Aseeh namuangalia hapa BILLY GILMOUR anavyotulia hapa katikati , anavyozitawanya pass bila uoga yani hana tofauti na ENZO pamoja na umbo lake dogo lakini anajiamini balaa , kuna timu itakuja kumnunua kwa 100+ MChelsea nayo imelaaniwa unauza Gilmor ambae anapga pasi kama Xavi unabaki na takataka Gallagah asieweza kupga hata foward pasi moja dk.90 halafu Gallagah ndio anamngangania kuwa mchezaji wake muhimu.
Nishaanza kutilia shaka uwezo wa Poch.
Ufaransa WC2018Mtu mweusi na mpira wapi na wapi
Ndio maana Pep hataki hata kuwasikia
Unatia weupe 9 mweusi mmoja hapo utashinda.
Timu gani imechukua kombe na weusi 8 uwanjani
Sie tubaki kuuza mali zetu
Jamaa hapa hata akija mbappe ni kazi bure. Huyo Gallagher ukiwapatia hao Brighton utamtamani tenaChelsea nayo imelaaniwa unauza Gilmor ambae anapga pasi kama Xavi unabaki na takataka Gallagah asieweza kupga hata foward pasi moja dk.90 halafu Gallagah ndio anamngangania kuwa mchezaji wake muhimu.
Nishaanza kutilia shaka uwezo wa Poch.
Nyie ilitakiwa muinunue Brighton yote na bodi nzima na sio kununua wachezaji wake.Ngiripori fc sasa mnaandaa pesa ya kumnunua ferguson wa brighton
Benchi la ufundi na management nzima ya Chelsea ni ya ovyo ,angalia timu kama Brighton , one of the best run football clubs in epl , hata magalasa yanaenda pale yanageuka dhahabuJamaa hapa hata akija mbappe ni kazi bure. Huyo Gallagher ukiwapatia hao Brighton utamtamani tena
Kocha kocha + foundation.Angalia master class ya Yule dogo Billy Gilmour tena tokea academy ya Chelsea alivyowaaibisha timu ngumu kama Newcastle leo .Sisi tulimuona hafai
Bill Gilmour master class Leo .
NGIRIPORI FCNashindwa kumuelewa Pochetino, kulikuwa na haja gani kwenda pre season na kutumia mfumo ambao kwenye league huwez tumia.
Hii tabia ya kumtumia Chilwel kama LW ifeee, na huku kutumia 3CB wakat kwa pre season ulikuwa hutumii ni ujinga wa hali ya juu.
Unatest mifumo.kwenye league wakat wa pre season ilikuwa hutumii
Tottenham Hotspur FC wanacheza pira biriani na wanafunga magoli ya akili balaa.Benchi la ufundi na management nzima ya Chelsea ni ya ovyo ,angalia timu kama Brighton , one of the best run football clubs in epl , hata magalasa yanaenda pale yanageuka dhahabu

Na sijui anafanya experiment gani na huo mfumo wake wa ovyo wakati umeshaprove failures tangia mechi ya WesthamNashindwa kumuelewa Pochetino, kulikuwa na haja gani kwenda pre season na kutumia mfumo ambao kwenye league huwez tumia.
Hii tabia ya kumtumia Chilwel kama LW ifeee, na huku kutumia 3CB wakat kwa pre season ulikuwa hutumii ni ujinga wa hali ya juu.
Unatest mifumo.kwenye league wakat wa pre season ilikuwa hutumii
Kumkosa Enrique nikosa kubwa sana kuwah kulifanyaUnacheza na Nottingham Forest unaweka mabeki 5 wakati nje una forward kibao
Mamarekani yenyewe yanataka Makocha vilaza ambayo hayatakuwa na sauti juu ya maamuzi yao, Kocha mahiri Enrique angekubaliana na huo upumbavu?Kumkosa Enrique nikosa kubwa sana kuwah kulifanya
Chelsea FC ya mabishoo A.K.A RastafariansNgiripori fc, huyo todd wenu hajui chochote kuhusu mpila ananunua nua tu wachezaji bila kichwa wala miguu
Juzi mnamchukua dogo striker wa man city, wakati anacho kioffer ni kile kile kama mwenzake jackson.
Mko desperate, timu huchanganywa wakubwa na wadogo sasa nyie wote wadogo alafu mabishoo sanaaaa
