Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

️There remains a genuine belief that Mauricio Pochettino is the right man to lead Chelsea forward on the pitch.

As always with any club, the situation will be assessed at the end of the season and that is certainly the case at Chelsea.

#CFC

Safi sana Poche amalize msimu hizi timua timua za haraka zitatuletea poor coach mwingine.
Taratibu na sisi mashabiki tunaanza kuzoea hali na kuridhika kuwa Chelsea sio timu ya makombe tena
Wachezaji wao tayari na kocha, wamiliki na Uongozi nao wanaridhika taratibu. Hadi misimu mitatu au minne, tutajikita kwenye midtable
Tutakuwa confotable tukishika no. 10-12 ali mradi hatushuki daraja.
Kama akina Palace
Hata Westham, villa, Brighton sasa hivi wana hamu ya makombe kutushinda sisi
 
️There remains a genuine belief that Mauricio Pochettino is the right man to lead Chelsea forward on the pitch.

As always with any club, the situation will be assessed at the end of the season and that is certainly the case at Chelsea.

#CFC

Safi sana Poche amalize msimu hizi timua timua za haraka zitatuletea poor coach mwingine.

Wanaona aibu hakuna lolote. Huwez tumia 3 months kutafuta kocha halaf top 2 yako uwe na Pochetino na Vincent Company ni aibu ya hali ya juu.
 
Taratibu na sisi mashabiki tunaanza kuzoea hali na kuridhika kuwa Chelsea sio timu ya makombe tena
Wachezaji wao tayari na kocha, wamiliki na Uongozi nao wanaridhika taratibu. Hadi misimu mitatu au minne, tutajikita kwenye midtable
Tutakuwa confotable tukishika no. 10-12 ali mradi hatushuki daraja.
Kama akina Palace
Hata Westham, villa, Brighton sasa hivi wana hamu ya makombe kutushinda sisi

Tegemea Ban ya usajili,

Bila champions league misim miwili ijayo tutakiwa na hali mbaya kimapato,

Ukiangalia issue ya shirt sponsor Riyadh Airways wako tayar kutudhamin ila deal lao litategemea ushiriki wetu Champions league.

Kadri siku tunavyozidi kuboronga ndio tunazidi kuapata loss katika mapato kuanzia haki za matangazo,ushiriki,wadhamin hawawezi toa 50 au 60 kwa mwaka kwa team isiyoshiriki ucl
 
Matajiri wako tayari kuingia sokoni kumnunua striker na LB
1704914800343.png
 
Tatizo sio kufungwa na Middle, tatizo ni jinsi wale watoto walivyocheza kama wao ndio timu kubwa. Chelsea huwa wanacheza kama wazee. Pasi zinapgwa kwa mabeki tu. Viungo wanajificha kupokea passi, hivi Poch anafundisha nini?!
Waungwana twendeni huko duniani twiter, insta. Tukachafue na POCH OUT, mana ndicho kilichobaki. Kocha wa hovyo sana
 
Laana ikifika, imefika
Hakuna mahali mnaenda
Kwamba laana ya MRUSI kunyang'anywa timu?

Hapana Roman ndio alibariki mchakato mzima wa kuuza Chelsea, ndio maana akatoa zabuni kwa kampuni kusimamia mauzo ya timu kwa masharti ambayo Roman aliyaweka ikiwemo atakayenunua aendeleze mchakato wa kupanua uwanja na kuendeleza Chelsea academy iendelee kuwa academy bora duniani.

Na Roman hakulazimishwa kuuza timu bali aliuza kwa mapenzi yake kwamba timu isiendelee kuwekewa vikwazo vya kiuchumi kupekea kufanya vibaya na kushuka daraja.

Laana ya Roman itawatafuna serikali ya UK sio club THE BLUES.

Nadhani hata huko Roman alipo atakuwa anaumia sana THE BLUES kuwa mid table team.

Walionunua timu wakina Toddy ndio washamba wa mpira wanaendesha timu shangalabangala
 
Kwamba laana ya MRUSI kunyang'anywa timu?

Hapana Roman ndio alibariki mchakato mzima wa kuuza Chelsea, ndio maana akatoa zabuni kwa kampuni kusimamia mauzo ya timu kwa masharti ambayo Roman aliyaweka ikiwemo atakayenunua aendeleze mchakato wa kupanua uwanja na kuendeleza Chelsea academy iendelee kuwa academy bora duniani.

Na Roman hakulazimishwa kuuza timu bali aliuza kwa mapenzi yake kwamba timu isiendelee kuwekewa vikwazo vya kiuchumi kupekea kufanya vibaya na kushuka daraja.

Laana ya Roman itawatafuna serikali ya UK sio club THE BLUES.

Nadhani hata huko Roman alipo atakuwa anaumia sana THE BLUES kuwa mid table team.

Walionunua timu wakina Toddy ndio washamba wa mpira wanaendesha timu shangalabangala
Wazi
 
Breaking:

Chelsea wamewasiliana na Hansi Flick kuhusu nafasi ya muda ya miezi 6. Iwapo Pochettino atashindwa kuifunga Fulham au Middlesbrough, nafasi yake itachukuliwa.

[Der Untergang] Chanzo hiki sio ya uihakika, nahisi hizi taarifa ni za kupika

Chelsea have contacted Hansi Flick about a 6 month interim position. If Pochettino fails to beat Fulham or Middlesbrough, he will be replaced. [Der Untergang]

1705031448525.png
 
Mimi binafsi simchukulii Nkunku kama ni Injury prone
rekodi yake ya nyuma inaonyesha alikuwa na majeruhi kidogo na ya kawiada kama wachezaji wengine ila alipokuja Chelsea akakaribishwa na majeruhi kama ya James na Chilwell

1705032277577.png
 
Mimi binafsi simchukulii Nkunku kama ni Injury prone
rekodi yakle ya nyuma inaonyesha alikuwa na majeruhi kidogo na ya kawiada kama wachezaji wengine ila alipokuja Chelsea akakaribishwa na majeruhi kama ya James na Chilwell

View attachment 2869269
Kwani mbona wachezaji wanaumia sana pale Stamford Bridge ? .
Wanafanyishwa mazoezi gani ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom