lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Uefa na EPL wanafanya audit katika misimu mitatu tu na kupima kama kumetokea ukiukwaji wa FFP au laJumla ni £1.02bn = Tshs 3,232.635bn
= 3.2 Trillions
Katika hizo misimu mitatu tujiulize
- Tumetumia kiasi gani?
- Tumeuza kiasi gani?
- Tumeokoa mizigo ya mishahara kiasi gaani?
- Tumefanya amortization ya mikataba kwa kiasi gani?