Palmer ana ofa kitu ambacho hakipo kwa washambuliaji wetu
Anapenda kupiga mashuti mara anapopata nafasi hata kama ni finyu
Hii itawezesha aidha kupata magoli au nafasi za wengine kufunga kwa sababu mchezaji kama yeye mwenye kupenda kupiga mashuti na huo uwezo anao, mabeki watakuwa wanahaha na kucheza out of position katika jitihada za kumzuia asifunge. Tumuunge mkono kwa sasa na tuone ataleta nini.
Joe Shield ni mtaalamu wa kugundua vipaji kwani ni yeye yeye aligundua kipaji cha akina Foden
Wengine ni akina Olise, Jadon Santo,
Akiwa na miak 35 tu ni mmoja wa mtaalamu wa kung'amua vipaji (Tallent spotter) mzuri duniani
Yeye kwa sasa ndie mashauri mkuu wa akina Boehly na Eghbali