hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,411
- 26,972
Yah na ndio hichi kitu ambacho nawaambia wanaoifananisha Chelsea na man u ,man u hata kwa Astonvilla hawawez kumu outplayChelsea wanacheza vizuri kama timu zingine kubwa tangu ligi ianze
Tatizo letu kubwa ni ufungaji
Fuatilia statistics za Chelsea utagundua hili
Man city tu ndio waliofungwa magoli machache kuliko Chelsea; City (5) na Chelsea (6)
Midfield na Defence tumekaa solid. Only mbele ndio wametuangusha
- Mechi na Liverpool tuliwa outplay
- Mechi zilizofuata hata kama hatukuwa kwenye best level ila opponent tuliwazidi
- Tukifanikiwa kutatua issue ya ufungaji, tunaweza kwenda double figure bila kufungwa
Kwasasa Chelsea wanaweza kukaa chini Waka analyse wapi waboreshe wapi wafanye Nini
Na ndivyo timu zinajengwa hivo,kwanza vile vitu basic viwepo halafu unaanza kuona mapungufu yapo wapi unayo solve
Sasa niambie kwa man u haijulikani wanacheza Aina gan ya mpira , timu ndogo zikijikaza kidogo tu zinawa dominate kwa aibu
Kila mchezaji pale wanasema mbovu,

Ben Chilwell expected to miss the next 2 months due to hamstring injury.
Blow for Poch but Chelsea coaching staff have also appreciated Cucurella’s performances, training best way. Three games started, three wins.