Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

THE BLUES itaendelea kuwa timu ya kawaida kama itaendelea na ujinga wa kufanya sajili za kukurupuka na za kituko.

Management ibadilike ifanye sajili za serious matured players, na hii mentality ianze kwa wamiliki, THE BLUES sio club ya kulelea na kukuza vipaji, bali ni club ya kugombania makombe.

Wakati wa Roman Abromovich hata yule kocha mbovu kabisa alifanikiwa kunyakua angalau kakombe kamoja.

Ni kwa sababu management ilikuwa makini kwenye kusajili wachezaji experienced na wapambanaji uwanjani, kocha alikuwa anaweka inputs chache tuu.

Lazima THE BLUES turudi kwenye utamaduni huo wa usajili (Abramovich player transfers style), leo hii Poche afanye kazi ya kuviogesha vitoto, avifunge pampas, avilishe ili vikue kwanza ndio vikapambane uwanjani hii ni wastage of money and time.

Caicedo
Enzo
Mudi

Ni sajili za kukurupuka?

In Poch we Trust
 
Yan hawa nyumbu tukawaruhusu kabisa watupigie mpira mkubwa

Poch out hufai kuwa kocha wetu
 
THE BLUES itaendelea kuwa timu ya kawaida kama itaendelea na ujinga wa kufanya sajili za kukurupuka na za kituko.

Management ibadilike ifanye sajili za serious matured players, na hii mentality ianze kwa wamiliki, THE BLUES sio club ya kulelea na kukuza vipaji, bali ni club ya kugombania makombe.

Wakati wa Roman Abromovich hata yule kocha mbovu kabisa alifanikiwa kunyakua angalau kakombe kamoja.

Ni kwa sababu management ilikuwa makini kwenye kusajili wachezaji experienced na wapambanaji uwanjani, kocha alikuwa anaweka inputs chache tuu.

Lazima THE BLUES turudi kwenye utamaduni huo wa usajili (Abramovich player transfers style), leo hii Poche afanye kazi ya kuviogesha vitoto, avifunge pampas, avilishe ili vikue kwanza ndio vikapambane uwanjani hii ni wastage of money and time.
Kwenye usajili nakubaliana na wewe ila umesahau kitu kimoja, Roman alikuwa anasajili makocha wenye uwezo. ikitokea bahati mbaya aliyedhaniwa siye anafukuzwa chap chap. Mfano Dimateo pamoja na kushinda UCL alifukuzwa haraka sana kwa sababu asingeweza kuipeleka Chelsea kwenye nchi ya ahadi
Policy ya hawa wamerewkani kwenye usajili ni ya kijinga sana
  1. Mshahara mdogo halafu mashabiki wakashangilia - no motivation
  2. Umri mdogo mashabiki tukashangilia - no experience
 
Pamoja na drama zote za kucheza vibaya bado Chelsea inatetea namba yake ya 10, kweli sio sisi tu tumechoka
 
Pamoja na drama zote za kucheza vibaya bado Chelsea inatetea namba yake ya 10, kweli sio sisi tu tumechoka
Mi mwenyewe nashangaa ,kwa inconsistency hii ya Chelsea tulifaa tuwe tunavutia mkia huko kwenye relegation zone na akina Sheffield
Eti tuko 10 th ,ni maajabu sana
Ligi pia imeongezeka ugumu , siku hizi midteams zina kaza sana , sasa Poch na vitoto vyake vijinga vile sidhani kama tutatoboa
 
Mfano mzuri wa jinsi kocha anavyoadhiri uchezaji wa wachezaji
Hii timu ya Aston Villa miaka yote ilikuwa inagombea kupona huko relegation zone, leo baada ya usajili wa Unai Emery eti wamekuwa title contenders, wako juu ya Man City, wamezifunga timu zote zilziocheza pale Villa Park including timu za mashindano ya Ulaya

Sisi huku bado tunasema Pochettino ni kocha mzuri shida wachezaji hawana experience na ligi, wachezaji wana kiwango kidogo

Chelsea ipewe hawa makocha ili tudhibitishe kama timu yetu mbovu
  1. Unai Emery
  2. Di zerbi
  3. Arteta
 
Napoli kaondokewa na kocha wachezaji wale wale sasa wanahemea mashine, Kochja ana impact sana kwenye timu mtu asiwadanganye
Pochettino asije akatundanganya hapa eti timu changa hawana uzoefu na EPL
Mpe Conte hiyo timu kama hajabeba EPL Pochettino akichungulia kwenye runinga
 
Mfano mzuri wa jinsi kocha anavyoadhiri uchezaji wa wachezaji
Hii timu ya Aston Villa miaka yote ilikuwa inagombea kupona huko relegation zone, leo baada ya usajili wa Unai Emery eti wamekuwa title contenders, wako juu ya Man City, wamezifunga timu zote zilziocheza pale Villa Park including timu za mashindano ya Ulaya

Sisi huku bado tunasema Pochettino ni kocha mzuri shida wachezaji hawana experience na ligi, wachezaji wana kiwango kidogo

Chelsea ipewe hawa makocha ili tudhibitishe kama timu yetu mbovu
  1. Unai Emery
  2. Di zerbi
  3. Arteta
Arteta ni kocha wa kawaida sana aisee, cjui ni nini huwa kinakushawishi kuwa ni kocha mzuri.
 
Napoli kaondokewa na kocha wachezaji wale wale sasa wanahemea mashine, Kochja ana impact sana kwenye timu mtu asiwadanganye
Pochettino asije akatundanganya hapa eti timu changa hawana uzoefu na EPL
Mpe Conte hiyo timu kama hajabeba EPL Pochettino akichungulia kwenye runinga

Achana na cash money sijui kipi anakiona kwa Pochetino

Huyu Pochetino hakuna chochote alichokifanya pote alikopita
 
Mauricio Pochettino ‘ang'aka’ huko Chelsea - akiwaonya nyota wake wanaolala usingizi kwamba hatavumilia viwango "visizokubalika". Anakasirishwa na ukosefu wa kujitoa na msukumo wkweny6e mechi Chelsea imeshindwa hivi karibuni
1702203207647.png
 
Mauricio Pochettino anasema kuwa "ana wasiwasi" na uchezaji wa wachezaji wawili wa kiungo Enzo Fernandez na Moises Caicedo.

Wawili hao ndio wachezaji ghali zaidi waliosajiliwa na Chelsea, huku Enzo akiwasili kutoka Benfica Januari 2023 kwa dola milioni 132 na Caicedo akifuata miezi saba baadaye kutoka Brighton kwa ada ya dola milioni 146.
1702203021682.png
 
Tuwachambue wachezaji wetu ili tuone wachezaji ndio wenye shida au kocha

1: Reece James
Iwapo James ataendelea kuwa fiti, yeye ni mchezaji wa kiwango cha kimataifa ambaye huingia katika timu yoyote duniani. Ni mshindi wa Ligi ya Mabingwa pia 🏆 Ana uzoefu.

2. Enzo Fernandez
Huenda alicheza Ulaya mwaka mmoja kabla hatujamnunua, lakini karibu vilabu vyote vya juu vilimfuata. Ameshinda Kombe la Dunia na kushinda mchezaji mdogo wa mashindano. Ana uzoefu pia, bila shaka. Yeye ni Bingwa.

3. Moises Caicedo
Liverpool, Arsenal, City na Chelsea zisingepigania kumsajili kutokana na kwamba alikuwa mbabe. Kila mtu anajua ubora wake. Mtumie vizuri na tuna mchezaji ndani yake. Yeye ni daraja la dunia.

4. Levi Colwill
Anaweza kuwa mdogo lakini amejaa ubora. Arsenal, Brighton na Liverpool hawangemtazama kama si mzuri. Mcheze katika nafasi yake na utapata mchezaji wa mfano. Kocha hapa ni wa muhimu.

5. Cole Palmer
Pasi zake, pressing na maono yake yako waziwazi hapa. Wengine wanasema yeye ni Kevin De Bruyne Regen, wengine wanasema Mata. Hii inaonyesha ubora alionao. Akitumiwa vizuri ni msaada mkubwa kwa Chelsea

6. Conor Gallagher
Penda au usipende, Gallagher ni mchezaji wa ajabu ambaye yuko uwanja mzima hasa katika safu ya kiungo. Alikosa katika mechi iliyopita an Man United na tuliona pengo lake

7. Mykhailo Mudryk
Kuna mchezaji hapa mkubwa sana. Kwa ufundishaji sahihi na kumfanya ajiamini, anaweza kufanya mengi na ya maajabu kwa timu. Ni mchezaji ambaye ana madhara kwa timu pinzani hata kwa uchezaji wake mdogo tu. Ana nguvu, ana mwendo mkali na bado mdogo.

8. Raheem Sterling
Anaweza asiwe na uchezaji ule ule mzurio kwenye kila mechi lakini ameonyesha ubora wake msimu huu na kwamba chini ya kocha mahiri angeifaa sana Chelsea kuleta madhara kwenye eneo la wapinzani wetu.

9. Wengine
Sikuwasema wachezaji kama Silva, Badiashile, Disasi, Nkunku, Lavia, Ben Chilwell, Wesley Fofana, Chkwuemeka, hata Cucurella. Kuna ubora katika timu hii ambao unaweza kupigania mataji kwa urahisi wakati wote wako fiti na wakiwa na kukiwa na ufundishaji mzuri na sahihi kitu ambacho kinakosekana kwa sasa kwa Pochettino

Ingawa bado tunahitaji Mshambuliaji wa kiwango cha Dunia.

Mimi sioni kama kuna makosa makubwa kwenye usajili

Kosa dogo ni pale tu uongozi na wamiliki walipoacha kuwasajili wachezaji kama
James Maddison
 
Tuwachambue wachezaji wetu ili tuone wachezaji ndio wenye shida au kocha

1: Reece James
Iwapo James ataendelea kuwa fiti, yeye ni mchezaji wa kiwango cha kimataifa ambaye huingia katika timu yoyote duniani. Ni mshindi wa Ligi ya Mabingwa pia Ana uzoefu.

2. Enzo Fernandez
Huenda alicheza Ulaya mwaka mmoja kabla hatujamnunua, lakini karibu vilabu vyote vya juu vilimfuata. Ameshinda Kombe la Dunia na kushinda mchezaji mdogo wa mashindano. Ana uzoefu pia, bila shaka. Yeye ni Bingwa.

3. Moises Caicedo
Liverpool, Arsenal, City na Chelsea zisingepigania kumsajili kutokana na kwamba alikuwa mbabe. Kila mtu anajua ubora wake. Mtumie vizuri na tuna mchezaji ndani yake. Yeye ni daraja la dunia.

4. Levi Colwill
Anaweza kuwa mdogo lakini amejaa ubora. Arsenal, Brighton na Liverpool hawangemtazama kama si mzuri. Mcheze katika nafasi yake na utapata mchezaji wa mfano. Kocha hapa ni wa muhimu.

5. Cole Palmer
Pasi zake, pressing na maono yake yako waziwazi hapa. Wengine wanasema yeye ni Kevin De Bruyne Regen, wengine wanasema Mata. Hii inaonyesha ubora alionao. Akitumiwa vizuri ni msaada mkubwa kwa Chelsea

6. Conor Gallagher
Penda au usipende, Gallagher ni mchezaji wa ajabu ambaye yuko uwanja mzima hasa katika safu ya kiungo. Alikosa katika mechi iliyopita an Man United na tuliona pengo lake

7. Mykhailo Mudryk
Kuna mchezaji hapa mkubwa sana. Kwa ufundishaji sahihi na kumfanya ajiamini, anaweza kufanya mengi na ya maajabu kwa timu. Ni mchezaji ambaye ana madhara kwa timu pinzani hata kwa uchezaji wake mdogo tu. Ana nguvu, ana mwendo mkali na bado mdogo.

8. Raheem Sterling
Anaweza asiwe na uchezaji ule ule mzurio kwenye kila mechi lakini ameonyesha ubora wake msimu huu na kwamba chini ya kocha mahiri angeifaa sana Chelsea kuleta madhara kwenye eneo la wapinzani wetu.

9. Wengine
Sikuwasema wachezaji kama Silva, Badiashile, Disasi, Nkunku, Lavia, Ben Chilwell, Wesley Fofana hata Cucurella. Kuna ubora katika timu hii ambao unaweza kupigania mataji kwa urahisi wakati wote wako fiti na wakiwa na kukiwa na ufundishaji mzuri na sahihi kitu ambacho kinakosekana kwa sasa kwa Pochettino

Ingawa bado tunahitaji Mshambuliaji wa kiwango cha Dunia.
Cole Palmer Ndio value for money mpaka sasa ,hawa wengine wahuni tu
 
Mauricio Pochettino anasema kuwa "ana wasiwasi" na uchezaji wa wachezaji wawili wa kiungo Enzo Fernandez na Moises Caicedo.

Wawili hao ndio wachezaji ghali zaidi waliosajiliwa na Chelsea, huku Enzo akiwasili kutoka Benfica Januari 2023 kwa dola milioni 132 na Caicedo akifuata miezi saba baadaye kutoka Brighton kwa ada ya dola milioni 146.
View attachment 2838544

Hamna kocha hapa
Kama national team Enzo n McAlister walikiwa wanacheza pamoja na wanangara yeye anashindwa kuwafanya Enzo n Caicedo wacheze pamoja

Kama tena Caicedo n McAlister wamecheza pamoja na wamengara anashindwa nini kuwachezesha Enzo n Caicedo kungara
 
Cole Palmer Ndio value for money mpaka sasa ,hawa wengine wahuni tu
Wote hao waliotajwa ni value for Money, shida Pochettino kawafanya wasionekane hivyo
Kabla TT hajaichukua Chelsea. kila mchezaji alionekana wa hovyo. Baada ya kuichukua timu na kushinda UCL kila mchezaji alionekanma wa maana hata wengine tukawauza beui nzuri kama akina Rudiger, wakati Rudiger wakati wa Lampard alizidiwa na Zouma. Sisi mashabiki ni warahisi sana kusahau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom