Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Itanichukua muda kuamini Badishaile anaanza mbele ya Colwill ,naona POCH ananidanganya kabisa .
 
Dakika ya 26 REECE JAMES out haya ni majeraha yanaendelea kumuandama hapa tutegemee kumuona mwakani
 
Kuna tofauti kati ya kumboresha mchezaji wenye experience na kumboresha mchezaji ambaye hana experience.

Poche kwa sasa haboreshi experience bali anafunga pampas.

Poch ameshindwa kuboresha viwango vya wachezajk huo ni ukweli
Niambie wachezaj wa 3 ambao viwango vyao vimekuwa??? Tangu poch amekuja
 
Kuna tofauti kati ya kumboresha mchezaji wenye experience na kumboresha mchezaji ambaye hana experience.

Poche kwa sasa haboreshi experience bali anafunga pampas.
Mchezaji gani hapo hana experince, au una maana gani kwa experienece, kuwa na wazee kwenye tim u kama akina Silva au? Wachezaji hao wote walikuwa waancheza vizuri, ni world class, timu zingine zinazofanyua vizuri wamechukua wachezaji toka ligi zingine. Kocha anawajibiuka kwa timu icheze vizuri au vibaya. Muda unapozidi kusonga mbele utaelewa haya maneno
Mbona wacheza hawa hawa walionyesha kandanda safi mbele ya Liverpool, Arsenal, Spurs, City? why mechi zingine za kipumbavu kama ile ya OT wachezaji wameganda uwanjani hawakimbii wala kukaa na mpira? na Pochet hafanyi sub za maaana anambakiza mchezaji hadi 90 mins hata kama anaboronga?
 
Kuna tofauti kati ya kumboresha mchezaji wenye experience na kumboresha mchezaji ambaye hana experience.

Poche kwa sasa haboreshi experience bali anafunga pampas.
Hata hao wenye experience ameshindwa kuwaboresha. Kashindwa kwa Messi, Mbape Neymar, hawa wachanga ataweza
 
Itanichukua muda kuamini Badishaile anaanza mbele ya Colwill ,naona POCH ananidanganya kabisa .
Badiashile ni mzuri, katulia, ni mzuri hewani. Colwill anazo tallent tofauti na Badiashile na wote ni wazuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom