Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea ni kama katimu kamepanda daraja msimu huu. Unajaribu sana kukaelewa ila hamna kitu.
 
Changamoto zilziojitokeza nyingi kaisababisha kocha mwenyewe
Tulitakiwa kuendelea na ile formation ya Pre season ya 4-2-3-1
Hii ya 3-4-2-1 inamfanmya Chilwell anazurura tu na kuwa mzigo kwa wenzake
Akisha pitwa Chiulwell au mid wakipoteza mpira huyu Gusto na Chilwell hawawezi kurudi kufanya backline ya 5 ndio matarajio ya hii formation
Pochettino kuamini kuwa ile timu iliyocheza na Luton ilicheza vizuri ni uduwanzi mkubwa
Siku ile mimi nilisema kuwa pamoja na kuwabandua Luton 3 - 0 bado Chelsea haukucheza vizuri. Tatizo kubwa la leo like pale pale tulipocheza na Luton
Kocha pia aanze kumpa nafasi kipa mpya ambaye ana rekodi ya shot stopper
Kule mbele bado ni butu, Jackson hajui kuwa kwenye maeneo ya kimkakati kama anavyofanya Haaland. Hii ndio sifa mojawapo ya striker. Kuna krosi kadha wa kadha ambazo angetime angeweza kutap na kuwa goli
Kiujumla hatuendi vizuri, tunatarajia tuje kubeba point na timu kubwa hapana, hawa forest kama ilivyokuwa Luton ndizo timu za kuchukua points tena asubuhi sio jioni
Kosa lingine ni kocha kuchelewa kufanya sub, Mudryk, Cole, Madueke, Maatsen walitakiwa waingie mapema ili kupata muda wa kubadili mchezo

Maoni
Turudi kwenye formation yetu ya 4-2-3-1
Chilwell awe anaingia sub, hiyo nafasi yake aanze Maatsen
Jackson asiwe anacheza hadi mwisho
Petrovic awe anaanza badala ya Sanchez
Kocha awafundishe wachezaji kuruka, leo forest wametuzidi kwa mipira ya juu
Kocha pia awafundishe wachezaji direct football ili kutia kashikashi kwenye lango la wapinzani
 
Kumbe Jackson ni comedian atuambiani
20230902_195311.jpg
 
Kwani caicedo hakuwepo kuwasaidia Chelsea?si walisema anapiga kazi sana?au ilikua ni ngonjera?
😝😝
Kwa maoni yangu Caicedo kacheza vizuri pamoaj na individual error. Kuna tackle nyingi sana kazifanya. Tatizo leo ni formation na kule mbele hawakujituma na kutumia akili akiwemo Jackson. Akija Broja kocha awe anawarotate ili akili iwajie tena
Possesion ya 76 na tulikuwa tunatengeneza nafasiu nzuri shida ni wafungaji tu
1693674735841.png
 
Changamoto zilziojitokeza nyingi kaisababisha kocha mwenyewe
Tulitakiwa kuendelea na ile formation ya Pre season ya 4-2-3-1
Hii ya 3-4-2-1 inamfanmya Chilwell anazurura tu na kuwa mzigo kwa wenzake
Akisha pitwa Chiulwell au mid wakipoteza mpira huyu Gusto na Chilwell hawawezi kurudi kufanya backline ya 5 ndio matarajio ya hii formation
Pochettino kuamini kuwa ile timu iliyocheza na Luton ilicheza vizuri ni uduwanzi mkubwa
Siku ile mimi nilisema kuwa pamoja na kuwabandua Luton 3 - 0 bado Chelsea haukucheza vizuri. Tatizo kubwa la leo like pale pale tulipocheza na Luton
Kocha pia aanze kumpa nafasi kipa mpya ambaye ana rekodi ya shot stopper
Kule mbele bado ni butu, Jackson hajui kuwa kwenye maeneo ya kimkakati kama anavyofanya Haaland. Hii ndio sifa mojawapo ya striker. Kuna krosi kadha wa kadha ambazo angetime angeweza kutap na kuwa goli
Kiujumla hatuendi vizuri, tunatarajia tuje kubeba point na timu kubwa hapana, hawa forest kama ilivyokuwa Luton ndizo timu za kuchukua points tena asubuhi sio jioni
Kosa lingine ni kocha kuchelewa kufanya sub, Mudryk, Cole, Madueke, Maatsen walitakiwa waingie mapema ili kupata muda wa kubadili mchezo

Maoni
Turudi kwenye formation yetu ya 4-2-3-1
Chilwell awe anaingia sub, hiyo nafasi yake aanze Maatsen
Jackson asiwe anacheza hadi mwisho
Petrovic awe anaanza badala ya Sanchez
Kocha awafundishe wachezaji kuruka, leo forest wametuzidi kwa mipira ya juu
Kocha pia awafundishe wachezaji direct football ili kutia kashikashi kwenye lango la wapinzani
Andiko refu kumbe NGIRIPORI mkia juu tuTimu imeoza yote
 
Chelsea nayo imelaaniwa unauza Gilmor ambae anapga pasi kama Xavi unabaki na takataka Gallagah asieweza kupga hata foward pasi moja dk.90 halafu Gallagah ndio anamngangania kuwa mchezaji wake muhimu.
Nishaanza kutilia shaka uwezo wa Poch.
 
Chelsea nayo imelaaniwa unauza Gilmor ambae anapga pasi kama Xavi unabaki na takataka Gallagah asieweza kupga hata foward pasi moja dk.90 halafu Gallagah ndio anamngangania kuwa mchezaji wake muhimu.
Nishaanza kutilia shaka uwezo wa Poch.
Yani mashabiki wa chelsea hatuna raha hata kiduchu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom