Kuna kufanya sajili za wachezaji na kuna kufanya shopping ya wachezaji sokoni.
The Blues tunafanya Shopping ya mazagazaga ya wachezaji.







Hata siku moja sikuwahi kumkubali Sanchez, Mimi ndie nilikuwa napost hapa stats za Sanchez against Kepa na kwamba Kepa alikuwa mzuri kuliko Sancheza. Mashabiki wengi wa Chelsea hakuwahi kumkubali Sanchez. Uongozi hapo ulichemka kwa kweli. Raya ni GK mzuri hakuna anayepinga ni bahati mbaya tu umaskini wenu umewaforce kumtoa mkopoNilikwambia kwa kipa Sanchez mtapigwa had na timu za mchangani
Ulikuwa unamfananisha Sanchez na David Raya
Mara 100 Kepa
Hizo mechi labda ya manjesta ndio mtaokota point
Kwa hiyo ninyi factor ya kuijenga timu hakuna, ile sio ligi ya kuwania jogoo ambako wahuni wanajikusanya na kubeba kombe. Chelsea tunahitaji muda wa msimu mmoja hadi miwili ili timu ijijenge kikemia na kimfumoPesa sio kila kituView attachment 2745977
Nilikwambia kwa kipa Sanchez mtapigwa had na timu za mchangani
Ulikuwa unamfananisha Sanchez na David Raya
Mara 100 Kepa
Hizo mechi labda ya manjesta ndio mtaokota point
Kenge bado hamjasemaTunaendelea kucheza na injuries za double figures kama msimu muliopita
Majeruhi ni 10-12 hadi msimu uishe halafu anakuja kocha mwenye uzoefu kama Pochettino anasema anataka squad ya wachezaji 22 ili huyo alisomaga mahesabu darasani kweli
Kwamba kwenye 22 ukitoa majeruhi 10 unabakiwa na wachezaji 12 wa kuwategemea
Kwamba wacheze 11 halafu mmoja tu ndie anabaki sub??
Pochettino hajielewi kabisa
View attachment 2746693

Duh morata tena? Afu sisi na atletico Huwa hatu match wachezaji wao asilimia nyingi kwetu wanazingua... Labda Costa tuWe ni kiazi sana, kenge maji wewe.
"wah gwaan UP ALL Children OF JAH RASTAFARI SELASSIE I!!!
Iman Just want to SAY GREETINGS. Feeling JAH vibes and the Love of HIM, so respect and One Love everytime.
Have a blessed sabbath, give thanks and praises!
Ras I-Tom.
H.I.M, Negusa Negast, Haile Selassie I, Emperor of Itheopia, King of Kings, Lord of Lords, Conquering Lion of the Tribe of Judah, Elect of God, Light of the Universe. RasTafarI!View attachment 2748957




















Worrap ma nigga ganja da Rastafarian de Cheltako
![]()


Wachezaji wa Chelsea HT wakiwa dressing room 


Howdy do missa Puttin? A long time mi nuh see yuh.
Ujue Flano unazingua sana ujue,😂😂😂