Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hamna kocha humo, wachezaji wake muhimu ni akina Ghallagh na kitambaa cha ukapteni kampa wakati Silver ingependeza apewe. Choko sana huyo kocha.
Labda anaangali utaifa ndio anachagua ampe nani kitambaa maana wote waliopewa awamu yake ni waingereza
 
Beki huyuapa sasa
FB_IMG_1695222035104.jpg
 
Usajili wa mchezaji ambao Chelsea daima watafurahi kuukwepa msimu uliopita wa kiangazi ni huu wa Andre Onana
1695266661854.png
 
N'Golo Kante:

“Ndoto yangu ilikuwa kuwa mwanasoka na kujaribu kushinda mataji. Kujiunga na Chelsea ulikuwa mpango mzuri kwangu kufikia ndoto hizo.

Siku ya kwanza nilipojiunga na Chelsea, niliambiwa mapema sana kwamba lengo hapa ni kushinda mataji. Kila mara."

1695341478339.png
 
#Chelsea are working on finding a short-term solution that is beneficial for both Mykhailo Mudryk and the club, potentially a loan move to help his development.

(@fichajesnet)
 
Sisi kama man United, tunaitaka chelsea na Sisi tusafishe jina manake kina aseno, Brighton, tot wametuchafua sana.

TUPEWE CHELSEA, TUSAFISHE JINA
 
Maoni ya mchambuzi nguli

Bado Pochinene ana uwezo mkubwa kuliko Erik 7 hag

Matatizo ya Chelsea ni machache na Ni rahisi kuya overcome ukifananisha na Matatizo ya manjesta

7hag Hana playing style hajulikani anacheza brand gani ya football, wachezaji Wana jog , pass 100+ zinapigwa eneo la backline


Pochinene anaonekana ana playing style,ila ana kumbana na majeruhi, maturity ya wachezaji wengi Ni vijana, tatizo la kufunga magoli ndio sugu tofauti na A Dutch David Moyes yeye anategemea form ya Rashford na Bruno

Takwimu hazidanganyi

Soma hapa

Utagundua manjesta hata kumiliki Mpira hawawez tofauti na timu ya Pochinene, utofaut tu Manjesta ina wachezaji wazoefu wakuokota point mbili tatu tofaut na Chelsea ,
20230922_121600.jpg
 
Andrey Santos hata kwenye benchi la Forest hayupo, wacha wafanywe leo na city hadi washike adabu
Arudi nyumbani tu
1695647026552.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom