Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naitwa Wesley Fofana nimesajiliwa Chelsea kuja kula mshahara bure, mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam.
Wesley_Fofana_profile_23-24_avatar-removebg.jpg
 
THE BLUES ndio timu inayoongoza kwa kumiss chance za wazi za kufunga magoli.

Nini maana yake?

Kinachofanyika uwanjani ni kizuri zaidi ya hizo Pattern ila wafungaji wana uwezo mdogo wa kufunga magoli.

Team ingekuwa inacheza ovyo ovyo wala haitengenezi nafasi nyingi za kufunga hapo 100% ningesema Poche ni mzigo.

Ila kwa sasa mizigo ipo 50% (Kocha) kwa 50% (Wachezaji)

Mkuu why unaangalia chance tunazokosa rather than uangalie hizo chance tunatengenezaje
Ni team effort kama team iliyokuwa coached au ni individual brilliance??
 
Baada ya HT toa Sterling, weka Mudryk katika dakika ya 60,
toa Gusto, weka Gilchrist dakika ya 65,
toa Broja, weka Daivid dakika ya 70,
toa Cowil, weka Chilwell dakika ya 80,
toa Gallagher, weka Carney Chukwuemeka dakika ya 80
1705153222088.png
 
Ila hii timu haina kocha kabisa, zero tactics (just pass the ball ) wachezaji wanautoto mwingi hakuna wa kuwakemea wala kuwaimprove.
 
Mimi binafsi simchukulii Nkunku kama ni Injury prone
rekodi yakle ya nyuma inaonyesha alikuwa na majeruhi kidogo na ya kawiada kama wachezaji wengine ila alipokuja Chelsea akakaribishwa na majeruhi kama ya James na Chilwell

View attachment 2869269
Mkuu hivi unamfuatilia Pulisic na RLC huko Ac Milan? Wale jamaa ni panga pangua huko na wanaviwango vizuri tu. Lakini walipokua Chelsea kila baada ya 7 wanachechemea.

Kuna tatizo kwa ma physiotherapy wa Chelsea. Tutammiss sana Eva Carnelo
 
Nipo naangalia Burnley Vs Luton, wapo mkiani ila wanacheza mpira wakueleweka kuliko chelsea. Vicent Company amempita vitu vingi sana Poch.
Nasikitika tulimtoa Ross Barley ambae anajitahidi kupga hata pass za maana tukabaki na kilaza Gallager ambae anatumia energy kubwa,wkt kupga hata pass moja ya maana hajui.
Hata Graham Potter alipokua Brighton alifanya mambo mazuri sana lakini nini kilimkumba alipokuja Chelsea? Unataka kuniambia sasa hivi Company ni kocha mzuri kuliko Poch? What a joke is this🤔
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom