Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii game inaweza ikaisha 3-3, Pochettino hafanyi jitihada ya kumaliza game
 
Hii game itaisha 3-3 sijajua tunazuiaje ni ujinga ujinga tu
 
hii ilikuwa inaonekana tangu mwanzo tu tumewaruhus Luton kuwa mchezon tangu mwanzon yani hata baada ya kuongoza bado tukawa tunawaruhus Luton
 
Sasa ndio Pochettino anashtuka, Mabeki walitakiwa wafanyiwe mabadiliko mapema sana
 
Sasa ndio Pochettino anashtuka, Mabeki walitakiwa wafanyiwe mabadili8ko mapema sana
Dk sita za moto sana weka mudrky ,nkunku muache maduake,yeye kamuweka nkunku kamtoa madueke ,kamuweka enzo ni vituko vituko tu kwa coach wetu ,coach hajielewi.Kuzuia hatuwezi unaacha kushambulia.
 
Ushindi wa mchongo sana, Chelsea tuna shida wapi, ni viungo wetu dhaifu au mabeki
 
Poch out

Inatosha sasa tumeshinda lakini tunaruhusu magoal yale yale kila siku
 
Poch out

Inatosha sasa tumeshinda lakini tunaruhusu magoal yale yale kila siku
Ila jamaa ni kichwa maji sana yule , yaani hajifunzi na kubadilika , pumbavu sana
Nachukia ushindi wa papatu papatu kama hivi
Poche ni mavi , hafai kuwa pale Bridge
Akili ndogo sana
 
Huu ushindi sio wa Kupongeza hata kidogo
Luton wangecheza hivi kipindi cha kwanza tungekunywa goli nyingi sana
1703946740002.png
 
Dk sita za moto sana weka mudrky ,nkunku muache maduake,yeye kamuweka nkunku kamtoa madueke ,kamuweka enzo ni vituko vituko tu kwa coach wetu ,coach hajielewi.Kuzuia hatuwezi unaacha kushambulia.
Enzo hakuhitajika kabisa muda huo tulikuwa tumeanza kulemewa, Ilihitajika kubadili form kwa kuweka mabeki watano na viungo wakabaji 3-5-2 ingefaa sana
 
Tumeshinda ila kiperformance hapana.

Unaongoza 3-0 ila hakuna control yoyote ya game mwisho wa siku ni pressure tu Tangu mwanzo nilisema tunaongoza ila ni Luton ndio wanaonekana wako bora.

Dakika 15 za mwisho wakaonesha hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom