Changamoto zilziojitokeza nyingi kaisababisha kocha mwenyewe
Tulitakiwa kuendelea na ile formation ya Pre season ya 4-2-3-1
Hii ya 3-4-2-1 inamfanmya Chilwell anazurura tu na kuwa mzigo kwa wenzake
Akisha pitwa Chiulwell au mid wakipoteza mpira huyu Gusto na Chilwell hawawezi kurudi kufanya backline ya 5 ndio matarajio ya hii formation
Pochettino kuamini kuwa ile timu iliyocheza na Luton ilicheza vizuri ni uduwanzi mkubwa
Siku ile mimi nilisema kuwa pamoja na kuwabandua Luton 3 - 0 bado Chelsea haukucheza vizuri. Tatizo kubwa la leo like pale pale tulipocheza na Luton
Kocha pia aanze kumpa nafasi kipa mpya ambaye ana rekodi ya shot stopper
Kule mbele bado ni butu, Jackson hajui kuwa kwenye maeneo ya kimkakati kama anavyofanya Haaland. Hii ndio sifa mojawapo ya striker. Kuna krosi kadha wa kadha ambazo angetime angeweza kutap na kuwa goli
Kiujumla hatuendi vizuri, tunatarajia tuje kubeba point na timu kubwa hapana, hawa forest kama ilivyokuwa Luton ndizo timu za kuchukua points tena asubuhi sio jioni
Kosa lingine ni kocha kuchelewa kufanya sub, Mudryk, Cole, Madueke, Maatsen walitakiwa waingie mapema ili kupata muda wa kubadili mchezo
Maoni
Turudi kwenye formation yetu ya 4-2-3-1
Chilwell awe anaingia sub, hiyo nafasi yake aanze Maatsen
Jackson asiwe anacheza hadi mwisho
Petrovic awe anaanza badala ya Sanchez
Kocha awafundishe wachezaji kuruka, leo forest wametuzidi kwa mipira ya juu
Kocha pia awafundishe wachezaji direct football ili kutia kashikashi kwenye lango la wapinzani