Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Nimepita kwenye Uzi wa Arsenal eti wanasema Watakupigeni nyingi 🤔
Arsenal vikojozi Tu ,tutawanyoa siku hiyoNimepita kwenye Uzi wa Arsenal eti wanasema Watakupigeni nyingi [emoji848]
Wewe hukuwaambia chochote juu ya mechi yetu ya ufunguzi?Nimepita kwenye Uzi wa Arsenal eti wanasema Watakupigeni nyingi 🤔
Nafikiri tunahitaji medical department nzuri kwa nn wachezaji wakitoka Chelsea wanakuwa hawana majeruhiMou aliona wivu huyo mdada Eva Carneiro alikuwa anatembea na Branislav Ivanovic
Kuelekea mwishoni mwa kibarua chake na The Blues, wakati huo chini ya Jose Mourinho, ripoti za mapenzi yake na Eva Carneiro ziliibuka. Uhusiano wa karibu kati ya Ivanovic na Carneiro ulionekana wazi kufuatia ushindi wa Chelsea dhidi ya Benfica kwenye UEFA Europa League 2013. Beki huyo alimnyanyua chini wakati wa sherehe na kumzungusha kabla ya kumruhusu kugusa ardhi.
Kwa sasa Eva hana kazi ya amaan kwa nini uongozi usimrudie na kumleta klabuni?
Ushabiki ni mwingi sana kinachofanya useme hakuna mchezaji wetu yoyote anayeingia kwenye kikosi yenu ni kwasababu mnabebwa na team performance wakati sisi team inajitafuta Ile ukiangalia kwa mchezaji mmoja hamna mchezaji mwenye quality kama Caicedo, hamna mchezaji mwenye uwezo zaidi ya Reece James, hakuna mwenye quality kama ya Enzo Fernandez, hakuna left back zaidi ya Ben chilwell, hakuna player mwenye uwezo zaidi ya nkuku, hamna winger ambaye ameprove ubora zaidi ya sterlingTukiweka ushabiki pemben Wala sio kejeri ,sioni mchezaji wa Chelsea anayeingia first eleven ya Arsenal hii
Ukibisha una matatizo ya Akili au ubishi tu
Naisubiri hii mechi sababu
Chelsea kwasasa Ni timu inayocheza open Sana
Hadi Sasa Arsenal tunakutana na timu zakupaki Basi tu ,
So itakuwa mechi nzuri sababu tunapenda kucheza kwenye space
Msipokuwa makini Hadi half time inaweza kuwa ubao unasoma 3-0
Naongea haya sababu nimeziangalia mechi za Chelsea msimu huu
Bado beki zenu Sion zikistahimili ile misako pembeni
Wanabisaka anasifika kwa kukaba na tackling ,mechi vs Arsenal alisababisha Kona 8 out of 12
View attachment 2783868
Ukweli usemwe ,hakuna mchezaji wa Chelsea anaingia kikos Cha Arsenal hao uliotaja wanaanza mbele ya Nani ?Ushabiki ni mwingi sana kinachofanya useme hakuna mchezaji wetu yoyote anayeingia kwenye kikosi yenu ni kwasababu mnabebwa na team performance wakati sisi team inajitafuta Ile ukiangalia kwa mchezaji mmoja hamna mchezaji mwenye quality kama Caicedo, hamna mchezaji mwenye uwezo zaidi ya Reece James, hakuna mwenye quality kama ya Enzo Fernandez, hakuna left back zaidi ya Ben chilwell, hakuna player mwenye uwezo zaidi ya nkuku, hamna winger ambaye ameprove ubora zaidi ya sterling
Chelsea mnaweza msipate hata goli 1 achilia on targetChelsea 3 - 1 Arsenal
Mnaongea na kidomodomo sana sikuhizi ninyi mashabiki wa asenyeto ,sasa jumamosi tutawakumbusha nyie ni nani .Tutakachowafanya Jumamos kitabaki kwenye vitabu vya historia
Naipongeza kenge fc kwa kushinda mechi mbili mfululizo kwa mara ya kwanza ndani ya miez 7 iliyopita mara ya mwisho ilikua MarchMnaongea na kidomodomo sana sikuhizi ninyi mashabiki wa asenyeto ,sasa jumamosi tutawakumbusha nyie ni nani .
Ninyi ni underdogs midteam Tu pale Epl na mtabaki kuwa hivyo .
Uzi wenu ule mtaukimbia
Tutawanyoa kwa vigae vya chupa ,we ngoja
Kweli ushabiki ukizid ni hatari zaidi ya hatari yenyewe.Chelsea Arsenal Combined 11 Team
View attachment 2783845