Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

HT tunaomba uchambuzi kwa tulioshindwa kuangalia mechi, vipi Ghalagah ameweza kupga foward pass hata moja, vipi mipira yote bado inapelekwa kwa Sterling.
 
Nimetoka kumwambia mtu hapa team yenu ipo very competitive imekamilika nyuma na kati kasoro mbele kule mnamuitaji sana nkuku kama kuna mtu kafukia mbuz pale darajan mwende mkafukue

Ila leo mnashinda wakuu
 
Mpo nyumbani
Screenshot_20230924-170549.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom