Huna loloteNilitukanwa nilidhihakiwa kuwa namtetea pochetino over 7hag
But Sasa mchambuzi nguli nitaanza kupewa heshima yangu



Hata Kama unanitaka sio kihivyoHuna lolote
Aunt Hamis njoo nikupelekee motoHata Kama unanitaka sio kihivyo
Sio DM ni mkata umemeMnauhakika kuwa Caicedo ni DM?![]()
enzo ni kilaza sijapata kuona






Tangu Pochettino ampeleke no. 10 Enzo amekuwa akistrugle sana. Leo kacheza hovyo kweli. Isingekuwa Caicedo na Galagher tungelambwa sana leoenzo ni kilaza sijapata kuona
Kaokoak dk ya 96Kumbe man u kapigwa tena?
![]()
Kaokoak dk ya 96
caicedo ni box to box ni kama kante nafikiri akipatiwa leiva ataendelea kuubonda kweli kweli, Caisedo sio busquet, casemiro , Rodri hawezi kulinda back 4 kwa sababu ana hama hamaMnauhakika kuwa Caicedo ni DM?![]()
Scott kaingia dk ya 87 na dk ya 93 akasawazisha na dk ya 96 goli la ushindi wana bahati sana hao nyumbu na walitaka kumuuza tena kwa bei rahisi huyo mwokozi waoDuuuu
Tulia na Chelsea yako acha kuwa mkimbiziChelsea ndyo tumeanza ligi Sasa
The blues forever![]()
Mpanga ratiba alituonea, hii ni hujuma ya wazi.
Na hapo ndipo Pochettino atapimwa kama timu imeboreka au laMpanga ratiba alituonea, hii ni hujuma ya wazi.
Hata kama gari limeanza kuwaka lakini si kwa ratiba hii.
Ratiba nzuri tuu... Tukimaliza tumemaliza. Full stop hakuna excuse.Na hapo ndipo Pochettino atapimwa kama timu imeboreka au la