Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yani tulilkosea sana Kumuappoint Poch kulikuwa hakuna haja ya kwenda na pre season na huyu bumunda
Hata ile approach ya pre season angeenda nayo tungekuwa mbali. Kila mechi anakuja na mapya hadi wachezaji wanashindwa kumuelewa

Potter alikuwa na matokeo mazuri muda kama huu
 
naona record ya potter ikivunjwa
1702225111584.jpg
 
Yani tulilkosea sana Kumuappoint Poch kulikuwa hakuna haja ya kwenda na pre season na huyu bumunda
Taratibu tutaongea tu lugha 1 hivi karibuni, niliwaambia sina imani kabisa na Pochettino sababu hana kombe lolote pia hanaga plan B timu ikishajichanganya.
JamiiForums-1769471325.jpg
Screenshot_2023-09-25-06-31-12-95_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_2023-09-25-06-31-12-95_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
    Screenshot_2023-09-25-06-31-12-95_73617a28b0d3e7e6a04848a88f233e6b.jpg
    27.2 KB · Views: 13
Chelsea bado tunaimani na top 4 basi hatuna tofauti na paka
 
Chelsea bado tunaimani na top 4 basi hatuna tofauti na paka

Bila kuwa na kocha wa kueleweka mda sio mrefu top 4 matumain yatapotea

Ni kama wakat wa Lampard tulikiwa hivi hivi Tuchel alivyokuja top 4 tukaikamata

Bila kuwa na kocha wa kueleweka top 4 ndio bye bye tutaendelea kucheza hapa 10-12
 
Wale mliosema juzi kuwa Galagher kutokwepo ndio sababu ya kufungwa vipi leo ????

Mtakuja na sababu gani ya kumtetea Pochetino?

Maisha yangu yote ya kuwa shabik wa chelsea sijawah ona kama wakat huu makocha wanakuwa na excuse yanj kila gameweek kocha anakuja excuse

Ile Identity ya Chelsea haipo tena na hii shida imeanzia juu
Standard alizoset Abramovich zote zimeshafutwa na hawa wamiliki na kwa matokeo haya tuspofuzu UCL sitoshangaa tukipigwa rungu na Premier League au tukakatwa point mpla sasa tu 50pts kuzipata nikipengele
 
Caicedo anaachiwa Dm , Enzo anasogea juu kidogo, Mudriky wide na Palmer kufikia mwezi wa 12 tuna pointi 40.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom