Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Shida ya Broja na Jackson inajulikana na sisi hatuzungumziii huko
Shida inaanzia hasa kwa mabeki na viungo
CB wanne bila fullback unategemea nini
Amemjaribu Enzo kwenye namba 10 amekuwa ineffective ila yeye analazimisha tu
Mchezaji yuko hovyop uwanjani anamuacha hadi dakika 90 ziishe
Shabiki anayefuatailia mechi haya madhaifu anayajua kabisa
Mshabiki ninaona kabisa kuna shida lakini coach mwenye kazi yake wala ajisumbui,key player wawili Palmer , Sterling wanakosa mechi kwa yellow card kwa wakati mmoja coach wala hajisumbui,coach anaye winga nje anampanga beki kuwa winga kiufupi anafanya trial and error,kiufupi mashabiki tuko serious kuliko coach.
 
Msimu huu Arsenal hawako kama msimu uliopita mimi niliona tangu ligiu ianze, ni mashabiki wagumu tu ndio walikuwa wanabisha. Tatizo la Arsenal ni kama la Chelsea hawan wafungaji wazuri na Declan rice hana pivot wake mzuri, defence wako wawili tu Saliba na Gabriel
Kwenye usajili Arteta hakufanya vizuri lakini bado Arteta ni kocha mzuri, wakimtamani mwingine anaweza kuja kuwarudisha walikotoka. Bora sasa hivi wanashiriki michuano mikubwa ya UEFA ili pochi iongezeke na pia wachezaji wakubwa wapende kwenda Arsenal
 
Sasa wale mashabiki wenzangu hapa wanaomsifia ARTETA ni bonge la kocha, tunaitaji kocha aina yake.

Mbona Arse8 fans wanamtukana sana, Kwamba anawapotezea muda hana lolote ajualo.

Ni kweli tunahitaji kocha aina ya ARTETA?

Huwez kusema Artata ni mbaya kwa matokeo ya jana, Ameitoa team huko mtaa wa 8 mpaka sasa kuwa title contender

Wanahitaji maboresho sehem chache (LB,CF,LW) na back up za baadhi ya wachezaji
 
Lavia na Mudryk waingia kwenye majeruhi na hawatakuwepo kesho
So Sterling na Palmer watarudi kwenye nafasi zao

Line up prediction against Luton Town Away

Formation 4-2-3-1

----------------Jackson ---------------------

Sterling ----------Nkunku --------------Palmer

-------Caicedo --------------Gallagher-------

Colwill --------Silva-------Disasi -------- Gusto

-----------------Petrovic -------------------
 
Kazi tunayo mbele ya Luton leo , wale madogo pale kwao wamekuwa na matokeo mazuri na kiwanja chako kidogo wanajua kukitumia ,inabidi approach iwe tofauti leo ,la sivyo ni kuendeleza matokeo mabovu tu
 
Kazi tunayo mbele ya Luton leo , wale madogo pale kwao wamekuwa na matokeo mazuri na kiwanja chako kidogo wanajua kukitumia ,inabidi approach iwe tofauti leo ,la sivyo ni kuendeleza matokeo mabovu tu

Game ya leo ni ngumu, Poch akijitoa akili leo tunaacha point zote 3 hapo
 
Ndugu ninaungana na nyinyi huyu kocha akili ndio kikosi gani hichi cha kutuanzishia kwanini anapenda kufanya majaribio unampango broja winga wakati una mudryk na nkuku
 
Game ya leo ni ngumu, Poch akijitoa akili leo tunaacha point zote 3 hapo
Kashajitoa akili huko

-----------Broja ------------------

Jackson ----- Plamer ------Madueke

---Caicedo ------------Gallagher---

Colwill -----Silva-----Disasi ----Gusto

-------------Petrovic-------------
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom