Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Challobah Bayern wanataka kumchukua kwa mkopo ,Chelsea wanataka auzwe mazima ,huyu auzwe mazima , Cucurella pia United wanamtaka ,huyu pia akwende zake , Kuna yule galasa Odoi na Malang Sarr tena huyu anakula pesa ndefu ya bure hawa
takataka wotee wauzwe kabla dirisha haijafungwa ,tupate mtonyo kubalance vitabu
 
Yule pipa ,lakaka ameshatolewa As Roma , ,good business this season ,tunaondoa dead woods Kwa kupata faida
 
Challobah Bayern wanataka kumchukua kwa mkopo ,Chelsea wanataka auzwe mazima ,huyu auzwe mazima , Cucurella pia United wanamtaka ,huyu pia akwende zake , Kuna yule galasa Odoi na Malang Sarr tena huyu anakula pesa ndefu ya bure hawa
takataka wotee wauzwe kabla dirisha haijafungwa ,tupate mtonyo kubalance vitabu
Hapo kwa odoi ni bora tungechukua hela kwa bayern kipindi kile wanamtaka
 
Conor Gallagher
  • No tattoos
  • No scandals
  • No crazy haircuts
  • Not Mason Mount
  • 100% committed to Chelsea
1693302869244.png
 
Challobah Bayern wanataka kumchukua kwa mkopo ,Chelsea wanataka auzwe mazima ,huyu auzwe mazima , Cucurella pia United wanamtaka ,huyu pia akwende zake , Kuna yule galasa Odoi na Malang Sarr tena huyu anakula pesa ndefu ya bure hawa
takataka wotee wauzwe kabla dirisha haijafungwa ,tupate mtonyo kubalance vitabu
Wanaomtaka Challobah tunawapa cucu, malang sarr na odoi bure.
 
Lukaku out ,Cucurella out ,Odoi out ,Notingham wanamalizia makubaliano , bado Malang Sarr na Trevoh Challobah
 
Cole Palmer to Chelsea
Here we go soon
Nacheza kama kiungo mshambuliaji au winga
Ana miaka 21
1693395719220.png
 
Kipara hawezi kutuuzia hii potential labda kwa bei ya Halland
Negotiations between Chelsea and Man City for Cole Palmer are ongoing. Told City want fee in the region of £45m to advance in discussions [emoji599][emoji838] #CFC

Chelsea had contacts on player side as Palmer would be open to joining them after initial contacts — exclusive story, confirmed.
 
Negotiations between Chelsea and Man City for Cole Palmer are ongoing. Told City want fee in the region of £45m to advance in discussions [emoji599][emoji838] #CFC

Chelsea had contacts on player side as Palmer would be open to joining them after initial contacts — exclusive story, confirmed.
Hivi huyu dogo atatufaa kweli halafu anaenda kucheza namba ipi maana upande wa kulia yupo Sterling na madueke
 
Kipara hawezi kutuuzia hii potential labda kwa bei ya Halland
Wanataka pauni mil 50 ila wako tayari kupokea pauni mil 45
Chelsea wametoa pauni mil 35 imekataliwa
Mwanzoni alikuwa akiuzwa mil 25/30
Wataalamu wa transfer wanadai kuwa kwa vile Chelsea hawatakubali buy back clause, city wameamua kupandisha dau hadi mil 45
 
Hivi huyu dogo atatufaa kweli halafu anaenda kucheza namba ipi maana upande wa kulia yupo Sterling na madueke
Anache namab kama ya Foden na ana kipaji kama ya Fode. Ambaye aligunduliwa na Joe Shields na ndie yuko mstari wa mbele kuhakikisha amesajiliwa

Palmer anacheza kama no 10, attacking midfielder na pia winga
1693403870384.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom