Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sema kuna aina ya makocha ni tofauti sana wapo ambao wanaitaji muda angalau msimu mmja upite, ule unaofuata ndo wanaonyesha walichonacho ila kwa uzoefu wa poch nashindwa kuamini ni kocha wa aina iyo kabisa.
 
😂😂😂

20231210_223252.jpg
 
Michel ni mfano mwingine jinsi kocha anaweza kuadhiri matokeo ya timu. Leo Girona wameifunga Barcelona 4-2 na kwenda kileleni mwa msimamo wa Laliga kwa pointi 41, pointi 2 juu ya Real Madrid. Huku Chelsea tutahangaika mpaka tutambue kwamba Pochettino hataipeleka Chelsea popote
1702253561112.png


1702253802617.png
 
Michel ni mfano mwingine jinsi kocha anaweza kuadhiri matokeo ya timu. Leo Girona wameifunga Barcelona 4-2 na kwenda kileleni mwa msimamo wa Laliga kwa pointi 41, pointi 2 juu ya Real Madrid. Huku Chelsea tutahangaika mpaka tutambue kwamba Pochettino hataipeleka Chelsea popote
View attachment 2839107

View attachment 2839110
hii wiki imekuwa mbaya sana kwa baadhi ya timu kubwa
 
Michel ni mfano mwingine jinsi kocha anaweza kuadhiri matokeo ya timu. Leo Girona wameifunga Barcelona 4-2 na kwenda kileleni mwa msimamo wa Laliga kwa pointi 41, pointi 2 juu ya Real Madrid. Huku Chelsea tutahangaika mpaka tutambue kwamba Pochettino hataipeleka Chelsea popote
View attachment 2839107

View attachment 2839110

Kuna makocha wazuri wapo

Mtu kama hataki elewa umuhimu wa kocha angalia NAPOLI

Kuna makocha wazuri wapo ila sijui ilikiwaje tukaishia kwa Pochetino
 
Kwenye usajili nakubaliana na wewe ila umesahau kitu kimoja, Roman alikuwa anasajili makocha wenye uwezo. ikitokea bahati mbaya aliyedhaniwa siye anafukuzwa chap chap. Mfano Dimateo pamoja na kushinda UCL alifukuzwa haraka sana kwa sababu asingeweza kuipeleka Chelsea kwenye nchi ya ahadi
Policy ya hawa wamerewkani kwenye usajili ni ya kijinga sana
  1. Mshahara mdogo halafu mashabiki wakashangilia - no motivation
  2. Umri mdogo mashabiki tukashangilia - no experience
Usisahau lile suala kuu la kukwepa FFP rules kwa kuwapa wachezaji mikataba mirefu sana kwa mara moja, kama Muddy si mmempa miaka 8? Dili za kihuni kama hizo zikienda vibaya baada ya miaka 2, mtajikuta na wachezaji walioshuka thamani na hamuwezi kuwatoa kirahisi.
 
Kabisa mkuu....walau kidooogo tungeombea ndugu zetu wasiwe na Hali mbaya sana ila tatizo wale jamaa Wana maneno ya shombo sana
Itakuwa hawataki, hawapendi au hawawezi tu kutumia busara. Wao wanajua kabisa timu yao ndiyo vibonde wa top 10-15 na hawawezi kufululiza mechi 3 bila kichapo, hivyo wanapaswa kukaa kimya. Ila sasa....
 
Kuna tofauti kati ya kumboresha mchezaji wenye experience na kumboresha mchezaji ambaye hana experience.

Poche kwa sasa haboreshi experience bali anafunga pampas.

Ila Chelsea yangu bahana tutarudi tukiwa imara zaid lakin kwa kocha tumpe objective ili ajifunge mwenyewe nusu mzimu ukiisha tuwe top 7 if not apambanie America kusini
 
Itakuwa hawataki, hawapendi au hawawezi tu kutumia busara. Wao wanajua kabisa timu yao ndiyo vibonde wa top 10-15 na hawawezi kufululiza mechi 3 bila kichapo, hivyo wanapaswa kukaa kimya. Ila sasa....
😀😀...kabisa mkuu...mda wte Wana hekaheka kwny majukwaa ya wenzao utadhani wanaogea nje
 
Me naona kocha si mbaya kama watu wanavyoongea hapa soka tunacheza vizuri shida wachezaji wanafanya mistake zinazotugharimu, ukiacha hilo tunakikosi finyu sana pale kati hakikosekana Caicedo au Fernandez hatuna mbadala hata Caicedo sio no 6 halisi tunafosi tu kumchezesha hiyo nafasi ukienda kwenye winga kwa kweli sterling alitakiwa awe back up sio regular starter in short hii team imeharibiwa na uongozi kwa kiasi kikubwa yaani tunatatizo kabisa la striker wao wanaenda kwa Jackson tunambebesha bure Mzigo Pottetino.Team inasajili makinda wengi kuliko wachezaji wakwenda kuanza kwenye kikosi ipo serious kweli? Naungana na Cash Money Forever shida sio kocha
 

Ila Chelsea yangu bahana tutarudi tukiwa imara zaid lakin kwa kocha tumpe objective ili ajifunge mwenyewe nusu mzimu ukiisha tuwe top 7 if not apambanie America kusini
Hi timu ifutwe ,uwanja wa Stamford bridge liwe zizi la nguruwe ,boehly na genge lake waanze kufuga nguruwe tu
Waache ujinga huu wanaoufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom