Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Baada ya kichapo cha 2-0 tulichopata jana chelsea kutoka kwa Everton ni rasmi sasa toka mwaka 2023 uanze hadi leo chelsea tumecheza jumla mechi 39 Epl lakini aibu ni kuwa katika mechi hizo 39 tumepata point 39 tu sawa na wastani wa point 1 kila mechi Average hii maana yake ni sawa na kusema toka mwaka 2023 uanze chelsea hatujashinda mechi yoyote Epl.

Baada ya chelsea kutapeliwa na Brighton kwa kuuziwa Moises Caicedo kwa €116 million sawa na Tsh 312,797,746,800.00/= Bilion mia tatu kumi na mbili, milion mia saba tisini na saba, laki saba na elfu arobaini na sita na mia nane bila senti, ni rasmi sasa Caicedo Kacheza jumla ya mechi 14 Epl lakini aibu ni kuwa katika mechi hizo chelsea tumeshinda mechi 3 tu na katika mashindano yote kacheza mechi 17 kinachosikitisha ni kuwa katika mechi zote mashindano yote tangu aje chelsea hajawahi kuhusika katika mchango wa goli lolote hana goli wala hajawahi kutoa assist hata moja alichofanikiwa ni kupata kadi za njano 3 hadi sasa.

Si mnakumbuka Everton walikatwa point 10 Epl na mkacheka sana? sasa nasikitika kuwakumbusha zile point walizokatwa hazijasaidia kitu wamebakiza point 6 tu wafikie point tulizo nazo chelsea na aibu ni kuwa chelsea hatujakatwa point hata moja.

When push comes to shove naendelea kuomba radhi kwa uchambuzi huu ulio chini ya kiwango nitaendelea kujitahidi ili siku moja na mimi niwe mchambuzi mzuri kama nyie
Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.
 
Baada ya kichapo cha 2-0 tulichopata jana chelsea kutoka kwa Everton ni rasmi sasa toka mwaka 2023 uanze hadi leo chelsea tumecheza jumla mechi 39 Epl lakini aibu ni kuwa katika mechi hizo 39 tumepata point 39 tu sawa na wastani wa point 1 kila mechi Average hii maana yake ni sawa na kusema toka mwaka 2023 uanze chelsea hatujashinda mechi yoyote Epl.

Baada ya chelsea kutapeliwa na Brighton kwa kuuziwa Moises Caicedo kwa €116 million sawa na Tsh 312,797,746,800.00/= Bilion mia tatu kumi na mbili, milion mia saba tisini na saba, laki saba na elfu arobaini na sita na mia nane bila senti, ni rasmi sasa Caicedo Kacheza jumla ya mechi 14 Epl lakini aibu ni kuwa katika mechi hizo chelsea tumeshinda mechi 3 tu na katika mashindano yote kacheza mechi 17 kinachosikitisha ni kuwa katika mechi zote mashindano yote tangu aje chelsea hajawahi kuhusika katika mchango wa goli lolote hana goli wala hajawahi kutoa assist hata moja alichofanikiwa ni kupata kadi za njano 3 hadi sasa.

Si mnakumbuka Everton walikatwa point 10 Epl na mkacheka sana? sasa nasikitika kuwakumbusha zile point walizokatwa hazijasaidia kitu wamebakiza point 6 tu wafikie point tulizo nazo chelsea na aibu ni kuwa chelsea hatujakatwa point hata moja.

When push comes to shove naendelea kuomba radhi kwa uchambuzi huu ulio chini ya kiwango nitaendelea kujitahidi ili siku moja na mimi niwe mchambuzi mzuri kama nyie
Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.
Kwahiyo tukusaidie nini
 
Me naona kocha si mbaya kama watu wanavyoongea hapa soka tunacheza vizuri shida wachezaji wanafanya mistake zinazotugharimu, ukiacha hilo tunakikosi finyu sana pale kati hakikosekana Caicedo au Fernandez hatuna mbadala hata Caicedo sio no 6 halisi tunafosi tu kumchezesha hiyo nafasi ukienda kwenye winga kwa kweli sterling alitakiwa awe back up sio regular starter in short hii team imeharibiwa na uongozi kwa kiasi kikubwa yaani tunatatizo kabisa la striker wao wanaenda kwa Jackson tunambebesha bure Mzigo Pottetino.Team inasajili makinda wengi kuliko wachezaji wakwenda kuanza kwenye kikosi ipo serious kweli? Naungana na Cash Money Forever shida sio kocha

Unahisi shida ninj?

Ni upande upi tunaonekana tuko bora tangu Poch aje??

Mchezaj yupi ameimprove???

Leo hii analalamika anataka defender n kiungo seriously????

Mabeki ulionao umewatumia ipasavyo ?

Muangalie Colwil wakat yupo kwa De Zerbi na huyu wa sasa ni watu wawili tofauti hata zile pass zake alizokuwa anapiga siku hizi hata kupiga apigi.

Muangalie Enzo n Caicedo wakiwa national team zao halaf njoo uone huku

Tangu lini enzo akawa Second Striker au no 10?
Au tangu lini Caicedo akawa lone DM

Je Colwil ni LB we all know Colwil ni LCB na ndoo upande wake mzuri.

Una Ian Matsen ambaye ni LB/LWB ila cha ajabu akimuingiza anamtumia kucheza kama AM huku akiendelea kumtumia Colwil kama LB.


Je mpaka sasa pattern yetu ya uchezaji inaeleweka tunacheza nini????


Tuna wachezaj wazuri ambao ukimpa kocha anayejieleweka utapata ubora wao?

Jiulize why kila wiki anakuja na excuse mpya Je hizi ndio standard tulizonazo sasa

Against man utd alizingishia tumetoka kucheza j2 hao hao Everton wamecheza Alhamis against Newcastle wameshinda na wamecheza J2 wamepata matokeo.

Ni swala la Mda tu wote tutaimba wimbo mmoja
 
IMG_0765.jpg

IMG_0766.jpg

IMG_0767.jpg


[mention]Cash Money Forever [/mention]
[mention]Hziyech22 [/mention]

Naomba mpitie hapo
 
Na bado January tutaingia sokoni kuendelea kusajili mazagazaga

View attachment 2838880
hafu mazagazaga mmeyapa mikataba mirefu hatari

Enzo Fernandez - 8.5 years
Caicedo- 8 years
Mudryk- 8.5 years
Badiashile - 7.5 years
Disasi- 6 years
Gusto- 7.5 years
Lavia- 7 years
Jackson- 8 years
Palmer- 7 years + 1
Nkunku- 6 years
Sanchez-7 years
Ugochukwu- 7years + 1
The amount of years left on the contracts that these players signed pale Chelsea.
Majamaa wanakula fiti!
 
Na bado January tutaingia sokoni kuendelea kusajili mazagazaga

View attachment 2838880

Kama unahisi shida ni wachezaj hata waje wakinanani hatutoboi.

Hakuna hata sehem moja ndani ya uanja tunaonekana tuko bora

Tutarudi kule kule Hata wachezaj wawe wazuri kiasi gani ila kama Kocha ni mbovu Na wenyewe wataonekana wabovu


Aston Villa ya Gerad ndio hiyo hiyo aliyonayo Unai ukimuongezea Diaby,Pau Torres,Tilemans ila wachezaj waliosali wote ni wale wale ila hali waliyokuwa nayo wakat wa Gerard ni mbov ila tangu amekuja Unai ni furaha


Tusizembee umuhimu wa kocha mzuri
 
Baada ya kichapo cha 2-0 tulichopata jana chelsea kutoka kwa Everton ni rasmi sasa toka mwaka 2023 uanze hadi leo chelsea tumecheza jumla mechi 39 Epl lakini aibu ni kuwa katika mechi hizo 39 tumepata point 39 tu sawa na wastani wa point 1 kila mechi Average hii maana yake ni sawa na kusema toka mwaka 2023 uanze chelsea hatujashinda mechi yoyote Epl.

Baada ya chelsea kutapeliwa na Brighton kwa kuuziwa Moises Caicedo kwa €116 million sawa na Tsh 312,797,746,800.00/= Bilion mia tatu kumi na mbili, milion mia saba tisini na saba, laki saba na elfu arobaini na sita na mia nane bila senti, ni rasmi sasa Caicedo Kacheza jumla ya mechi 14 Epl lakini aibu ni kuwa katika mechi hizo chelsea tumeshinda mechi 3 tu na katika mashindano yote kacheza mechi 17 kinachosikitisha ni kuwa katika mechi zote mashindano yote tangu aje chelsea hajawahi kuhusika katika mchango wa goli lolote hana goli wala hajawahi kutoa assist hata moja alichofanikiwa ni kupata kadi za njano 3 hadi sasa.

Si mnakumbuka Everton walikatwa point 10 Epl na mkacheka sana? sasa nasikitika kuwakumbusha zile point walizokatwa hazijasaidia kitu wamebakiza point 6 tu wafikie point tulizo nazo chelsea na aibu ni kuwa chelsea hatujakatwa point hata moja.

When push comes to shove naendelea kuomba radhi kwa uchambuzi huu ulio chini ya kiwango nitaendelea kujitahidi ili siku moja na mimi niwe mchambuzi mzuri kama nyie
Nasema uongo ndugu zangu? Basi mniombee.
Hahaaaa hamis 7 leo umefufuka au sio ?
Ulivyokula kisago juzi unapotea mazima kwenye kile kijiwe Chenu ,na mimi nikaendelea kuwasagia kunguni ninyi asenyetoz .
Ila unasema ukweli , timu yetu inasikitisha sana , haya matatizo yamesababishwa na Serikali ya waingereza kumpokonya yule bwanyenye wa kirusi mali yake .
Tangia hapo hatujaweza kurecover , zile chaos na drama zilizoanza tangia pale ni mpaka leo , yaani kadiri siku zinavyokwenda mbele ,tunazidi kudidimia
 
Usisahau lile suala kuu la kukwepa FFP rules kwa kuwapa wachezaji mikataba mirefu sana kwa mara moja, kama Muddy si mmempa miaka 8? Dili za kihuni kama hizo zikienda vibaya baada ya miaka 2, mtajikuta na wachezaji walioshuka thamani na hamuwezi kuwatoa kirahisi.
Hata Arsenal mlikuwa hivi hivi au umesahau mlikuwa na watoto kama akina saka, martineli walikuwa wanarukaruka tu hadi wakapata uzoefu?
 
Kama unahisi shida ni wachezaj hata waje wakinanani hatutoboi.

Hakuna hata sehem moja ndani ya uanja tunaonekana tuko bora

Tutarudi kule kule Hata wachezaj wawe wazuri kiasi gani ila kama Kocha ni mbovu Na wenyewe wataonekana wabovu


Aston Villa ya Gerad ndio hiyo hiyo aliyonayo Unai ukimuongezea Diaby,Pau Torres,Tilemans ila wachezaj waliosali wote ni wale wale ila hali waliyokuwa nayo wakat wa Gerard ni mbov ila tangu amekuja Unai ni furaha


Tusizembee umuhimu wa kocha mzuri
Mfano mwingine wa jinsi kocha anavyoadhiri performance ya timu
UNai hata kabla hajasajili aliikuta timu ya Gerrad inapambana kweli kweli ili isishuke daraja, akaikokota hadi michuono ya Ulaya
Sasa baada ya kuiboresha timu kwa kuwasajili hao akina Diaby, Pau na Tilemans anatafuta ubingwa wa EPL
Pochettino hata tusajili wachezaji wa calibre ya Mbape, Neymar kwenye ubora wake, Messi kwenye ubora wake hatatoboa popote
 
John Obi Mikel:
"Cucurella sio mchezaji wa kiwango cha Chelsea.
Tunahitaji kuona zaidi kutoka kwa Caicedo na Enzo - wachezaji wawili wazuri wanaohitaji muda.

Broja hayuko katika kiwango cha Chelsea.

Nina mashaka na Jackson.

Tunahitaji mshambuliaji wa kiwango cha juu . Victor. Osimhen angetupa mabao akija Chelsea."
 
John Obi Mikel anasema Conor Gallagher hangeingia kwenye kikosi chao cha kwanza cha XI:

"Yeye ni mchezaji mzuri.
Je, ni mchezaji wa kiungo wa Chelsea?
Kuanzia wachezaji 11?
Hapo zamani tulipokuwa tunacheza je, Gallagher angeingia kwenye kikosi cha 11? jibu ni asingepata nafasi, sidhani hivyo."
 
Wamilki na kila mtu pale Chelsea wanakubali kuwa hali ilivyo kwa sasa haikubaliki na watafanya kila jitihada kuona kuwa dirisha dogo la January usajili wa kuziba pengo linalooneka dhahiri sasa litafanywa.
Kwa sababu hii Mkurugnezi wa michezo Paul Winstanley naLaurence Stewart, wamiliki Boehly na Eghbali watakutana na Kocha Pochettino ili kuyajadili kuhusu dirisha la January. Bado wamiliki na bodi wanamuamini Pochettino na wako tayari kumpa msaada wowote anaoutaka.

Kwa maana hiyo sasa, kuna uwezekano hawa wachezaji wakauzwa dirisha la january ili kupata pesa za kumsajili striker, kiungo na beki wa viwango vya dunia.
  1. Chalobah
  2. Maatsen
  3. Gallagher
  4. Lewis hall
  5. Madueke
  6. Broja
  7. Lukaku
  8. Kepa
  9. Ziyech
  10. Gusto
  11. Disasi
 
Kwa uchambuzi wa watu wengi wanaojua soka. nakubali kuna missfit baina ya wachezaji waliopo na uchezaji style wa Pochettino.
Changamoto yetu kubwa ni kwenye umaliziaji na pia kiungo mmoja mwenye kuweza kumpress kama Galagher ila pia awe ni mbunifu na programatic hasa kwenye kujenga build-ups ndiye anayetakiwa

Sorry, pamoja na uchezaji mzuri wa Gallagher na anavyojitahidi, bado tunamuhitaji anayemzidi viwango hapo juu
 
Tuna washambuliaji maboga sana
Huyu Broja si angemvisha kanzu tu huyo golkipa na kufunga tu?
Ndio maana mimi nawashangaa sana wanaomfagilia Broja yule muhindi koko hana kitu,
Move hii ilikuwa kali mno na goli lingefungwa lingekuwa moija ya magoli mazuri sana ila boga mmoja pale anayejaza nafasi katuangusha tena
1702353776374.png



 
Kwahiyo kila baada ya miezi 6 tufukuze kocha?

Hata Thomas Tuchel alikuwa kocha bora lakini mlimfukuza kama mbwa koko.

Sitamani tena Kocha mwingine aje kwa sasa kwa sababu THE BLUES ni project iliyofeli tangu wamilki wapya waanze kufanya sajili za ovyo ovyo.

Tuendelee kupata maumivu haya haya ya kufungwa mpaka pale uongozi watakapopata akili ya kufanya sajili zinazoeleweka zenye mantiki ya kuboresha kikosi na sio kujaza mazagazaga kikosini na kulipa mishahara bure.

Sitojali hata tukishuka daraja, nachojali wamiliki wapate funzo namna ya kuendesha club kitaaluma katika maamuzi yao.

Toddy juzi amesema kwamba kwa sasa amejiweka mbali na club katika kufanya usajili lakini ameshatuumiza tayari, ameturudisha nyuma, tunatakiwa tuanze upya tena kusuka kikosi.

Kuna watu hapa wanasema ungempa Pep kikosi hiki kingemaliza top 4, binafsi nasema ungempa Pep hiyo £1Billion ya asajili wachezaji wapya na sio haya mazagazaga yetu, basi angechukua EPL back to back za kutosha.

Kama Pep aliwauza Jesus & Sterling ndio umpe tena Sterling na Jackson ni kichekesho


View attachment 2839180

Kufukuzwa kwa Tuchel ni swala mpaka leo hii naona ni moja ya mistake kubwa Boehly aliyowah fanya

Gap la point kati ya aliyekuwa anaongoza League na sisi ilikuwa ni 5 pts


Tuchel sio mtu anaependa kuingiliwa same to Enrique o kocha yoyote anayejielewa

Ukiangalia game alizopewa Tuchel halaf na hawa wengine waliofata unabaki unastaajabu
 
Chelsea inahitaji wachezaji 4 wakubwa katika dirisha dogo ama inataka wala kufufua matumaini ya kushiriki walau Uefa ndogo.
1. Beki wa Kati 1
2. Beki wa kulia mmoja 1
2. Holding midfilder mmoja
3. Striker mkali mmoja.

Bila hivyo ndugu zangu, tukitoboa saaana basi number 16 msimu utakapoisha.
 
1. Poche ni kocha mzuri inawezekana wachezaji waliopo hawafit kwenye style/mbinu/mifumo yake. Zaidi labda Poche sio kocha wa kubadilika kiuchezaji kulingana na wachezaji waliopo, labda ni muumini wa style moja tuu ya uchezaji na inayohitaji aina flani flani ya wachezaji.
mi naona ni ubora wa wachezaji unachangia, sababu kama nafasi zinatengenezwa nyingi sana karibia kila game ila hakuna mpira unaingia kwa net. Sasa sijui kuna kocha duniani atafundisha hata namna ya kupiga mpira ili umpite kipa.
 
Hata Arsenal mlikuwa hivi hivi au umesahau mlikuwa na watoto kama akina saka, martineli walikuwa wanarukaruka tu hadi wakapata uzoefu?
Sijamaanisha hivyo. Nasema tu wamepewa mikataba mirefu ili kukwepa FFP rules, ila wasipofanya vema itakuwa shida kuwauza maana hawatataka kuondoka kwenda kwenye mishahara midogo zaidi ya waliyonayo chelsea
 
Mkuu juan david baada ya kupitia comments nyingi hapa haswa za kwako na lembu, juu mjadala unaondelea kuhusu poor performance ya timu.

Kuna ambao mnasema kocha ni tatizo na kuna ambao tunasema wachezaji ni tatizo, na wote tuna hoja zenye mashiko, kulingana na mitazamo.

Hapa inawezekana kuna mitazamo 2 ya kufanyia maamuzi.

1. Poche ni kocha mzuri inawezekana wachezaji waliopo hawafit kwenye style/mbinu/mifumo yake. Zaidi labda Poche sio kocha wa kubadilika kiuchezaji kulingana na wachezaji waliopo, labda ni muumini wa style moja tuu ya uchezaji na inayohitaji aina flani flani ya wachezaji.

SOLUTION:- Asajiliwe wachezaji wachache ambao yeye ataona wakiingia kwenye kikosi chake watabadilisha hali ya mambo na timu itacheza kama anavyotaka hence matokeo chanya.

2. Kama uongozi timu unadhani wachezaji waliosajiliwa ni wazuri sana na wanajitosheleza kila idara na still wameshindwa kumatch na Poche na kuwaondoa kusajili watakaomatch na Poche itakuwa gharama zaidi au kubomoa timu.

SOLUTION:- Uongozi umuondoe Poche wamlete Kocha mwingine ambaye mifumo/Mbinu zake zitaleta performance kubwa kwa wachezaji waliopo hence matokeo chanya.

Kwahiyo hapo uongozi utapima SOLUTION ya haraka ni ipi ili kuinusuru timu kuendelea kupata matokeo mabovu na ya muda mrefu.
Kuna mazungvumzo yanayoendelea kwa sasa kuhusu wachezaji ambao Pochettino anadhani hawafiki viwango, nimewaorodhesha hapo juu nikichanganya na wale wa mkopo
Ukweli ni kwamba Pochettino anaona wachezxaji hawa hawafit kwenye viwango vinavyotakiwa
  1. Chalobah
  2. Gusto
  3. Maatsen
  4. Cucurella
  5. Disasi
  6. Broja
Na wengineo ila hao ndio walio surface

Naona pia Gallagher anaweza kuuzwa japo Pochettino bado anamkumbatia. Uongozi uko tayari kumuuza pesa nzuri ikiletwa. Spurs ni moja ya timu iliyokuwa inamuania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom