Maamuma wengi wa mpira wanaangalia matokeo tu
Sisi wachambuzi nguli tunaangalia parameters nyingi Sana sio matokeo tu
Kocha anaweza kupigwa hata mechi 10 mfululizo sisi wachambuzi nguli tukakwambia hapa kocha yupo na kocha anaweza kushinda mechi 10 mfululizo tukakwambia hapa kocha hayupo
Ndio tofauti ya mchambuzi nguli na maamuma wa mpira
Manjesta walishinda 3-1 vs Arsenal last season ,nilisema 7hag sio kocha Ni tapeli tu, nilishambuliwa Sana ,leo manjesta fans wanaona aibu kusema hadharan 7hag Ni kocha mdogo tu .