Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1692559701071.jpg
 
Msimu huu tumekuwa na matarajio makubwa sana kutokana usajiri tuliofanya imerudisha hali ya ushawishi kama mashabiki sasa hiki kilichotokea leo nimejikuta nikipata presha na maumivu ya kichwa
 
1st half tulicheza vizuri sema baada ya chukwumeka kupata injury tatizo likaanzia hapo. Maana mudriky huyu jamaa bingwa wa mtindo ya nywele mpira wake mchache labda bado hana confidence, sterling kacheza vizuri, lakini pale kwenye namba 9 bado Jackson jamaa anazulula sana japo anacheza vyema sema ange tulia kwenye box ange score vizuri sana huyu jamaa wa kutwa senesi nae mapepe
Kocha pia sijui kambadilishia nafasi. Huyo kwa uchezaji wake anatakiwa acheze kulia tu na kazi yake kutengeneza nafasi
 
1st half tulicheza vizuri sema baada ya chukwumeka kupata injury tatizo likaanzia hapo. Maana mudriky huyu jamaa bingwa wa mtindo ya nywele mpira wake mchache labda bado hana confidence, sterling kacheza vizuri, lakini pale kwenye namba 9 bado Jackson jamaa anazulula sana japo anacheza vyema sema ange tulia kwenye box ange score vizuri sana huyu jamaa wa kutwa senesi nae mapepe
Jackson katengwa, anatakiwa awe anatoka huko kwenye jela. Kwa timu inayopaki mabasi kama Westham ni bora kocha asiwe anamchezesha striker. Saa nyingine ni bora false no. 9 mwenye uwezo wa kucheza kama winga au attacking midfielder
 
Yani alivyoingia Caicedo tu, ndo kaharibu Kila kitu. Mpira WA kwanza kabutua, mpira wa pili katoa Boko (west ham wangetulia goli like), mpira wa tatu penati.

Alafu Bei yake £115M 🤣🤣
Kafanya makosa saba na ya mwisho ikawa penalti na goli, kuanguka sio mwisho wa safari, makosa aliyofanya haimuondolei kuwa sio DM mzuri
 
Kocha pia sijui kambadilishia nafasi. Huyo kwa uchezaji wake anatakiwa acheze kulia tu na kazi yake kutengeneza nafasi
Tuseme ukweli huyu Mudryk tumepigwa sisi mashabiki tuna imani naye lakini anachokionesha tofauti kabisa
 
Jackson katengwa, anatakiwa awe anatoka huko kwenye jela. Kwa timu inayopaki mabasi kama Westham ni bora kocha asiwe anamchezesha striker. Saa nyingine ni bora false no. 9 mwenye uwezo wa kucheza kama winga au attacking midfielder
Jackson mzuri sana tatizo hana msaidizi pale mbele hata pochettino alisema hivyo kuumia kwa Nkunku ndo shida ilipoanzia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom