Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Badiashile na Kocha wake wameikost timu....ili chuma ikomaa lazima ipite kwenye moto.
Hata Chilwell kabla hajatoka
Poche pia na
Refa na VAR
Wote hao wameihujumu Chelsea leo
 
Yaani katoto kadogo ka miaka 20 kamewafundisha soka, kanapanda mbele kanavyojisikia.

Jumapili wakapange tena na Martinel tuwamalize mapema.
Ijumapili mnakufa tena hapo hapo kwenu kama tulivyowafanya kwenye FA Cup.
 
tangu dakika 20 tu za mwanzo haikuhitaji uwe na degree kuona jins tayar tumeishaingia kwenye mfumo wa Liverpool, Hakuna chochote tulichokuwa tunafanya.

Na msitegeme kama Carabao Cup final tutamfunga Liverpool Poch tactically sio mzuri na kwa mpira wake he is not the manager kwa hawa wachezaji

Ukitoa makosa ya Wachezaji na Poch kiufundi, Hivi yale makosa ya Refa Poch alikuwa hayaoni mpaka atulie vile hadi kwenye press conference mpaka aseme hana cha kulalamika.
Angalia Klop,Arteta, Pep maamuzi yarefa yakowa hovyo huwa wanakuwaje ila yeye anaona ninsawa
 


IMG_1682.jpg
 
Chelsea’s last 7 away games:

Liverpool 4-1 Chelsea (still counting)
Middlesbrough 1-0 Chelsea
Luton 2-3 Chelsea
Wolves 2-1 Chelsea
Everton 2-0 Chelsea
Man Utd 2-1 Chelsea
Newcastle 4-1 Chelsea
 
Tumuachie Mungu atalipa

Makocha wote wa Chelsea huwa hawako hivi

Poch ashafanya kazi yake ya kukifanya kikosi kisettle ila if tunataka kuwa tunaenda toe to toe na hawa top six away from home, n na hawa wadogo wengine then Next season tunahitaj kocha mwingine


Kama Kocha aliwah mfanya hadi Messi aonekane ni Average Player then sisi ndio tumuone anafaa ni ukosefu wa akili
 
Makocha wote wa Chelsea huwa hawako hivi

Poch ashafanya kazi yake ya kukifanya kikosi kisettle ila if tunataka kuwa tunaenda toe to toe na hawa top six away from home, n na hawa wadogo wengine then Next season tunahitaj kocha mwingine


Kama Kocha aliwah mfanya hadi Messi aonekane ni Average Player then sisi ndio tumuone anafaa ni ukosefu wa akili
Hamjasema bado
 
tangu dakika 20 tu za mwanzo haikuhitaji uwe na degree kuona jins tayar tumeishaingia kwenye mfumo wa Liverpool, Hakuna chochote tulichokuwa tunafanya.

Na msitegeme kama Carabao Cup final tutamfunga Liverpool Poch tactically sio mzuri na kwa mpira wake he is not the manager kwa hawa wachezaji

Ukitoa makosa ya Wachezaji na Poch kiufundi, Hivi yale makosa ya Refa Poch alikuwa hayaoni mpaka atulie vile hadi kwenye press conference mpaka aseme hana cha kulalamika.
Angalia Klop,Arteta, Pep maamuzi yarefa yakowa hovyo huwa wanakuwaje ila yeye anaona ninsawa
Hata refa angewabeba msingebebeka
Kichapo ni kile kile
Hamna timu ya kutufunga nyie kenge
 
Mzunguko wa kwanza mmecheza game nyingi za big 6 mkiwa home (vs Liverpool, Arsenal na City) na hizo mechi zote mlisuluhu (1-1, 2-2 na 4-4), mkawa mnamsifu sana Pochetino kwa mpira mliocheza..

Sisi kama wapenzi wa soka tukawaambia mpira siku hizi kuna home advantage, kwa maana mlipaswa kutumia home ground vizuri mpate ushindi. Nyie mkaona tunawaingilia na baadhi yenu mkathubutu kusema kuwa "Hao Liverpool, Arsenal na City tutawafunga huko huko kwao!"

Yalotokea ndio kama hivyo jana. Sasa niwaambie tu, mkija Emirates mnakula 3-0, mkienda Etihad mtachagua mle chuma 4 au 5.
 
tangu dakika 20 tu za mwanzo haikuhitaji uwe na degree kuona jins tayar tumeishaingia kwenye mfumo wa Liverpool, Hakuna chochote tulichokuwa tunafanya.

Na msitegeme kama Carabao Cup final tutamfunga Liverpool Poch tactically sio mzuri na kwa mpira wake he is not the manager kwa hawa wachezaji

Ukitoa makosa ya Wachezaji na Poch kiufundi, Hivi yale makosa ya Refa Poch alikuwa hayaoni mpaka atulie vile hadi kwenye press conference mpaka aseme hana cha kulalamika.
Angalia Klop,Arteta, Pep maamuzi yarefa yakowa hovyo huwa wanakuwaje ila yeye anaona ninsawa
Refa mjinga sana na VAR nayo kuna muda ni takataka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom