Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hamis77 ulisema hakuna mchezaji wa Chelsea anaingia kwenye kikosi chenu vipi sasa unaamini hivyo?
Nilikuwa najiandaa kumuuliza hilo swali na kuambatanisha alichokisema Arteta jana kuhusu wachezaji wa Chelsea

Arteta aipongeza Chelsea:

"Tulikuwa tunasogeza tu mpira bila kuwa na nia ya kuwatisha, na hilo ni jambo hatari sana kufanya dhidi ya timu bora kama Chelsea.

Hatukuweza hata kushinda mipira ya juu na kwenye maeneo yaliyobana sana tulipopata nafasi ya kufanya hivyo, walituepuka hapo, walishambulia maeneo ya wazi na ni hatari sana kwetu kwa kufanya hivyo, hivyo sifa kwao kwa sababu ni timu kubwa iliyojaa wachezaji wakubwa. inabidi kukiri hilo."
 
Petrovic ni shot stopper, maeneo mengine sijui sana, sijui pia kama ana silly mistakes kama za Sachez japo ukweli ni kwamba kila kipa ana mawenge yake binafsi. Mfano, Raya ni kipa mzuri lakini jana alimzawadia Mudryk goli kwa kuhama golini
Petrovic ni best kwanza anajua kujiposition,best saver, footwork ipo vizuri sio cha kiwango kama Becker lakini, kiongozi uwanjani na very command
 
Tumemiss huu ubunifu kule mbele

 
Baadhi ya Ratings ya Conor Gallagher kwenye mechi za EPL msimu huu
1697977090550.png
 
Gary Neville:

"Kimuundo, kiulinzi, Chelsea walikuwa wa ajabu sana. Walifanya kile Brighton walifanya na namna ya kuwafanya Gallagher na Palmer kurejea katika nafasi ya namba kumi, na iliwachanganya sana Arsenal.

Hawakuweza kupeleka mpira kwa Odegaard, Arsenal, kwa sababu ya safu ya viungo wanne ... Mauricio Pochettino ni kocha mkuu na nadhani atafurahia kuwakuza wachezaji hawa viwango vyao."
 
Binafsi niwapongeze wana Chelsea kwa matokeo na mpira mzuri mlocheza Jana, japo timu yenu Bado haijakaa vyema..
Ukijaribu fuatiliya mechi ya Jana mbali na kucheza vizuri na kutengeneza nafasi nzuri still hamkutumia ata moja, hivyo magoli mlopata ni kama bahati nje na nafasi mlopata, (1-penati, 2-cross ilojaa wavuni)...
Upande wa Arsenal pia sikuona nafasi ya wazi walotengeneza, magoli yao pia ni kama bahati tu, (1-shuti la rice ni makosa ya kipa, 2-trosard cross ilimkuta on target)
Mwisho nipongeze timu ZOTE kwa mchezo mzuri.. but upande wng Chelsea Bado Kuna vitu mkufunzi anahitaji kufanyia kazi kama umaliziaji mbele ni very poor otherwise Leo tusingekuwa na nguvu za kuandika hapa..
 
Madueke na Jackson ni wachezaji wa Timu ndogo au mechi ndogo. Uwezo wao ndio umeishia hapo, Nkunku nafasi yake kikosini inamsubiria.

Dogo Palmer anatisha sana, akili kubwa ya mpira, bonge la usajili, umri wake hauendani na mambo makubwa anayofanya uwanjani, anazidi kuwa hatari day after day kadri timu inavyozidi kuimarika.

Mudyk ana kitu mguuni ila kuna rythim flani ya uchezaji anaikosa, hope atazidi kuimarika huko mbeleni.

Sterling amekuwa mdudu washa washa ameongeza kitu katika utulivu na maamuzi yake uwanjani.

Changamoto kubwa ya the blues bado ni kule mbele uwezo mdogo wa kuweka magoli wavuni, lazima dirisha la usajili January tuendelee kuliboresha.

Eneo la katikati na nyuma linaendelea kuimarika sana. Ila kwa kipa Sanchez hapana aisee either tumrudishe keppa au tufanye usajili wa kipa mwingine wa caliber ya the blues.

Hongera sana kwa Poch anaendelea kuimarisha timu kimbinu na kiuchezaji.
Nahis madueke nae anahitaji mda, ni kama Mudryk tu niwachezaj wanaohitaj muda zaidi na kucheza mara kwa mara.

Madueke msimu uliopita wakat league inaelekea ukingoni alikuwa vizuri sema msimu huu Poch ni kama bado hajamwamini
 
Nahis madueke nae anahitaji mda, ni kama Mudryk tu niwachezaj wanaohitaj muda zaidi na kucheza mara kwa mara.

Madueke msimu uliopita wakat league inaelekea ukingoni alikuwa vizuri sema msimu huu Poch ni kama bado hajamwamini
Tatizo la Madueke hana pace kama ya Mudryk na ndio maana unaona mashabiki wengi wa Chelsea hata Mudryk alipokuwa hachezi vizuri bado walimfagilia sana. Madueke hana pace kabisa. Yeye anategemea dribling tu. Labda akifanya vizuri kwenye dribling anaweza kuja kutufaa sana kwenye yale mabasi kama ya Wetham.

Mudryk ana ofa vitu vingi sana wakati Madueke only dribling. Kwenye tight defence bado hawezi kutoboa
 
Binafsi niwapongeze wana Chelsea kwa matokeo na mpira mzuri mlocheza Jana, japo timu yenu Bado haijakaa vyema..
Ukijaribu fuatiliya mechi ya Jana mbali na kucheza vizuri na kutengeneza nafasi nzuri still hamkutumia ata moja, hivyo magoli mlopata ni kama bahati nje na nafasi mlopata, (1-penati, 2-cross ilojaa wavuni)...
Upande wa Arsenal pia sikuona nafasi ya wazi walotengeneza, magoli yao pia ni kama bahati tu, (1-shuti la rice ni makosa ya kipa, 2-trosard cross ilimkuta on target)
Mwisho nipongeze timu ZOTE kwa mchezo mzuri.. but upande wng Chelsea Bado Kuna vitu mkufunzi anahitaji kufanyia kazi kama umaliziaji mbele ni very poor otherwise Leo tusingekuwa na nguvu za kuandika hapa..

Ahsante tunashukuru. Msalimie ndugu mchambuzi maarufu Bwana Hamisi mwambie tunamsalimia sana.

Mpira ni furaha mpira ni burudani
Blue is colour
 
Haya watani matokeo 2-2 komaeni mtoke mikiani

Sina tatizo na kocha wenu ni moja ya makocha nawakubali Sana ,Wana mbinu Wana uelewa mkubwa wa Soka


Komaeni mtoke mikiani kwa mpira wenu hamstahili kuwepo chini ya manjesta ya tapeli ETH ambaye against promoted teams anabahatisha
 
Ahsante tunashukuru. Msalimie ndugu mchambuzi maarufu Bwana Hamisi mwambie tunamsalimia sana.

Mpira ni furaha mpira ni burudani
Blue is colour
Nipo kiongozi ,as Mchambuzi nguli tunakutana na changamoto ngumu katika kazi yetu


Moja ya kazi ngumu Ni kuichambua manjesta ya tapeli 7hag

Tupo na jopo la wachambuzi hapa tunahangaika kujua manjesta wanacheza brand gani ya football


20231022_112138.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom