Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wanataka pauni mil 50 ila wako tayari kupokea pauni mil 45
Chelsea wametoa pauni mil 35 imekataliwa
Mwanzoni alikuwa akiuzwa mil 25/30
Wataalamu wa transfer wanadai kuwa kwa vile Chelsea hawatakubali buy back clause, city wameamua kupandisha dau hadi mil 45
£45m ni hela nyingi hizi kwa mchezaji ambaye hana game time nyingi si bora tungemchukuwa Kudus
 
Huyu kipara ni kama kachanjia dawa aisee , huyu mpuuzi ni genious kwenye kudeal na wachezaji ,always anajua anachokifanya .
 
Sijaona coach wa kumchallenge kwenye title ya epl mpaka sasa ,hata huu msimu naamini anaenda kubeba epl
 
Palmer mzuri sema dogo ni mchoyo wa pasi , nimemuona kwenye mechi nyingi za City utakuta kuna nafasi nzuri ya kiachia pass kwa mchezaji mwenzake ila atalazimisha kupiga
 
Joe Shield anazidi kuchukua vijana wake
20230830_204352.jpg
 
Palmer mzuri sema dogo ni mchoyo wa pasi , nimemuona kwenye mechi nyingi za City utakuta kuna nafasi nzuri ya kiachia pass kwa mchezaji mwenzake ila atalazimisha kupiga
tumeruka viunzi vingi tumekuja angukia kwa Palmer hope atatuprove wrong.
 
Alafu kwa pesa around hii wanamchukua yule Nunes wa wolves (in short timu nyingine tusahau kuiona EPL mpaka kipara achoke)
Hivi huyu dogo atakuwa starter kwenye kikosi cha kwanza au mchezaji wa bench
 
Kwahiyo Chelshit hela ya Mount tuliyowapa ndiyo mmeona muichezee kununua huyu mtoto kwa £45m!? 🤣
20230830_195546.jpg
 
£45m ni hela nyingi hizi kwa mchezaji ambaye hana game time nyingi si bora tungemchukuwa Kudus
Hapa ndiyo Man City anapowazidi wapinzani wake. Kwenye top 6 clubs ukitoa City ni kama vile timu nyingine zinaendeshwa na vichaa. Kwenye business ni 0 kabisa.

Ila mngemfuata Kudus mngepigwa "bei ya watalii" 😁 Ajax ni wahuni-wahuni sana, wanapanga bei kulingana na uwezo wa timu.
 
Palmer mzuri sema dogo ni mchoyo wa pasi , nimemuona kwenye mechi nyingi za City utakuta kuna nafasi nzuri ya kiachia pass kwa mchezaji mwenzake ila atalazimisha kupiga
UMeongea kilichokua akilini mwangu huyu dogo akipata mipira anachofikiria ni kufunga hat kama hayupo kwnye position y kufunga, ni Odoi au Madueke wakizungu. Sipendagi wachezaji kama hao basi tu ndio wameshaamua wenye timu.
 
Chelsea na Man city wamehsakubaliana kuhusu Cole Palmer kwa pauni mil 40

Cole Palmer to Chelsea, here we go! Agreement in principle reached with Manchester City on £40m deal plus £5m add-ons Exclusive news revealed earlier today then quick resolution between clubs and green light from Palmer.Medical tests to be booked soon.
-Fabrizio Romano

1693421989779.png
 
Game yetu ya leo inarushwa channsl gani DSTV maana najaribu kuitafuta siipati. Kama kuna matu anafahamu naomba anisaide
 
UMeongea kilichokua akilini mwangu huyu dogo akipata mipira anachofikiria ni kufunga hat kama hayupo kwnye position y kufunga, ni Odoi au Madueke wakizungu. Sipendagi wachezaji kama hao basi tu ndio wameshaamua wenye timu.
Tayari huko, kipara kashaweka mil 40
 
Hapa ndiyo Man City anapowazidi wapinzani wake. Kwenye top 6 clubs ukitoa City ni kama vile timu nyingine zinaendeshwa na vichaa. Kwenye business ni 0 kabisa.

Ila mngemfuata Kudus mngepigwa "bei ya watalii" 😁 Ajax ni wahuni-wahuni sana, wanapanga bei kulingana na uwezo wa timu.
Kipara akikuuzia mchezaji ujue ni bomu, Arsenal wameuziwa Ziny na Jesus wote injury prone, Wakamtaka Gundo akaona silaha aipeleke baca huko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom