Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Labda sababu namba 2 ndio inamashiko zaidi maana ata wachezaji walio kuwepo wanapata majeraha.
Sababu zinaweza kuwa Either:-

1. Tunafanya sajili bila kujiridhisha na injury records za wachezaji.

Au

2. Madoctors wetu wanashindwa kutibu injury za wachezaji inavyotakiwa, kupelekea injury kujirudia rudia.
 
Ameludi uwanja wa mazoezi
20231005_185455.jpg
 
Fofana tangu yupo Leicester majeruhi na majeraha yake yanakuaga ya muda mrefu sana alafu tumepigwa 75m
Chelsea kazidi zaidi
Wesley Fofana ndiye beki wa tano kwa bei ghali zaidi duniani na wa nne katika EPL bado atakaa nje ya uwanja kwa msimu mzima!
alikosa mechi 41 mnamo 21/22,
11 mnamo 22/23 na
atakosa mechi 38+ mnamo 23/24
Je, kosa ni la nani? Je, ni timu yetu ya matibabu au mchezaji mwenyewe?
View attachment 2736189
 
Hao injury prone players siku zao kusalia THE BLUES zinahesabika.

Bank ya Marekani itawaondoa wote madirisha ya usajili yajayo.

Waarabu wajiandae kukinga mafuriko mengine ya wachezaji kutoka THE BLUES
Shida ya Injury kwa sehemu kubwa iko Chelsea,
  • Kante tangu aende Uarabudi hajaenda injury
  • Kovacic tangu aende Mancity hajaenda kitandani
  • Pulisic tangu aende AS Milan hajaenda
  • Sisi Chelsea hata kwenye mazoezi mtu anaumia
 
Shida ya Injury kwa sehemu kubwa iko Chelsea,
  • Kante tangu aende Uarabudi hajaenda injury
  • Kovacic tangu aende Mancity hajaenda kitandani
  • Pulisic tangu aende AS Milan hajaenda
  • Sisi Chelsea hata kwenye mazoezi mtu anaumia
Kma umeongea kitu je hiv je shida nni hapo kweli maaana unachosema ninkweli kuna shida Chelsea ipo
 
Pochettino said Lavia won’t be ready even after the international break, in fact, he’s not even running yet. (@iamrahmanosman) #CFC
 
Gabriel Veiga kaamua kuharibu taaluma yake mapema akiwa na miaka 22 kwa ajili ya pesa za haraka haraka
1696654317665.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom