Mnachambua tembele sio.
Njooni group la man United tuna kikao sisi ni ndugu kabusa





Dharau Sana kupitwa point na manjesta timu ambayo hata kupiga pass 10 haiwezKinachoniuma ni kupitwa point na hao ng'ombe. Hicho tu, hicho tu.
Marasta FC


nobade kan stop rege 

Tatizo ni kocha, Poch akiacha ufala atapafanya vizuri, ila asipobadilika kuendelea kukumbatia wachezaji wapuuzi, ndio litakua anguko lake kama wenzie.Tatizo la uhaba wa kufunga magoli halijaanza leo.
Tuchel matokeo yake yalikuwa 1 - 0, 2-1, draw au kufungwa. Chini ya TT Ukihesabu mechi tulizoshinda zaidi goli 3 sidhani kama zinazidi mbili.
Chini ya Potter tatizo la uhaba wa magoli likaendelea, hali ikawa mbaya kufungwa zaidi kuliko kushinda. Bora kwa TT timu ilikuwa solid kwenye kujilinda.
Amekuja Lampard tatizo la uhaba wa magoli likapamba moto, unaangalia mechi huoni hata dalili ya kufunga goli.
Amekuja Poch tatizo liko pale pale timu haina uwezo wa kufunga magoli.
Kwahiyo tatizo la uhaba wa kufunga magoli chini ya makocha 4. Je tatizo ni makocha, uongozi, wachezaji au nini sasa?
Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni uongozi kuendelea kusajili mabeki wengi wakiamini tatizo ni defensive ili hali tatizo ni attacking.
Nadhani tusajili experienced players kwenye eneo la attacking.
Ukiwa na safu bora ya ushambuliaji kule nyuma wanapata confidence ya kujilinda. Lakini wewe huna uwezo wa kufunga magoli kinachotokea ni kufungwa au kudraw.
Pochettino anajitahidi ila ufungaji naona umemshindwaBora julian Nagelsman ,naona falsafa zake za kijerumani zingetufaa ,soka la faster na kuattack Kwa kasi na umakini .
Huyu fala Pochetino ni clueless kama akina Lampard na Potter .
Hajui anachofanya
Ndio maana mlituogopa mechi ile
Siku hizi akaunti yako imehakiwa au unawaachia wahuni waitumie eh!View attachment 2754055
Nyie wapumbavu kwa nn hamna ‘legend’?
Point yako muhimu ya kusajili wachezaji wenye kapirience lakini hata makocha tulio nao ni hewaTatizo la uhaba wa kufunga magoli halijaanza leo.
Tuchel matokeo yake yalikuwa 1 - 0, 2-1, draw au kufungwa. Chini ya TT Ukihesabu mechi tulizoshinda zaidi goli 3 sidhani kama zinazidi mbili.
Chini ya Potter tatizo la uhaba wa magoli likaendelea, hali ikawa mbaya kufungwa zaidi kuliko kushinda. Bora kwa TT timu ilikuwa solid kwenye kujilinda.
Amekuja Lampard tatizo la uhaba wa magoli likapamba moto, unaangalia mechi huoni hata dalili ya kufunga goli.
Amekuja Poch tatizo liko pale pale timu haina uwezo wa kufunga magoli.
Kwahiyo tatizo la uhaba wa kufunga magoli chini ya makocha 4. Je tatizo ni makocha, uongozi, wachezaji au nini sasa?
Kilichotokea na kinachoendelea kutokea ni uongozi kuendelea kusajili mabeki wengi wakiamini tatizo ni defensive ili hali tatizo ni attacking.
Nadhani tusajili experienced players kwenye eneo la attacking.
Ukiwa na safu bora ya ushambuliaji kule nyuma wanapata confidence ya kujilinda. Lakini wewe huna uwezo wa kufunga magoli kinachotokea ni kufungwa au kudraw.
Hii ndiyo Mindset ya Rent boys mpaka leo wanaamini katika kuupiga mwingi badala ya kuamini kwenye kupata matokeoWacha bana
Mechi ile mlitaka kutimua uwanjani, tulivyowapelekesha


Sasa Tajiri wenu si ameamua mwenyewe kuigeuza Chelsea kama Barcelona ile iliyokuwa ikibeba kila anayekatiza mbele yake mara Bembele, mara Coutinho mpaka wakafilisika na kuishia kucheza Europa.Bora ule mfumo wa usajili wa Abrmovich wa kusajili matured/exprienced players, kuliko huu wa bank ya Marekani kusajili mbarara nyingi.
Hizi mbarara hazitatufikisha popote hata zikishinda na kulala huko mazoezini, tunahitaji exprienced players na mchanganyiko kidogo wa mbarara.
Cha kufanya madirisha yajayo ya usajili ni kuzihamisha hizi mbarara kuzipeleka kule Strasbourg fc zikapate uzoefu na pia tupunguze kusajili wachezaji marasta bangi nyingi.
Usajili ni muhimuHv bdo Chelsea mnafurahia usajili?![]()
Yaani Poch ni kiazi sana.
Hamna kocha humo, wachezaji wake muhimu ni akina Ghallagh na kitambaa cha ukapteni kampa wakati Silver ingependeza apewe. Choko sana huyo kocha.Yaani Poch ni kiazi sana.