We kuna siku man u wakikujua watakumwagia tindi kali wallah 😂😂😂😂😂 sio kwa hizo spana. wamekukosea nn?Nipo kiongozi ,as Mchambuzi nguli tunakutana na changamoto ngumu katika kazi yetu
Moja ya kazi ngumu Ni kuichambua manjesta ya tapeli 7hag
Tupo na jopo la wachambuzi hapa tunahangaika kujua manjesta wanacheza brand gani ya football
View attachment 2790116

