Chelsea nayo imelaaniwa unauza Gilmor ambae anapga pasi kama Xavi unabaki na takataka Gallagah asieweza kupga hata foward pasi moja dk.90 halafu Gallagah ndio anamngangania kuwa mchezaji wake muhimu.
Nishaanza kutilia shaka uwezo wa Poch.



Mkuu kama vipi tuihamishe Chelsea ikacheze ligi kuu ya Jamaica
maana sasa hivi Marastafarians wote ukiwaambia wakutajie timu yao ya taifa wanasema Chelsea


SpacegoatSilva ameanza kuwa mzigo, Colwill yuko slow kukaba na kufanya covering. Sanchez hawezi kudive. Tunashida kocha asipofanya mabadiliko
View attachment 2737141
Spacegoat ❌Spacegoat
ELANGA anamagoal mengi pale darajani kuliko MUDIView attachment 2737269
Kwani kijana wangu mudi hakucheza jana?
#NGIRIPORI FCTukiambulia point 3 hapa niitwe paka mweusiView attachment 2737446
Mkuu huyo Mudi hata muda wa kucheza tangu kaja Chelsea hapati ila mie naaamin ni mchezaji mzuri sana sema Chelsea macho yao yanfunikwa na uengerezaELANGA anamagoal mengi pale darajani kuliko MUDI
Nakubaliana na wewe Mudryk hajapewa muda ila ni mchezaji mzuri sanaMkuu huyo Mudi hata muda wa kucheza tangu kaja Chelsea hapati ila mie naaamin ni mchezaji mzuri sana sema Chelsea macho yao yanfunikwa na uengereza