Chelsea inaonekana kama tuna team 3 sijui ndo mbinu za kocha au ndo anajifunza, Chelsea ilio cheza na Liverpool ni nzuri kuzuia na kufanya counter attack 100%. Chelsea ilio check na Westham, ni superb kwenye middle field na attacking strategy ila mbovu kwenye defensive.....sasa chelsea ya jana ni mbovu uko nyuma na middle field aina full back wanao tembea ila ni nzuri kwenye kufunga au kumalizia mipira, hapo kocha anabidi afanye kazi tupate chelsea moja hususani ile ilio cheza westham, otherwise hatutaki kubahatisha matokeo tena, tena ajue mkataba wake ni miaka miwili.