of your most important player. We must not make Tuchel's mistake with Lukaku twice.
If the manager is stubborn and wants to stick to his preferred style like Tuchel, then buy a player that suits his game. Football is simple unless you want to make it complicated for yourself.
 
Ukocha wa mdomo ni mrahisi ukiwa unaangalia mechi kwenye T.V. na kucomment Arteta this, Arteta that.

Mpira ni science, sio kwamba kumpanga mchezaji kwenye position yake na kucheza role yake ndio kushinda mechi.
Atleast wewe unaelewa hili. Yan tuko wepesi sana kulaumu kwakua pengine haikufanikiwa ila kama lingefanikiwa tusingekua na maneo haya. Lakini coaching ni zaidi ya kile tunachokiona kwenye touchline. Naamini humu wengi wanaelewa ila tu wameamua kukaza mafuvu.
 
Ukocha wa mdomo ni mrahisi ukiwa unaangalia mechi kwenye T.V. na kucomment Arteta this, Arteta that.

Mpira ni science, sio kwamba kumpanga mchezaji kwenye position yake na kucheza role yake ndio kushinda mechi.

Mkuu kuna kitu mnashindwa kuelewa, unapojaribu kufanya jambo lile lile kila game nabado halileti matunda nani anaonekana mjinga?

Once unapopanga mchezaj out of his position kuepuka watu kutoongea ni kupata matokeo tofauti na hapo kubali kukosolewa.
 
Ingekuwa hivyo vilabu visingekuwa vinaingia sokoni kuongeza lundo la wachezaji kwenye nafasi moja.

Mpira ni science una variable, factors, dimension nyingi.
Wengi tunachukulia simple haya mambo ndio maana tuko wepesi kulaumu kwa mwamvuli wa ushabiki. Eti ukiwa shabiki basi una haki ya kulaumu kivyovyote tunasahau hapo nilipo bold. Football ni zaidi ya kile tunachokiona kwenye pitch zipo factors mbalimbali lazima ziwe considered ili kupata a desired outcome, lakini watu wanaangalia upande mmoja tu. It is not fair

Well said mkuu.
 
Kwa Poch tuna uhakika wa asilimia fulani za kuwin makombe
 

Attachments

  • Screenshot_20240126_065233_Instagram.jpg
    Screenshot_20240126_065233_Instagram.jpg
    81.2 KB · Views: 10
Kama tunataka kuingia top 4 lazima mfungaji mzuri atafutwe ata kama atakaa msimu mmoja tu.
 
Atleast wewe unaelewa hili. Yan tuko wepesi sana kulaumu kwakua pengine haikufanikiwa ila kama lingefanikiwa tusingekua na maneo haya. Lakini coaching ni zaidi ya kile tunachokiona kwenye touchline. Naamini humu wengi wanaelewa ila tu wameamua kukaza mafuvu.
Huyo Poche wenu akibahatisha ndio mtatupiga na mawe sana, ila mimi naamini Poche ni average coach ni muda tu ndio hakimu wa hili, hata tubishane sana mechi hii kaboronga mechi kapatia hadi mwisho wa ligi, msimu kwa msimu achievement inakuwa ndogo sana
 
Majeruhi bado inatuamndama na kutuumiiza

RB wote muhimu wako majeruhi
James na Gusto
Nkunku naye hatakuwepo
Mechi ya kesho dalili zote zinaonyesha tunaweza kupoteza points zote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom