Nyumbu ni rahisi ku-bounce back kuliko hiki kikundi cha RastafariansTukiweka Ushabiki Pemben Tukaliongea Soka Kwa Weledi Chelsea Wanacheza Soka Safi Kuliko Manjesta United Ya ten Hag Butua Butua![]()

Bado Jackson ni mzuri kuliko broja, time will tellBroja kawa bora naona kidgo kuliko Jackson ana mapepe san mtazamo
Hapana Mkorea , wale nyumbu hata Burney ana wa outplay, kitu ambacho Chelsea hawezi kukubaliNyumbu ni rahisi ku-bounce back kuliko hiki kikundi cha Rastafarians
![]()
Oya ! Huyu mhuni Cucurella mbona Right back anakiwasha kuliko alivyokuwa anacheza kama left back ?Sahihisha line up yako
- Cucurella ni RB
- Enzo second na. 6
- Gallagher leo anacheza na. 10
- Colwill ni LB








Wewe takataka la kadi nyekunduNyie takataka leo mmenyoa rasi
Chelsea wanacheza vizuri kama timu zingine kubwa tangu ligi ianzeHapana Mkorea , wale nyumbu hata Burney ana wa outplay, kitu ambacho Chelsea hawezi kukubali
huwa nasema Chelsea wapo karibu Sana kuya overcome matatizo Yao kuliko nyumbu
Picha linaanza nyumbu hata kumiliki Mpira hawawezi
Chelsea Wana takwimu nzuri Sana ambazo zinawapa picha wapi wasahihishe ,
Ni moja ya timu inayomiliki mpira vzr
Ni moja ya timu 10 Bora inayowafanya wapinzani warudi nyuma
Ni moja ya timu ina create nafasi nyingi
Hawa majeruhi wanawaandama kweli
Wanakosa umakini pale mbele ,
Ni timu ambayo tayari ina playing style yakueleweka ,so inawapa urahisi hata mabosi kujua wapi warekebishe ,
Sasa manjesta pale kila mchezaji wanakwambia mbaya
Timu kumiliki mpira hata kwa Burney hawawezi,
Vipi Mudryk unamsakama sanaHapana Mkorea , wale nyumbu hata Burney ana wa outplay, kitu ambacho Chelsea hawezi kukubali
huwa nasema Chelsea wapo karibu Sana kuya overcome matatizo Yao kuliko nyumbu
Picha linaanza nyumbu hata kumiliki Mpira hawawezi
Chelsea Wana takwimu nzuri Sana ambazo zinawapa picha wapi wasahihishe ,
Ni moja ya timu inayomiliki mpira vzr
Ni moja ya timu 10 Bora inayowafanya wapinzani warudi nyuma
Ni moja ya timu ina create nafasi nyingi
Hawa majeruhi wanawaandama kweli
Wanakosa umakini pale mbele ,
Ni timu ambayo tayari ina playing style yakueleweka ,so inawapa urahisi hata mabosi kujua wapi warekebishe ,
Sasa manjesta pale kila mchezaji wanakwambia mbaya
Timu kumiliki mpira hata kwa Burney hawawezi,
Jamaa hao wameanza sponsorship kwa ushindi mbele kwa mbele sasaInfinite Athlete, Infinite Goals msije sema sikuwaambia