Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sijui kuna laana gani hapa kwenye hii timu , aisee yaani tangia Tuchel aondoke tumezidi kuwa viazi .Kila coach aliyekuja kaflop ile mbaya ,tena vibaya sana .
Ni sioni hope kabisa kwa uchezaji huu
 
Nashindwa kumuelewa Pochetino, kulikuwa na haja gani kwenda pre season na kutumia mfumo ambao kwenye league huwez tumia.

Hii tabia ya kumtumia Chilwel kama LW ifeee, na huku kutumia 3CB wakat kwa pre season ulikuwa hutumii ni ujinga wa hali ya juu.

Unatest mifumo.kwenye league wakat wa pre season ilikuwa hutumii
Hapo ndo nakopata wasiwasi na huyu kocha yani hajielewi kabisa na asipobadilika Xmas hafiki
 
Hata Enrique asingefanikiwa maana huko Psg bado hali mbaya
Nafikiri tungeenda mbali zaidi kutafuta mwalimu ambae anatoka ligi za mataifa kma Spain au ureno timu kma Lisbon au benifica akaja akatafuta muunganiko wa wachezaji halafu tuende kw makocha haw wenyeajina najaribu kuwaza tu maaana naona kma pochetino anafundisha mpira wa zamani spurs mf kocha wa spurs naw wanacheza mpir mzuri sana kla kw upNde mwingine tunahitaji muda sana maana majeruhi nayo wapone huenda tunaweza tuka click
 
This team has no modern football identity. Slow pass sijui mchawi nani wachezaji wanabadilishwa lakini wanakuja kuadapt mpira wa slow. Mfano tu unacheza na timu inayopak basi unawin possession from corner kick wachezaji wanabakia kwenye box lao wanasubiri opponent warudi kwenye zone yao then mpira unaanzisha nyuma ukifika katikati unakuta basi limeshafika stand unaanza back basi kwa kipa. Hii kitu inakera sana ni zaidi ya makocha 4 wamefeli kubadilisha hii mentality since kipindi cha Conte. Sijui mchawi nani
 
Rastafarian fc
Screenshot_20230902-210106_Instagram.jpg
 
Benchi la ufundi na management nzima ya Chelsea ni ya ovyo ,angalia timu kama Brighton , one of the best run football clubs in epl , hata magalasa yanaenda pale yanageuka dhahabu
Management wamekosa nini sasa, wao hawahusiki na uwanjani, wachezaji wazuri wapo, pre season tulicheza vizuri, mfumo falsafa zote zilikaa sawa, huyu kichwa maji anayeitwa Pochettino kaja na mfumo tofauti na ule wa Preseason. Unajaza mabeki nyuma kwa kitimu kama Forest utaachwa kupigwa. 4-2-3-1 ilileta matunda mazuri pre-season lakini Pochettino tangu ligi ianze anatumia 3-4-2-1 formation ambayo haian wachezaji wazuri wa kuwaweka uwanjani
 
Nashindwa kumuelewa Pochetino, kulikuwa na haja gani kwenda pre season na kutumia mfumo ambao kwenye league huwez tumia.

Hii tabia ya kumtumia Chilwel kama LW ifeee, na huku kutumia 3CB wakat kwa pre season ulikuwa hutumii ni ujinga wa hali ya juu.

Unatest mifumo.kwenye league wakat wa pre season ilikuwa hutumii
Ndio maana mimi namuita kichwa maji kweli kweli
 
This team has no modern football identity. Slow pass sijui mchawi nani wachezaji wanabadilishwa lakini wanakuja kuadapt mpira wa slow. Mfano tu unacheza na timu inayopak basi unawin possession from corner kick wachezaji wanabakia kwenye box lao wanasubiri opponent warudi kwenye zone yao then mpira unaanzisha nyuma ukifika katikati unakuta basi limeshafika stand unaanza back basi kwa kipa. Hii kitu inakera sana ni zaidi ya makocha 4 wamefeli kubadilisha hii mentality since kipindi cha Conte. Sijui mchawi nani
Leo mbona hawakucheza slow, mpira ulichezwa vizuri. Tatizo kuu ni tatcical problem ya kocha kung'ang'ania 3-4-2-1 badala ya 4-2-3-1
Hiyo ya mabeki wengi unawaweka benchi washambuliaji
Angetumia 4-2-3-1 lazima Mudrk angecheza na lazima aidha Ina Maatsen au Cole angecheza no. 10 na Enzo na Caicedo pivot ya 2
Lenmgo la kumleta Caicedo ilikuwa amsaidie Enzo aweze kupanda sasa anamg'ang'ania Gallagher ambaye kwa kweli anacheza vizuri ila sio mzuri wa kutoa through passes kama Enzo au Cole Palmer
Kule mbele Sterling, Jackson hawakuwa an chemistry wala hawakucheza vizuri. Walishindwa kujenga buildup ya mashambulizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom