passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,527
- 12,507
Ilikuwa suala la muda Chelsea kurudi kwenye hali yake
wewe ni takataka haswa😂😂😂We kila siku ni ng'ombe tu
Kwamba Chelsea tumeanza kurudiIlikuwa suala la muda Chelsea kurudi kwenye hali yake
Ni choko yule,Huyu Sanchez kila mechi ananusulika kutoa boko leo boko limekubali , tutegemee kuyaona maboko mengi zaidi huko mbeleni
Ni choko yule,
SifaMagoli waliyokosa Jackson na Palmer ndiyo zimekuwa zawadi kwa arsenal. Jackson sijui kaweje mbona kwenye pre season alikiwasha sana. Kalogwa au ni sifa
Team imeoza ileMagoli waliyokosa Jackson na Palmer ndiyo zimekuwa zawadi kwa arsenal. Jackson sijui kaweje mbona kwenye pre season alikiwasha sana. Kalogwa au ni sifa
Sifa
NdiyoKwamba Chelsea tumeanza kurudi
Ni choko yule,
Sio kIla mechi, kuna mechi sita mfululizo tangu mechi na Forest kacheza bila makosa na ndie yeye katuweka mchezoni kwenye hizo mechiHuyu Sanchez kila mechi ananusulika kutoa boko leo boko limekubali , tutegemee kuyaona maboko mengi zaidi huko mbeleni
Natamani hta abramovich arudi tu, sina raha Chelsea hiiHongereni wadau,
A good chemistry
A good perfomance(hii ni derby)
A good confidence for both player and coach
A beginning winning reathim
A defined pattern play in backline,midifield and attack (kwa baadhi ya vipind vya mchezo ndani ya dk 90)
A beginning partnership in some positions
Mpeni muda poch,
Wapeni muda wachezaji
Upeni muda mfumo wa kocha
Wapeni muda wamiliki
Jipeni muda mashabiki
Yapeni muda makombe
Hongereni boys
Mimi ndugu yenu wa Liverpool nimepita tu humu, lakini ndugu zangu wa Chelsea, kwa muda mrefu jana ndio nimeona Chelsea wakicheza kama team na kwa juhudi 100%. Defence walicheza vizuri sana tu Arsena hawakuwa hatari kabisa mpaka Kipa alipowazawadia goal lakini hakukuwa hata na harufu kuwa Arsena watasawazisha. Ndio maana kwa Chelsea jana kama wamefungwa ila mchukue mazuri, jana baada ya muda mrefu nimeona Chelsea ya baadae walikuwa compact hakukuwa na gap defence, Mid, na mbele speed ilikuwa juu na wana recover position haraka. Mechi ilikuwa fire.Hii defence ya Chelsea inapwaya
Tuendelee kuwapa muda, ipo siku watakuwa fireMimi ndugu yenu wa Liverpool nimepita tu humu, lakini ndugu zangu wa Chelsea, kwa muda mrefu jana ndio nimeona Chelsea wakicheza kama team na kwa juhudi 100%. Defence walicheza vizuri sana tu Arsena hawakuwa hatari kabisa mpaka Kipa alipowazawadia goal lakini hakukuwa hata na harufu kuwa Arsena watasawazisha. Ndio maana kwa Chelsea jana kama wamefungwa ila mchukue mazuri, jana baada ya muda mrefu nimeona Chelsea ya baadae walikuwa compact hakukuwa na gap defence, Mid, na mbele speed ilikuwa juu na wana recover position haraka. Mechi ilikuwa fire.