Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea inahitaji wachezaji 4 wakubwa katika dirisha dogo ama inataka wala kufufua matumaini ya kushiriki walau Uefa ndogo.
1. Beki wa Kati 1
2. Beki wa kulia mmoja 1
2. Holding midfilder mmoja
3. Striker mkali mmoja.

Bila hivyo ndugu zangu, tukitoboa saaana basi number 16 msimu utakapoisha.
Mabeki tunawahitaji wa kulia na kushoto, Chilwell na James ni wagonjwa kila wakati wako kitandani
 
Wamilki na kila mtu pale Chelsea wanakubali kuwa hali ilivyo kwa sasa haikubaliki na watafanya kila jitihada kuona kuwa dirisha dogo la January usajili wa kuziba pengo linalooneka dhahiri sasa litafanywa.
Kwa sababu hii Mkurugnezi wa michezo Paul Winstanley naLaurence Stewart, wamiliki Boehly na Eghbali watakutana na Kocha Pochettino ili kuyajadili kuhusu dirisha la January. Bado wamiliki na bodi wanamuamini Pochettino na wako tayari kumpa msaada wowote anaoutaka.

Kwa maana hiyo sasa, kuna uwezekano hawa wachezaji wakauzwa dirisha la january ili kupata pesa za kumsajili striker, kiungo na beki wa viwango vya dunia.
  1. Chalobah
  2. Maatsen
  3. Gallagher
  4. Lewis hall
  5. Madueke
  6. Broja
  7. Lukaku
  8. Kepa
  9. Ziyech
  10. Gusto
  11. Disasi
Gusto na Disasi watoe kwenye hiyo list ,weka Mtumishi hewa Fofana
 
Sijamaanisha hivyo. Nasema tu wamepewa mikataba mirefu ili kukwepa FFP rules, ila wasipofanya vema itakuwa shida kuwauza maana hawatataka kuondoka kwenda kwenye mishahara midogo zaidi ya waliyonayo chelsea
Kuwauza ni rahisi, hawana mishahara mikubwa, pia mchezaji mambo yakimharibikia yuko radhi ahsushe mshahara ili aondoke. Hiyo haitakuwa na shida
 
Kuwauza ni rahisi, hawana mishahara mikubwa, pia mchezaji mambo yakimharibikia yuko radhi ahsushe mshahara ili aondoke. Hiyo haitakuwa na shida
Tuombe wafanikiwe ili isifike huko. Na ikifika tuombe mwisho mwema. Kitu kizuri kwenye EPL ni chelsea kufungwa sana ila isishuke daraja na pia wachezaji wa chelsea wao kama wachezaji sisi hatuna beef nao. Wale mshahara wao vizuri na wakihama timu wapate maisha mazuri huko kwingine.
 
Mkuu juan david baada ya kupitia comments nyingi hapa haswa za kwako na lembu, juu mjadala unaondelea kuhusu poor performance ya timu.

Kuna ambao mnasema kocha ni tatizo na kuna ambao tunasema wachezaji ni tatizo, na wote tuna hoja zenye mashiko, kulingana na mitazamo.

Hapa inawezekana kuna mitazamo 2 ya kufanyia maamuzi.

1. Poche ni kocha mzuri inawezekana wachezaji waliopo hawafit kwenye style/mbinu/mifumo yake. Zaidi labda Poche sio kocha wa kubadilika kiuchezaji kulingana na wachezaji waliopo, labda ni muumini wa style moja tuu ya uchezaji na inayohitaji aina flani flani ya wachezaji.

SOLUTION:- Asajiliwe wachezaji wachache ambao yeye ataona wakiingia kwenye kikosi chake watabadilisha hali ya mambo na timu itacheza kama anavyotaka hence matokeo chanya.

2. Kama uongozi timu unadhani wachezaji waliosajiliwa ni wazuri sana na wanajitosheleza kila idara na still wameshindwa kumatch na Poche na kuwaondoa kusajili watakaomatch na Poche itakuwa gharama zaidi au kubomoa timu.

SOLUTION:- Uongozi umuondoe Poche wamlete Kocha mwingine ambaye mifumo/Mbinu zake zitaleta performance kubwa kwa wachezaji waliopo hence matokeo chanya.

Kwahiyo hapo uongozi utapima SOLUTION ya haraka ni ipi ili kuinusuru timu kuendelea kupata matokeo mabovu na ya muda mrefu.
Ndg yangu nakubaliana na wewe, kuwa kuna wachezaji pale wachache ni wa daraja la chini kabisa
Mfano
  1. Jackson,
  2. Broja,
  3. Cucurella,
  4. Sterling kashachoka
Ila pia naona kuna wachezaji wameshindwa kubeba maelekezo ya kocha na
Tatu Kocha naye sio wa viwango kama tunavyodhania, sioni akiwa agressive kama makocha wenye viwango
Tumpe muda na wachezaji atakaowataka halafu tumhukumu awamu ya pili ya ligi
 
Tuombe wafanikiwe ili isifike huko. Na ikifika tuombe mwisho mwema. Kitu kizuri kwenye EPL ni chelsea kufungwa sana ila isishuke daraja na pia wachezaji wa chelsea wao kama wachezaji sisi hatuna beef nao. Wale mshahara wao vizuri na wakihama timu wapate maisha mazuri huko kwingine.
Vipi Unai Emery, mkiambiwa leo mumsajili tena mtamuhitaji?
 
Hata bure hatutaki....yule ni kocha wa mid table team...kuhimili presha hawezi
Nimefurahishwa na kazi yake. Ameikokota Villa toka shimoni alikokuwa ameitumbukiza Gerrard. Tumuache aendelee kukomaa na kuboresha mbinu zake zaidi kwanza bila presha ya kufundisha timu kubwa.
 
kuna wachezaji pale wachache ni wa daraja la chini
Kocha naye sio wa viwango kama tunavyodhania
Chelsea kinachoigharimu ni Muundo wa Kiutendaji. TODD alishakuja na mawazo ya kuwa anafanya Biashara huku timu inaendelea Pata mafanikio uwanjani. Kila mchezaji aliyekuwa anatakiwa na timu nyingine Uongozi unapanda dau na kuweka thamani zaidi ya hata Mchezaji husika mf. Enzo, Caicedo, Mudryk, Lavia. kwa uchache

Timu ina Mkurugenzi wa Michezo zaidi ya Mmoja lazima mawazo yakinzane. Mmoja alikuwa anamtaka Nagelsman na Gallardo hawa wengine wamekuja na Poch.
Hakuna kingine POCH ni mwalimu wa madaraja ya SPURS, ATLETICO, BVB

Makosa makubwa sana kumwacha Gallardo, angekuja na jina la kawaida ila uwezo mkubwa sana Kimbinu.
Machaguo mengine madogo ya "Wildcard" ni Andoni Iraola ama Marcelo Bielsa, kifupi POCH aliyemkosa amekwepa Risasi ni Mwalimu mzuri lakini wa madaraja ya kati.
Kuna wachangiaji wanamtaja Arne Slot, kwa sasa anaweza kuwa chaguo zuri lakini kama mnataka atayeendana na kikosi cha watoto kura yangu kwa RUBEN AMORIM.
 
Wakuu, hii kitu kama sio kigeni kwangu au mwasemaje

View attachment 2835824
20230902_203942.jpg
 
Gusto na Disasi watoe kwenye hiyo list ,weka Mtumishi hewa Fofana
Hizo ni tetesi kuwa katika mazungumzo yanaoendelea sasa kuhusu dirisha la January, Pochettino anawataka hao wauzwe ili wanunuliwe wengine watakaofit kwenye falsafa yake ya mpira
 
Kuna mazungvumzo yanayoendelea kwa sasa kuhusu wachezaji ambao Pochettino anadhani hawafiki viwango, nimewaorodhesha hapo juu nikichanganya na wale wa mkopo
Ukweli ni kwamba Pochettino anaona wachezxaji hawa hawafit kwenye viwango vinavyotakiwa
  1. Chalobah
  2. Gusto
  3. Maatsen
  4. Cucurella
  5. Disasi
  6. Broja
Na wengineo ila hao ndio walio surface

Naona pia Gallagher anaweza kuuzwa japo Pochettino bado anamkumbatia. Uongozi uko tayari kumuuza pesa nzuri ikiletwa. Spurs ni moja ya timu iliyokuwa inamuania

Habar za teamtalk usiziamini mkuu
Gusto n Disasi hao sidhani
 
Ila kama Pochetino kawakuta wachezaji wamesajiliwa hata kama ni wazuri ila hawaendani na mfumo wake tusimlaumu sana, tumpe BENEFIT OF DOUPT hadi apewe wachezaji anaowataka na akiendelea kuboronga ndipo tumhukumu

Hii timu bado ule mkono wenye mkosi wa hawa wamiliki wapya inaisumbua timu na kila kocha atakayeletwa kama mikono ya akina Boehly na wenzake bado ipo itaendelea kusumbua
 
Chelsea kinachoigharimu ni Muundo wa Kiutendaji. TODD alishakuja na mawazo ya kuwa anafanya Biashara huku timu inaendelea Pata mafanikio uwanjani. Kila mchezaji aliyekuwa anatakiwa na timu nyingine Uongozi unapanda dau na kuweka thamani zaidi ya hata Mchezaji husika mf. Enzo, Caicedo, Mudryk, Lavia. kwa uchache

Timu ina Mkurugenzi wa Michezo zaidi ya Mmoja lazima mawazo yakinzane. Mmoja alikuwa anamtaka Nagelsman na Gallardo hawa wengine wamekuja na Poch.
Hakuna kingine POCH ni mwalimu wa madaraja ya SPURS, ATLETICO, BVB

Makosa makubwa sana kumwacha Gallardo, angekuja na jina la kawaida ila uwezo mkubwa sana Kimbinu.
Machaguo mengine madogo ya "Wildcard" ni Andoni Iraola ama Marcelo Bielsa, kifupi POCH aliyemkosa amekwepa Risasi ni Mwalimu mzuri lakini wa madaraja ya kati.
Kuna wachangiaji wanamtaja Arne Slot, kwa sasa anaweza kuwa chaguo zuri lakini kama mnataka atayeendana na kikosi cha watoto kura yangu kwa RUBEN AMORIM.

You know ball
Hawa kwangu ndio machagua
Arne slot
Ruben Amorim
Naglesman
De zerbi


Huku nikiendelea kufuatilia maendeleo ya
Xabi Alonso
Francisco Farioli
Iraola
 
Mkuu juan david baada ya kupitia comments nyingi hapa haswa za kwako na lembu, juu mjadala unaondelea kuhusu poor performance ya timu.

Kuna ambao mnasema kocha ni tatizo na kuna ambao tunasema wachezaji ni tatizo, na wote tuna hoja zenye mashiko, kulingana na mitazamo.

Hapa inawezekana kuna mitazamo 2 ya kufanyia maamuzi.

1. Poche ni kocha mzuri inawezekana wachezaji waliopo hawafit kwenye style/mbinu/mifumo yake. Zaidi labda Poche sio kocha wa kubadilika kiuchezaji kulingana na wachezaji waliopo, labda ni muumini wa style moja tuu ya uchezaji na inayohitaji aina flani flani ya wachezaji.

SOLUTION:- Asajiliwe wachezaji wachache ambao yeye ataona wakiingia kwenye kikosi chake watabadilisha hali ya mambo na timu itacheza kama anavyotaka hence matokeo chanya.

2. Kama uongozi timu unadhani wachezaji waliosajiliwa ni wazuri sana na wanajitosheleza kila idara na still wameshindwa kumatch na Poche na kuwaondoa kusajili watakaomatch na Poche itakuwa gharama zaidi au kubomoa timu.

SOLUTION:- Uongozi umuondoe Poche wamlete Kocha mwingine ambaye mifumo/Mbinu zake zitaleta performance kubwa kwa wachezaji waliopo hence matokeo chanya.

Kwahiyo hapo uongozi utapima SOLUTION ya haraka ni ipi ili kuinusuru timu kuendelea kupata matokeo mabovu na ya muda mrefu.

Mkuu me mpaka sasa Naamini Poch sio mtu sahihi

Hakuna hata sehem mmoja uwanjani tunaonekana tuko bora

Why anashindwa badilika na kutafuta mfumo sahihi
IMG_0769.jpg



Hapo juu ni mfumo aliokuwa anatumia PSG
Kocha ambae hataki kubadilika na kujua ni aina ipi ya wachezaj anawajitaji hafai

Kocha ameanza. Pre season na team leo hii analalamika ni upuuzi huo
 
John Obi Mikel:
"Cucurella sio mchezaji wa kiwango cha Chelsea.
Tunahitaji kuona zaidi kutoka kwa Caicedo na Enzo - wachezaji wawili wazuri wanaohitaji muda.

Broja hayuko katika kiwango cha Chelsea.

Nina mashaka na Jackson.

Tunahitaji mshambuliaji wa kiwango cha juu . Victor. Osimhen angetupa mabao akija Chelsea."
Hata Gallagah sio kiwango ch chelsea pia.
 
Baada ya mechi 13, Aston Villa walikuwa pointi 1 kutoka kushuka daraja, wakamfukuza Gerrard, Emery akachukua timu, na wakaishia kuingia michuano ya Ulaya.

Makocha wakubwa huwainua wachezaji atakaowakuta. Hawasubiri hadi wanunue wachezaji wanaoingia kwenye mfumo wao.

Tuchel alishinda UCL na Chelsea bila kusubiri asajiliwe wachezaji wake

Nahisi hata kama Pochettino akipewa wachezaji anaowataka bado mafanikio yake kubwa itakuwa ya manati sana
1702390659628.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom