Kwao ni Argentina hukooKuna uwezekano Poch akala x mass akiwa kwao Spain View attachment 2753685
Tungenunua watoto kama Angelo tungewapata wangapi hapoUnamnunua mchezaji million 100 alafu anakuja kujifunzia kwako kucheza mpira sasa si bora udevelepo watoto wa academy
Wacha banaHili Genge limejifia mapema sana yani! Limeanzishwa 2005 hata miaka 20 halijafika lishajifia.
TrueKwao ni Argentina hukoo
Mnachambua tembele sio.
Njooni group la man United tuna kikao sisi ni ndugu kabusa



Kwa hyo kwa usajili huu wa virasta men vya miaka 20 tusitegemee makubwa. Pia mbinu za mwalimu huenda zimepitwa na wakati kulingana na soka la kisasa.Tatizo ni usajili wa ovyo ovyo kuanzia kocha mpaka wachezaji.
Ishakuwa Process FC. Kila leo kutiwa moyo tu yanHamna Timu hapo. Madhaifu ni mengi sana kuanzia uongozi mpaka wachezaji.
Idara zote za club zimeoza



Conor angekua na akili ya mpira plus juhudi alizonazo angekua bonge moja la mchezaji, sema ndio hivyo juhudi nyingi akili kisoda.Ukweli kuhusu Conor Galagher
View attachment 2753724
- Ana juhudi sana uwanjani kuliko mchezaji awaye yote
- Ana mentakity nzuri inayotakiwa na mchezaji
- Anakosa clinicality, juhudi nyingi bila maarifa
- Workrate yake kubwa lakini endproduct yake ndogo sana hivi vitu viwili vinaenda unticlockwise
- Nilikuwa namsupport muda mrefu ila sasa ni wakati muafaka kutuachia timu asitupe pressure
- Jana Mudryk alimpa mpira mzuri sana akapaiza juu kwa goti wakati hata kwa tumbo angefunga goli
Kinachoniuma ni kupitwa point na hao ng'ombe. Hicho tu, hicho tu.
Bora julian Nagelsman ,naona falsafa zake za kijerumani zingetufaa ,soka la faster na kuattack Kwa kasi na umakini .Hamna Timu hapo. Madhaifu ni mengi sana kuanzia uongozi mpaka wachezaji.
Idara zote za club zimeoza
Mkuu, Enrique sio kocha mzuri, anakuzwa sana, just ordinary coach, Barcelona alibebwa na mfumoTatizo ni usajili wa ovyo ovyo kuanzia kocha mpaka wachezaji.
Tulimuacha Enrique tukamchukua mashingo
Na wamepewa mikataba ya miaka 8 hadi 9 + 1 ya nyongezaBora ule mfumo wa usajili wa Abrmovich wa kusajili matured/exprienced players, kuliko huu wa bank ya Marekani kusajili mbarara nyingi.
Hizi mbarara hazitatufikisha popote hata zikishinda na kulala huko mazoezini, tunahitaji exprienced players na mchanganyiko kidogo wa mbarara.
Cha kufanya madirisha yajayo ya usajili ni kuzihamisha hizi mbarara kuzipeleka kule Strasbourg fc zikapate uzoefu na pia tupunguze kusajili wachezaji marasta bangi nyingi.