🤣🤣🤣🤣Aisee nimehakikisha kitu kinaitwa PESA achana nacho kabisa. Chelsea imeachana na wachezaji wao wote wa kikosi cha kwanza kwa 99%
Pale wamebakia wachezaji 3 tu wa zamani,
Silva,
Chilwell
James
Shikamoo fedhaaaa !!
🤣🤣🤣🤣Aisee nimehakikisha kitu kinaitwa PESA achana nacho kabisa. Chelsea imeachana na wachezaji wao wote wa kikosi cha kwanza kwa 99%
Pale wamebakia wachezaji 3 tu wa zamani,
Silva,
Chilwell
James
Shikamoo fedhaaaa !!
Anaweza kututesa mchezaji Hana hata goli la offside?Mudryk anakutesa sana aisee, pole sana.inaelekea uliumia sana alivyowatosa.
Unaweweseka hatari.
Kwahiyo mmepigwa za uso TenaHuyo mtoto ni mwehu, hakuna chochote atakachoongeza tupo hapa. Labda km ni wakuanzia benchi.


Pochentino ni kocha fundi mno ujui nini kaona kwa huyo dogo, na ni kocha mwenye uwezo wakudevelop talent ikatoa matunda wengi humu tulibeza sana usajili wa Nicole Jackson kulingana na stats zake angalia sasa hivi nini ana offer kwenye teamKwahiyo mmepigwa za uso Tena![]()
Ameletwa hasa kwa sababu ya No 10 ambayo inachezwa zaidi ya Chukwuemeka na Nkunku japo Nkunku akicheza LW au striker anakuwa mzuri zaidi kuliko akicheza No 10. Mtu mwingine ambay anaweza cheza no. 10 ni Enzo. Tuone Pochettino atamtumiaje kwa sababu ameidhinisha usajili wakeHuyo mtoto ni mwehu, hakuna chochote atakachoongeza tupo hapa. Labda km ni wakuanzia benchi.
Sasa mbona anakuwewesesha hivyo?? Hutaki kukubaliana na hali, utapata kisukari shaur yako.Anaweza kututesa mchezaji Hana hata goli la offside?
Shida yenu mnaangalia Youtube. Hebu tutoke kwenye kushabikia Chelsea tuwe washabiki wa mpira. Mimi kila mechi naangalia huyu dogo nimemuangalia kuanzia msimu uliopita kwenye mechi alizopewa nafasi asee ni anajua sana. Dogo kila angle ana uwezo wa kutoa pass. Bila kupepesa macho hapa tumepata mchezajiHuyo mtoto ni mwehu, hakuna chochote atakachoongeza tupo hapa. Labda km ni wakuanzia benchi.
Hiki kikundi cha wavuta bangi
Jumla ni £1.02bn = Tshs 3,232.635bnAisee nimehakikisha kitu kinaitwa PESA achana nacho kabisa. Chelsea imeachana na wachezaji wao wote wa kikosi cha kwanza kwa 99%
Pale wamebakia wachezaji 3 tu wa zamani,
Silva,
Chilwell
James
Shikamoo fedhaaaa !!
baada ya mechi tano za ligi ndiyo utajua ni cha wavuta bange kweli ama laah
Chelsea have completed a deal to sign Manchester City winger Cole Palmer on Transfer Deadline Day.